Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili

Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili

Safi sana huyu tutamkumbuka vema sijui magufuli tutamkumbuka kwa kupeleka jengo la pesa ndefu la TRA na uwanja wa chato ??
 
Muhimbili ni eneo hospitali ilipo sasa hivi ambapo majengo mengi yalijengwa kwa hisani ya dada wa Malkia Lizabeti aitwaye Magareti. Awali Sewa Hajj ambaye ni muajemi alijenga hospitali hapo opposite na station ya treni kabla haijahamishiwa eneo la Muhimbili. Hata wodi ya Sewa Hajj ya sasa ni jengo lililojengwa na mkoloni na likapewa heshima ya huyu bwana.

Wewe huijuwi mzizima hakuna sehemu iliokuwa ikiitwa muhimbili wakati huwo acha kupotosha nawala huijui sewahaji hospt wala hao wakoloni hawakumpa huyo bwana sewahaji heshima bali hapo ilipo ward ya sewahaji ndio kulipokuwepo jengo la kwanza kabisa la hospitali alio jenga sewa haji
 
Kwanini hawakurudisha jina la Sewa Haji Baada ya kulitumia jina la princess magreth na wakaipa hospital hiyo MUHIMBILI???
 
Wewe huijuwi mzizima hakuna sehemu iliokuwa ikiitwa muhimbili wakati huwo acha kupotosha nawala huijui sewahaji hospt wala hao wakoloni hawakumpa huyo bwana sewahaji heshima bali hapo ilipo ward ya sewahaji ndio kulipokuwepo jengo la kwanza kabisa la hospitali alio jenga sewa haji

Basi tuseme uko sawa. Miaka hiyo ya 1800 mji wa Mzizima ulikuwa unaishia kitumbini. Sultani na watu wake wa karibu walijenga kuanzia forodhani mpaka hapo stesheni nanmakaburi yalikuwa pale NSSF waterfront. Sijui mzizima unayoiongelea weye ni ipi.
 
View attachment 533360

Anaitwa Sewa Haji Paroo Alifika Zanzibar Akitokea Ktk Miji Ya Bhuj Na Kutch Na Mnamo Mwaka 1852 Alifungua Duka La Bidhaa Mbalimbali Huko Zanzibar, Mnamo 1860 Akafungua Duka Lingine Kubwa Bagamoyo Na Kuweka Makazi Yake, Biashara Zake Zikawa Kubwa Na Kuwa Tajiri Mkubwa Sana, Alisaidia Watu Wote Bila Kujali Rangi, Dini Wala Kabila Zao, Alinunua Majengo Mengi Na Kuyafanya Maeneo Ya Watu Wasiojiweza, Alijengaja Mashule Na Hospitali Kadhaa,
Ktk Mji Wa Mzizima
{ Leo Inaitwa Dar es Salaam}. Alijenga Hospitali Akaiita Sewahaji
Hospitali Ikitoa Huduma Bure, Mnamo
February 1897 Sheikhe Sewa Haji Paroo Alifariki Dunia, Ilikuwa Ni Huzuni Na Simanzi
Kwa Wakazi Wa Bagamoyo Na Mzizima Kwa Kuondokewa Na Sheikhe Sewa Haji
Aliependwa Sana, Baada Ya Kufa Kwake
Wakoloni Baadaye Wakabadilisha Jina Kutoka Sewahaji Hospital Na Kuiita Princess Magreth Hospital, Na Mnamo 1963 Iliitwa Muhimbili Hospital, Na Mojawapo Za Wodi Inaitwa SEWA HAJI,
Sheikhe Sewa Haji Alale Mahali Pema

credit @issamichuzi
princess magreth hosp sio ilokuwa sewa haji hosp,sewa haji ilikuwa kule makuti na iliezekwa kwa makuti,lengo kuwasaidia wafanyakazi wake na waswahili wengine maana alikuwa na wafanyakazi lukuki.
 
View attachment 533360

Anaitwa Sewa Haji Paroo Alifika Zanzibar Akitokea Ktk Miji Ya Bhuj Na Kutch Na Mnamo Mwaka 1852 Alifungua Duka La Bidhaa Mbalimbali Huko Zanzibar, Mnamo 1860 Akafungua Duka Lingine Kubwa Bagamoyo Na Kuweka Makazi Yake, Biashara Zake Zikawa Kubwa Na Kuwa Tajiri Mkubwa Sana, Alisaidia Watu Wote Bila Kujali Rangi, Dini Wala Kabila Zao, Alinunua Majengo Mengi Na Kuyafanya Maeneo Ya Watu Wasiojiweza, Alijengaja Mashule Na Hospitali Kadhaa,
Ktk Mji Wa Mzizima
{ Leo Inaitwa Dar es Salaam}. Alijenga Hospitali Akaiita Sewahaji
Hospitali Ikitoa Huduma Bure, Mnamo
February 1897 Sheikhe Sewa Haji Paroo Alifariki Dunia, Ilikuwa Ni Huzuni Na Simanzi
Kwa Wakazi Wa Bagamoyo Na Mzizima Kwa Kuondokewa Na Sheikhe Sewa Haji
Aliependwa Sana, Baada Ya Kufa Kwake
Wakoloni Baadaye Wakabadilisha Jina Kutoka Sewahaji Hospital Na Kuiita Princess Magreth Hospital, Na Mnamo 1963 Iliitwa Muhimbili Hospital, Na Mojawapo Za Wodi Inaitwa SEWA HAJI,
Sheikhe Sewa Haji Alale Mahali Pema

credit @issamichuzi
Hawa ndobwa kupewa mitaa sasa sio wale kina wanyama ambao ukawa wanakomaa nao
 
Hivi watanzania wangekuwa na moyo kwa huyu tungekuwa wapi?
Unakuta mtu anajilimbikizia hadi magari 20 na nyumba 50, siku akifa
kila kitu kinaishia kinasahaulika;

Asante Mungu kwa ajili ya wale mashujaa wa Imani.
 
Back
Top Bottom