Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mwal. Nyerere aliwahi kulisema hilo hadharaniVer genius indeed
Hakukua na chachu ya kusema kabla ya kifo Mambo yenyewe yalikua yanasema Sasa sababu imepatikana acha tukumbushane mema ya marehemuHii unafiki wa kiwango cha zero kwa nini hukusema akiwa mzima?
Alikua Ben Mkapa,Mkuu wa mkoa Makamba!!Mauaji ya Mwembechai Rais alikua ALLY HASSAN MWINYI
Yanaelezwa na kuandikwa Kama history sema akifa ndio wengi tunapata chanzo au chachu ya kuyajua mengi zaidi ukitafuta na ukitaka kuyajua yapo Sana na yanazungumzwa Sana sema tuu hata we mwenyew haujapata sababu ya kutaka kuyajua akifa maybe unaweza unapata chanzo Cha kuyajua Kama unavyoona kwa mkapaElezeeni basi na mazuri ya viongozi walio hai...
Kafungue tena makabrasha hayoMauaji ya Mwembechai Rais alikua ALLY HASSAN MWINYI
We ni lofa mwenzetu wala usiwe hofu,kuzaliwa siku moja na kufa ivo ivo.Usipende kuishi kwa negative thought Sana mkuu, ipi ni impact ya alilolisema ktk maisha ya uhalisia. Ilikuwa ni politics tuu and nothing more. Ila ukwel uyu jamaa alitengeneza structure ya nchi mpaka leo ipo hivi, laiti angelipokea kijiti kwa JKN alafu kijiti yeye akampa JPM aisee hii nchi ingekuwa mbali sanaa
UNGESEMA.AKIWAHAII HAYÀ NINGEFURAHIA SANAAÀ HAPO AONI ULICHOANDIKAA NEXTYM.TUJIFUNZE KUSIFIA MTU AKIWA HAITRA, TCRA, TAKUKURU, NHF, shirika la mikopo elimu ya juu, NSSF, TASAF, MKURABITA, TPA, EWURA, TAA, TTB(bodi ya utalii), n.k
Hivi ni kichwa hiki hiki kimoja cha huyu mzee kilifanya haya yote. Nimetafakari sana nikagundua huyu jamaa ndio mtu alieitengeneza structure ya nchi, huyu mzee anastahili heshima kubwa mno. Mimi naweza kumuita baba wa taifa baada ya Nyerere.
Pumzika kwa amani
Benjamin William MkapaView attachment 1519015
Mauaji ya Mwembechai Rais alikua ALLY HASSAN MWINYI
Elezeeni basi na mazuri ya viongozi walio hai...
Binafsi naona jamaa alikuwa na exposure kubwa sn...Cv yake inajieleza pia nadhani Mwl Nyerere alimuandaa Ben kuwa rais kwa mda mrefu sn baada ya kuona uwezo wakeTRA, TCRA, TAKUKURU, NHF, shirika la mikopo elimu ya juu, NSSF, TASAF, MKURABITA, TPA, EWURA, TAA, TTB(bodi ya utalii), n.k
Hivi ni kichwa hiki hiki kimoja cha huyu mzee kilifanya haya yote. Nimetafakari sana nikagundua huyu jamaa ndio mtu alieitengeneza structure ya nchi, huyu mzee anastahili heshima kubwa mno. Mimi naweza kumuita baba wa taifa baada ya Nyerere.
Pumzika kwa amani
Benjamin William MkapaView attachment 1519015
Hapo ndo umeongea ushuzi huyo tuliyenaye kafanya kitu gani kipya?au unampigia kampeni?Usipende kuishi kwa negative thought Sana mkuu, ipi ni impact ya alilolisema ktk maisha ya uhalisia. Ilikuwa ni politics tuu and nothing more. Ila ukwel uyu jamaa alitengeneza structure ya nchi mpaka leo ipo hivi, laiti angelipokea kijiti kwa JKN alafu kijiti yeye akampa JPM aisee hii nchi ingekuwa mbali sanaa
Mkapa alikuwa rais kuanzia mwaka 1995 - 2005. Mauaji ya Mwembechai yalitokea mwaka 1998 wakati Mkapa akiwa rais. Kwa nini unasema kuwa rais alikuwa Mwinyi wakati mwinyi alitawala kuanzia 1985 - 1995; na mauaji ya Mwembechai yalitokea akiwa na miaka mitatu tangu aondoke madarakani?
Nini hasa kilisababisha vurugu za Mwembechai mwaka 1998?
Nakubali kwamba Mkapa was the brightest president after Mwalimu lakini hizo sifa ulizompa kutokana na uanzishwaji wa hayo yote, mengi hayakutokana na akili yake bali external force!!TRA, TCRA, TAKUKURU, NHF, shirika la mikopo elimu ya juu, NSSF, TASAF, MKURABITA, TPA, EWURA, TAA, TTB(bodi ya utalii), n.k
Hivi ni kichwa hiki hiki kimoja cha huyu mzee kilifanya haya yote. Nimetafakari sana nikagundua huyu jamaa ndio mtu alieitengeneza structure ya nchi, huyu mzee anastahili heshima kubwa mno. Mimi naweza kumuita baba wa taifa baada ya Nyerere.
Una umri gani?
Mwaka mmoja na nusu
Hii. Ndio point ya msingisuperbug Namba moja hapana!!
Pia alikua hababaiki na ushindi wa wapinzani kwenye chaguzi ndogo ndogo ( by elections) yoyote atakaeshinda atangazwe hakusema eti" ole wake mkurugenzi atakaemtangaza mpinzani kashinda wakati namlipa huyo mkurugenzi mshahara na gari"
Hakuwahi kuingiza makada wasio na uelewa kwenye utumishi wa uma ndio maana wakati wake huwezi sikia DED kapigana na DC !!!!
Wakuu wa mikoa wa awamu yake hawakughushi vyeti vya taaluma