Historia ya TANU siku zote imeandikwa na makosa

Historia ya TANU siku zote imeandikwa na makosa

Clever...
Nani kakuambia kuwa mimi nataka kusomwa na vijana?
Mimi nimeandika kitabu wala sikumlenga yeyote.

Unasema niandike historia.
Kwani hapa wewe unasoma kitu gani?
Katika kumlenga yeyote utawakosa wanaopenda historia ya kweli maana yako imejaa upuuzi...hiki unachokiandika wewe sio historia ya nchi bali ni ya waislamu.
 
Nelson,
Unazungumzia kitu usichokifahamu.
Hakuna wazee katika TANU waliofukuzwa kwa ukabila na udini.

Ila kuna kisa cha Sheikh Suleiman Takadir aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU.

Sheikh Takadir alifukuzwa TANU kwa kuhoji hali ya baadae ya Waislam katika Tanganyika huru.

Hii ni moja ya historia nyeti sana ya TANU.

Nimekieleza kisa hiki kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes.
Alistahili kufukuzwa huyo Sheikh Takadir kwasababu hoja yake ilikuwa ya kipumbavu mno. Bora umekielezea hicho kisa ili kizazi cha sasa kijue hata enzi za mwalimu kulishatokea watu wapumbavu kama Sheikh Takadir.
 
Katika kumlenga yeyote utawakosa wanaopenda historia ya kweli maana yako imejaa upuuzi...hiki unachokiandika wewe sio historia ya nchi bali ni ya waislamu.
Clever...
Kweli nimeandika kitabu kinaitwa: ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika.''

Kitabu hiki kinaeleza juhudu za Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Lakini hii ndiyo historia yenyewe ya uhuru wa Tanganyika.

Hakuna kitabu kinachoeleza historia ya uhuru.

Kama kipo tafadhali nifahamishe.

Mbona ndugu yangu unatukana?

Tafanye mjadala wa heshima na adabu bila ya kuleta maneno yasiyopendeza.

72624704_547561035991279_2677245336858132480_n.jpg
 
Alistahili kufukuzwa huyo Sheikh Takadir kwasababu hoja yake ilikuwa ya kipumbavu mno. Bora umekielezea hicho kisa ili kizazi cha sasa kijue hata enzi za mwalimu kulishatokea watu wapumbavu kama Sheikh Takadir.
Mama...
Itapendeza endapo utajizuia na lugha kali.
 
Dr.mohamed acha chuki na prof Nyerere

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Dr.
Sina chuki na mtu yeyote.

Historia ya TANU hii ni historia ya wazee wangu kwa hiyo naijua vizuri.

Ninapoona imekosewa ni wajibu wangu kusahihisha.

Hebu sikiliza hotuba hii ya Diamond Jubilee Hall 1985 na soma chini yake uone inavyopishana niliyoeleza mimi kama nilivyosoma katika Nyaraka za Sykes:


Katika hotuba hii Mwalimu anasema ‘’anadhani’’ Abdul Sykes alikuwa Secretary wa TAA.

(Katika hotuba iliyoko katika maandishi neno, ''nadhani,'' limeondolewa lakini ukisikiliza audio utalisikia amelitamka).

Mwalimu hana hakika na hili.

Kuanzia mwaka wa 1953 alipokuwa President wa TAA hadi mwaka wa 1985 Mwalimu bado hajui Abdul Sykes alikuwa na nafasi gani katika TAA.

Anasema mambo yalikuwa ‘’yamesinzia.’’

Ukweli ni kuwa TAA kuanzia mwaka wa 1950 uongozi ulipochukuiwa na Dr. Vedasto Kyaruzi kama President na Abdul Sykes Secretary TAA ilifanya mengi kuanzia kuunda TAA Political Subcommittee na kumleta Earle Seaton kama mshauri wa TAA katika masula ya sheria katika mambo ya Mandate Territories, yaani Nchi Chini ya Udhamini kama ilivyopitishwa na UNO.

TAA ilifanya mazungumzo ya siri na Jomo Kenyatta, Nairobi pia mazungumzo na Chief David Kidaha Makwaia kumwingiza TAA achaguliwe President kwa nia ya kuunda TANU mbali na kumwajiri Alexander Tobia kama kama mtumishi wa TAA.

Yapo mengi sana.

Mwalimu anasema kwa muda mfupi kufika April TAA ‘’ikafufuka.’’

Lakini April 1953 ndiyo Mwalimu anaingia madarakani kama President wa TAA Abdul Sykes akiwa Vice President baada ya uchaguzi wa Arnautoglo.

Ikiwa Mwalimu kaifufua TAA ndiyo kusema kaifufua TAA mwezi ule alipochaguliwa kuwa President.

Ukweli ni kuwa yeye alipochukua uongozi wa TAA April 1953 chama kilisinzia.

Mwalimu anaeleza mkutano wa Arnautoglo ambao alichaguliwa kuwa President, ‘’wao,’’ lakini hasemi nafasi hiyo aligombea na nani.

Mwalimu anasema ‘’akaandika,’’ katiba mpya.

Hapakuwa na ‘’uandikaji’’ wa katiba mpya.

Kilichofanyika ni kuwa ilinakiliwa katiba ya Convention People's Party (CPP) ya Kwame Nkrumah wa Ghana na sehemu ya CPP waliweka TANU.

Mwalimu anazungumza mkutano wa Songea na Mbeya mwaka wa 1955.

Safari ya kwanza ya Mwalimu ilikuwa Morogoro akiongozana na Zuberi Mtemvu na walifanya mkutano wa ndani ambao haukuwa na mafanikio.

Hii ilikuwa August, 1955.
Baada ya Morogoro Mwalimu, Ali Mwinyi Tambwe na Rajab Diwani walikwenda Lindi.

Yapo mengi sana.

Mwalimu kaichukua TAA ikiwa ina mipango madhubuti na fedha za kutosha.

Picha: Abdul na Ally Sykes Burma Infantry/Waasisi wa TANU/Baraza la Wazee wa TANU.
 
Ukiweza kuandika bila kuleta udini na chuki kwa Nyerere hutaona lugha kali zikitumika.
Mama...
Mimi sidhuriki na lugha kali wala kutukanwa.

Majibu ya udini ni haya haya ninayoandika siku zote nikisema kuwa kueleza mchango wa Wakikuyu na Mau Mau katika historia ya uhuru wa Kenya si ukabila.

Msome Bildad Kaggia: "Roots of Freedom."

Hivyo hivyo ndivyo ilivyo kwa Waislam katika uhuru wa Tanganyika.

Nitaendelea kueleza historia ya uhuru wa Tanganyika kwa ushahidi na wewe endelea na kuhamaki na kutoa lugha kali kuwa mimi "mjinga," "mpumbavu" na kadhalika.

Naamini kabisa unajua kuwa mtu mjinga hawezi kuwa mwandishi wa vitabu kadhaa na makala zaidi ya 10,000.

Sina chuki na mtu yoyote.

Mabingwa wa historia ya Afrika katika kukieleza kitabu changu hawakupata popote kuzungumza chuki au udini katika book reviews zao.

Zaidi wamenialika kuzungumza kwenye vyuo vyao Marekani na Ulaya.

1681010291242.jpeg

Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin​

ZMO ni katika taasisi kubwa za utafiti wa historia ulimwenguni na nilialikwa hapo kwa kufanya mhadhara na kuandika paper yoyote niitakayo katika historia ya Afrika.

Paper niliyoandika ni hiyo hapo chini:

Hili si suala la udini kwa upande wangu.

Kama kuna udini basi ni kwa wale waliofuta historia ya Waislam katika harakati za kudai uhuru wakapachika historia yao.

Hili hulioni.
 
Katika kumlenga yeyote utawakosa wanaopenda historia ya kweli maana yako imejaa upuuzi...hiki unachokiandika wewe sio historia ya nchi bali ni ya waislamu.

Katika kumlenga yeyote utawakosa wanaopenda historia ya kweli maana yako imejaa upuuzi...hiki unachokiandika wewe sio historia ya nchi bali ni ya waislamu.
HOFU HII INAYOPELEKEA KUFUTA HISTORIA YA KWELI NINI SABABU YAKE?
KITENDAWILI: KUNA HISTORIA YA TANU ILIYOASISIWA MISHENI YA TOSAMAGANGA NA KUNA HISTORIA YA TANU ILIYOASISIWA NA ABBAS MAX IRINGA MJINI UPI UKWELI?

Historia Mpya ya TANU na Uhuru wa Tanganyika


www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com

Mzungumzaji hapo juu akiwa ndani ya kanisa anaeleza historia ya TANU iliyoasisiwa Misheni ya Tosamaganga, Iringa.

Hapo chini nimeweka historia ya TANU Iringa iliyoasisiwa na Abbas Max:
https://m.facebook.com/story.php?

story_fbid=pfbid02rZviptA2cSKUJqWuZ9nwRtCfvQUi5KoYxkKEUjzVQ7UMbYJLF22BYfXtDd1ophAul&id=100022121633704

Historia ya TANU Iringa inaanza na kurudishwa kwa fuvu la Mtwa Mkwawa Iringa mwaka wa 1955.

Chief Adam Sapi Mkwawa aliwaalika Abdul Sykes na Dossa Aziz Kalenga katika sherehe hiyo ya kupokea fuvu.

Abdul Sykes na Dossa Aziz ni katika waasisi 17 wa TANU Dar es Salaam mwaka wa 1954.

Wakiwa faragha na mwenyeji wao hawa wageni wawili wa Chief Adam Sapi wakamfahamisha mwenyeji wa kuhusu TANU waliyoasisi Juius Nyerere akiwa rais wake na madhumuni ya chama kile.

Mwaka uliofatia wa 1955 Abdul Sykes alikuwa anakwenda Njombe akafikia nyumbani kwa Abbas Max na kulala hapo.

Abbas Max akaamua siku ya pili kumpeleka rafiki yake Njombe na gari yake Peugeot 203.

Walipokuwa njiani wanakwenda Njombe ndipo Abdul Sykes akamweleza Abbas Max kuhusu chama cha TANU na madhumuni yake.

Abbas Max akamwambia Abdul Sykes amwambie Julius Nyerere aje Iringa kwani yeye ameamua kujiunga na TANU na kusajili tawi la TANU hapo mjini.

Julius Nyerere alifika Iringa na akapokewa na Abbas Max.
Hivi ndivyo TANU ilivyoasisiwa Iringa na kuenezwa Jimbo la Nyanda za Juu.

Hiyo TANU iliyoasisi na Nyerere Tosamaganga Mwalimu aliasisi na watu gani?

1656566012325-jpeg.2277135

Kulia ndiye Abbas Max​
 
Dr.
Sina chuki na mtu yeyote.

Historia ya TANU hii ni historia ya wazee wangu kwa hiyo naijua vizuri.

Ninapoona imekosewa ni wajibu wangu kusahihisha.

Hebu sikiliza hotuba hii ya Diamond Jubilee Hall 1985 na soma chini yake uone inavyopishana niliyoeleza mimi kama nilivyosoma katika Nyaraka za Sykes:


Katika hotuba hii Mwalimu anasema ‘’anadhani’’ Abdul Sykes alikuwa Secretary wa TAA.

(Katika hotuba iliyoko katika maandishi neno, ''nadhani,'' limeondolewa lakini ukisikiliza audio utalisikia amelitamka).

Mwalimu hana hakika na hili.

Kuanzia mwaka wa 1953 alipokuwa President wa TAA hadi mwaka wa 1985 Mwalimu bado hajui Abdul Sykes alikuwa na nafasi gani katika TAA.

Anasema mambo yalikuwa ‘’yamesinzia.’’

Ukweli ni kuwa TAA kuanzia mwaka wa 1950 uongozi ulipochukuiwa na Dr. Vedasto Kyaruzi kama President na Abdul Sykes Secretary TAA ilifanya mengi kuanzia kuunda TAA Political Subcommittee na kumleta Earle Seaton kama mshauri wa TAA katika masula ya sheria katika mambo ya Mandate Territories, yaani Nchi Chini ya Udhamini kama ilivyopitishwa na UNO.

TAA ilifanya mazungumzo ya siri na Jomo Kenyatta, Nairobi pia mazungumzo na Chief David Kidaha Makwaia kumwingiza TAA achaguliwe President kwa nia ya kuunda TANU mbali na kumwajiri Alexander Tobia kama kama mtumishi wa TAA.

Yapo mengi sana.

Mwalimu anasema kwa muda mfupi kufika April TAA ‘’ikafufuka.’’

Lakini April 1953 ndiyo Mwalimu anaingia madarakani kama President wa TAA Abdul Sykes akiwa Vice President baada ya uchaguzi wa Arnautoglo.

Ikiwa Mwalimu kaifufua TAA ndiyo kusema kaifufua TAA mwezi ule alipochaguliwa kuwa President.

Ukweli ni kuwa yeye alipochukua uongozi wa TAA April 1953 chama kilisinzia.

Mwalimu anaeleza mkutano wa Arnautoglo ambao alichaguliwa kuwa President, ‘’wao,’’ lakini hasemi nafasi hiyo aligombea na nani.

Mwalimu anasema ‘’akaandika,’’ katiba mpya.

Hapakuwa na ‘’uandikaji’’ wa katiba mpya.

Kilichofanyika ni kuwa ilinakiliwa katiba ya Convention People's Party (CPP) ya Kwame Nkrumah wa Ghana na sehemu ya CPP waliweka TANU.

Mwalimu anazungumza mkutano wa Songea na Mbeya mwaka wa 1955.

Safari ya kwanza ya Mwalimu ilikuwa Morogoro akiongozana na Zuberi Mtemvu na walifanya mkutano wa ndani ambao haukuwa na mafanikio.

Hii ilikuwa August, 1955.
Baada ya Morogoro Mwalimu, Ali Mwinyi Tambwe na Rajab Diwani walikwenda Lindi.

Yapo mengi sana.

Mwalimu kaichukua TAA ikiwa ina mipango madhubuti na fedha za kutosha.

Picha: Abdul na Ally Sykes Burma Infantry/Waasisi wa TANU/Baraza la Wazee wa TANU.

Wewe ndiyo una uhakika kuzidi J K Nyerere? Kawadanganye wapumbavu wenzio unaowaaandikia vitabu vya kidini
 
Dr.
Sina chuki na mtu yeyote.

Historia ya TANU hii ni historia ya wazee wangu kwa hiyo naijua vizuri.

Ninapoona imekosewa ni wajibu wangu kusahihisha.

Hebu sikiliza hotuba hii ya Diamond Jubilee Hall 1985 na soma chini yake uone inavyopishana niliyoeleza mimi kama nilivyosoma katika Nyaraka za Sykes:


Katika hotuba hii Mwalimu anasema ‘’anadhani’’ Abdul Sykes alikuwa Secretary wa TAA.

(Katika hotuba iliyoko katika maandishi neno, ''nadhani,'' limeondolewa lakini ukisikiliza audio utalisikia amelitamka).

Mwalimu hana hakika na hili.

Kuanzia mwaka wa 1953 alipokuwa President wa TAA hadi mwaka wa 1985 Mwalimu bado hajui Abdul Sykes alikuwa na nafasi gani katika TAA.

Anasema mambo yalikuwa ‘’yamesinzia.’’

Ukweli ni kuwa TAA kuanzia mwaka wa 1950 uongozi ulipochukuiwa na Dr. Vedasto Kyaruzi kama President na Abdul Sykes Secretary TAA ilifanya mengi kuanzia kuunda TAA Political Subcommittee na kumleta Earle Seaton kama mshauri wa TAA katika masula ya sheria katika mambo ya Mandate Territories, yaani Nchi Chini ya Udhamini kama ilivyopitishwa na UNO.

TAA ilifanya mazungumzo ya siri na Jomo Kenyatta, Nairobi pia mazungumzo na Chief David Kidaha Makwaia kumwingiza TAA achaguliwe President kwa nia ya kuunda TANU mbali na kumwajiri Alexander Tobia kama kama mtumishi wa TAA.

Yapo mengi sana.

Mwalimu anasema kwa muda mfupi kufika April TAA ‘’ikafufuka.’’

Lakini April 1953 ndiyo Mwalimu anaingia madarakani kama President wa TAA Abdul Sykes akiwa Vice President baada ya uchaguzi wa Arnautoglo.

Ikiwa Mwalimu kaifufua TAA ndiyo kusema kaifufua TAA mwezi ule alipochaguliwa kuwa President.

Ukweli ni kuwa yeye alipochukua uongozi wa TAA April 1953 chama kilisinzia.

Mwalimu anaeleza mkutano wa Arnautoglo ambao alichaguliwa kuwa President, ‘’wao,’’ lakini hasemi nafasi hiyo aligombea na nani.

Mwalimu anasema ‘’akaandika,’’ katiba mpya.

Hapakuwa na ‘’uandikaji’’ wa katiba mpya.

Kilichofanyika ni kuwa ilinakiliwa katiba ya Convention People's Party (CPP) ya Kwame Nkrumah wa Ghana na sehemu ya CPP waliweka TANU.

Mwalimu anazungumza mkutano wa Songea na Mbeya mwaka wa 1955.

Safari ya kwanza ya Mwalimu ilikuwa Morogoro akiongozana na Zuberi Mtemvu na walifanya mkutano wa ndani ambao haukuwa na mafanikio.

Hii ilikuwa August, 1955.
Baada ya Morogoro Mwalimu, Ali Mwinyi Tambwe na Rajab Diwani walikwenda Lindi.

Yapo mengi sana.

Mwalimu kaichukua TAA ikiwa ina mipango madhubuti na fedha za kutosha.

Picha: Abdul na Ally Sykes Burma Infantry/Waasisi wa TANU/Baraza la Wazee wa TANU.


Kobazi.

Unasema mwalimu aliposhika hatamu ya TAA basi mambo yalisinzia?. Kivipi mambo yasinzie wakati ndio mambo yakakucha mpaka kukaundwa Tanu na uhuru ukapatikana na kama mambo yalisinzia uhuru ungepatikanaje?. inamaana wewe ni bola kuliko mwalimu mwenyewe kwene historia aliyokua mstari wa mbele mda huo wewe ukiwa kinda kabisa. Mambo yalisinzia wakati wa kina abdul lakini ujio wa baba ww Taifa ndio mambo yalikucha!. Huwa napata shaka why akina abdul, dossa, max, akina takadir wasiwe wao bali awe mwalimu?. Shule.

Unasema mwalimu alikikuta Chama kikiwa na fedha za kutosha, ni wapi mwalimu alisema chama hakikuwa na fedha za kutosha.

Mipango madhubuti ipi?. Why kwene hio mipango wasingefanikisha wao!. Elimu na uwezo hawakuwa nao na ndio maana walimuhitaji mwalimu kutoa a clear visio na roadmaps jinsi gani watachukua hatima ya nchi. Mipango mfu ya kina takadir isingeweza bali mwalimu pekee alifanikisha.

Mwalimu aligombea na bwana abdul na akashinda wapiga kura wakiwa ni hao hao babu zako, wakambwaga mtoto wa sykes then wakampa hatamu mtoto wa kizanaki. Leo hii unaleta maneno eti hakusema aligombea na nani.

Uandishi wa katiba mpya? Ndio iliandikwa kwa kuboreshwa kwa iliyokuwa katiba ya CPP ya kina kwame Nkrumah, wewe unazani bwana abdul au kina dossa wangeiandika hio katika. Huenda ni mwalimu ndio alie ileta hio katiba au wazo hilo.

Eti morogoro hapakuwa na mafanikio kivipi? Si kila sehemu ina uhungwaji mkono ulio sawa mzee, huenda pia wazee wengine bado hawakuwa na mwamko lakini kwa mbinu za Nyerere mambo yalisimama na uhuru ukapatikana. Nyerere alikua kidume kweli kweli. Bwana dossa alifilisika baada ya jumuiya kuvunjwa na kuundwa Bakwata hivyo patroni aghakan akakata msaada baada ya hapo wengi wao wakafilisika.

Historia ya wazee wa kariakoo kamwe haiwezi kuwa historia ya nchi mzee hilo lijue lakini pia historia hizi zina mkanganyiko sana si waandishi tu bali mpaka wapigania uhuru wenyewe kwa wenyewe. Watu wanapanga mipango ya kuikomboa nchi gafla anaibuka mpuuzi mmoja anaanza kuulizia future ya waislam?. Akina takadir walikua watu wa hovyo sana.

Kuna siku unasema nyerere alimwita dossa akampa medali peke yake! Uongo mtupu. Mbona ile picha ya dossa kinaonekana kichogo tu cha mtu, tunaamini vipi kuwa yule ni the banker dossa. Picha yenyewe haijaonesha hata watu wa pembeni!. Hii inatosha kusema mzee mengine unapotosha. Eti mchango wa waislam?
 
Kobazi.

Unasema mwalimu aliposhika hatamu ya TAA basi mambo yalisinzia?. Kivipi mambo yasinzie wakati ndio mambo yakakucha mpaka kukaundwa Tanu na uhuru ukapatikana na kama mambo yalisinzia uhuru ungepatikanaje?. inamaana wewe ni bola kuliko mwalimu mwenyewe kwene historia aliyokua mstari wa mbele mda huo wewe ukiwa kinda kabisa. Mambo yalisinzia wakati wa kina abdul lakini ujio wa baba ww Taifa ndio mambo yalikucha!. Huwa napata shaka why akina abdul, dossa, max, akina takadir wasiwe wao bali awe mwalimu?. Shule.

Unasema mwalimu alikikuta Chama kikiwa na fedha za kutosha, ni wapi mwalimu alisema chama hakikuwa na fedha za kutosha.

Mipango madhubuti ipi?. Why kwene hio mipango wasingefanikisha wao!. Elimu na uwezo hawakuwa nao na ndio maana walimuhitaji mwalimu kutoa a clear visio na roadmaps jinsi gani watachukua hatima ya nchi. Mipango mfu ya kina takadir isingeweza bali mwalimu pekee alifanikisha.

Mwalimu aligombea na bwana abdul na akashinda wapiga kura wakiwa ni hao hao babu zako, wakambwaga mtoto wa sykes then wakampa hatamu mtoto wa kizanaki. Leo hii unaleta maneno eti hakusema aligombea na nani.

Uandishi wa katiba mpya? Ndio iliandikwa kwa kuboreshwa kwa iliyokuwa katiba ya CPP ya kina kwame Nkrumah, wewe unazani bwana abdul au kina dossa wangeiandika hio katika. Huenda ni mwalimu ndio alie ileta hio katiba au wazo hilo.

Eti morogoro hapakuwa na mafanikio kivipi? Si kila sehemu ina uhungwaji mkono ulio sawa mzee, huenda pia wazee wengine bado hawakuwa na mwamko lakini kwa mbinu za Nyerere mambo yalisimama na uhuru ukapatikana. Nyerere alikua kidume kweli kweli. Bwana dossa alifilisika baada ya jumuiya kuvunjwa na kuundwa Bakwata hivyo patroni aghakan akakata msaada baada ya hapo wengi wao wakafilisika.

Historia ya wazee wa kariakoo kamwe haiwezi kuwa historia ya nchi mzee hilo lijue lakini pia historia hizi zina mkanganyiko sana si waandishi tu bali mpaka wapigania uhuru wenyewe kwa wenyewe. Watu wanapanga mipango ya kuikomboa nchi gafla anaibuka mpuuzi mmoja anaanza kuulizia future ya waislam?. Akina takadir walikua watu wa hovyo sana.

Kuna siku unasema nyerere alimwita dossa akampa medali peke yake! Uongo mtupu. Mbona ile picha ya dossa kinaonekana kichogo tu cha mtu, tunaamini vipi kuwa yule ni the banker dossa. Picha yenyewe haijaonesha hata watu wa pembeni!. Hii inatosha kusema mzee mengine unapotosha. Eti mchango wa waislam?
Mkuu @mjamaaf asante kwa kuja, huyu Mzee Mohamed Said anapotosha sana. Kila akidanganya tutakuwa tunakuita
 
Mama...
Mimi sidhuriki na lugha kali wala kutukanwa.

Majibu ya udini ni haya haya ninayoandika siku zote nikisema kuwa kueleza mchango wa Wakikuyu na Mau Mau katika historia ya uhuru wa Kenya si ukabila.

Msome Bildad Kaggia: "Roots of Freedom."

Hivyo hivyo ndivyo ilivyo kwa Waislam katika uhuru wa Tanganyika.

Nitaendelea kueleza historia ya uhuru wa Tanganyika kwa ushahidi na wewe endelea na kuhamaki na kutoa lugha kali kuwa mimi "mjinga," "mpumbavu" na kadhalika.

Naamini kabisa unajua kuwa mtu mjinga hawezi kuwa mwandishi wa vitabu kadhaa na makala zaidi ya 10,000.

Sina chuki na mtu yoyote.

Mabingwa wa historia ya Afrika katika kukieleza kitabu changu hawakupata popote kuzungumza chuki au udini katika book reviews zao.

Zaidi wamenialika kuzungumza kwenye vyuo vyao Marekani na Ulaya.

View attachment 2581771
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin​

ZMO ni katika taasisi kubwa za utafiti wa historia ulimwenguni na nilialikwa hapo kwa kufanya mhadhara na kuandika paper yoyote niitakayo katika historia ya Afrika.

Paper niliyoandika ni hiyo hapo chini:

Hili si suala la udini kwa upande wangu.

Kama kuna udini basi ni kwa wale waliofuta historia ya Waislam katika harakati za kudai uhuru wakapachika historia yao.

Hili hulioni.
We mzee ni MPUMBAVU SANA. Unastahili kuwa gerezani kwa hizi akili zako mbovu za kutala Tanzania iwe nchi ya kiislamu. Hii nchi haina udini nakushangaa unavyosukuma agenda zako za kihayawani.
 
Kobazi.

Unasema mwalimu aliposhika hatamu ya TAA basi mambo yalisinzia?. Kivipi mambo yasinzie wakati ndio mambo yakakucha mpaka kukaundwa Tanu na uhuru ukapatikana na kama mambo yalisinzia uhuru ungepatikanaje?. inamaana wewe ni bola kuliko mwalimu mwenyewe kwene historia aliyokua mstari wa mbele mda huo wewe ukiwa kinda kabisa. Mambo yalisinzia wakati wa kina abdul lakini ujio wa baba ww Taifa ndio mambo yalikucha!. Huwa napata shaka why akina abdul, dossa, max, akina takadir wasiwe wao bali awe mwalimu?. Shule.

Unasema mwalimu alikikuta Chama kikiwa na fedha za kutosha, ni wapi mwalimu alisema chama hakikuwa na fedha za kutosha.

Mipango madhubuti ipi?. Why kwene hio mipango wasingefanikisha wao!. Elimu na uwezo hawakuwa nao na ndio maana walimuhitaji mwalimu kutoa a clear visio na roadmaps jinsi gani watachukua hatima ya nchi. Mipango mfu ya kina takadir isingeweza bali mwalimu pekee alifanikisha.

Mwalimu aligombea na bwana abdul na akashinda wapiga kura wakiwa ni hao hao babu zako, wakambwaga mtoto wa sykes then wakampa hatamu mtoto wa kizanaki. Leo hii unaleta maneno eti hakusema aligombea na nani.

Uandishi wa katiba mpya? Ndio iliandikwa kwa kuboreshwa kwa iliyokuwa katiba ya CPP ya kina kwame Nkrumah, wewe unazani bwana abdul au kina dossa wangeiandika hio katika. Huenda ni mwalimu ndio alie ileta hio katiba au wazo hilo.

Eti morogoro hapakuwa na mafanikio kivipi? Si kila sehemu ina uhungwaji mkono ulio sawa mzee, huenda pia wazee wengine bado hawakuwa na mwamko lakini kwa mbinu za Nyerere mambo yalisimama na uhuru ukapatikana. Nyerere alikua kidume kweli kweli. Bwana dossa alifilisika baada ya jumuiya kuvunjwa na kuundwa Bakwata hivyo patroni aghakan akakata msaada baada ya hapo wengi wao wakafilisika.

Historia ya wazee wa kariakoo kamwe haiwezi kuwa historia ya nchi mzee hilo lijue lakini pia historia hizi zina mkanganyiko sana si waandishi tu bali mpaka wapigania uhuru wenyewe kwa wenyewe. Watu wanapanga mipango ya kuikomboa nchi gafla anaibuka mpuuzi mmoja anaanza kuulizia future ya waislam?. Akina takadir walikua watu wa hovyo sana.

Kuna siku unasema nyerere alimwita dossa akampa medali peke yake! Uongo mtupu. Mbona ile picha ya dossa kinaonekana kichogo tu cha mtu, tunaamini vipi kuwa yule ni the banker dossa. Picha yenyewe haijaonesha hata watu wa pembeni!. Hii inatosha kusema mzee mengine unapotosha. Eti mchango wa waislam?
Safi sana.
 
We mzee ni MPUMBAVU SANA. Unastahili kuwa gerezani kwa hizi akili zako mbovu za kutala Tanzania iwe nchi ya kiislamu. Hii nchi haina udini nakushangaa unavyosukuma agenda zako za kihayawani.
Mama...
Kwa hakika unanitukana bila sababu.

Sijafanya kampeni kutaka Tanzania iwe nchi ya Kiislamu.

Hata wazee wetu walioanzisha harakati za kuwakusanya Waafrika wa Tanganyika kuwa chini ya African Association hawakupata kulifikiri jambo hili.

Sababu ziko wazi kuwa fikra kama hiyo isingefanikiwa kamwe na hiyo African Association yenyewe isingefika mbali.

Ukichukulia kuwa Wamishionari wakiwaonya waumini wao wasijihusishe na siasa.

Hii ndiyo sababu Waislam wakatawala siasa.

Nitakupa mfano uliokuwa ndani ya AA.
Waislam walikuwa wakipitisha madai yao mengi kwa serikali kupitia AA.

Wazee wetu wakaona huo kuwa mushkeli mkubwa.
Wakati huo Mzee bin Sudi alikuwa President na Kleist Sykes Secretary.

Ili kukiepusha chama na tatizo hili ndipo wakaamua mwaka wa 1933 kuunda Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika).

Ikawa sasa mambo yote ya Waislam kwenda kwa Gavana yanapitia Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.

Ninaweza nikakupa mifano mingi.

Ilipoundwa TANU Mufti Sheikh Hassan bin Ameir aliitisha mkutano wa ndani Mtaa wa Pemba usiku kujadili suala la umoja baina ya watu wa imani hizi mbili kubwa.

Ikutoshe tu kwa kuangalia nyuma kuwa hoja ya Hamza Mwapachu kuwa Nyerere atiwe kwenye uongozi wa TAA 1953 kisha waunde TANU 1954 ilikuwa Nyerere ni Mkristo na kwake yeye kuongoza harakati za uhuru itajenga umoja ndani ya TANU kwa kuwavuta Wakristo

Kikao hiki kilifanyika nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio na alikuwapo Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe Secretary wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.

Uamuzi huu ulikusudiwa kuondoa ile picha kuwa harakati za kudai uhuru ni za Waislam peke yao.

Historia hii ni maarufu hapa JF kwani nimeieleza mara nyingi.

Ikiwa wewe una ushahidi kuwa katika maandishi yangu nimetaka Tanzania iwe nchi ya Kiislam ulete hapa usomwe.

Masikini ya Mungu wewe huijui historia ya uhuru wa Tanganyika unapandwa na ghadhabu unatoa matusi ilhali hujui wazee wetu waliweka misingi gani kuhakikisha umoja na amani wakati wa mapambano ya uhuru.

Lakini sikulaumu nakuonea huruma.

Itaijuaje historia hii wakati haikupata kuandikwa?

Umepata kuwasikia Hamza Mwapachu, Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe wakitajwa katika historia ya uhuru wa Tanganyika?

Ushajiuliza kwa nini imekuwa hivi?

Unahamaki unapoambiwa kuwa kadi ya TANU ya Abdul Sykes ni No. 3, No. 2 ni ya mdogo wake Ally Sykes na kadi ya Julius Nyerere ni No. 1 na kaandikiwa na Ally Sykes.

Kwa.kuandika historia hii nimekuwa mdini.
Haitakiwi historia hii kufahamika.

Inatakiwa ibakie historia ambayo si historia ya kweli ya TANU.

1681042167795.jpeg

Ally Sykes na Julius Nyerere
1681042361618.png

Kulia Abdul Sykes na Hamza Mwapachu

 

Attachments

  • 1681042112580.jpeg
    1681042112580.jpeg
    55.8 KB · Views: 8
Safi sana.
Mama...
Mimi nakueleza historia ya TANU kama ninavyoifahamu na unayo haki ya kukataa historia hiyo.

Siko hapa kufanya ubishi kwani ubishi hauna tija wewe utashikilia msimamo wako na mimi nitashikilia wangu.

Hatutasogea popote.

Lakini kwa mimi kueleza niyajuayo wasomaji watasoma yale ambayo hawakuwa wanayajua hata kama hawatataka kuamini.

Kwani wewe kabla ya kusoma haya niandikayo ulikuwa unaijua historia hii?
Ikitoshe tu kuwa kitabu sasa kina miaka 25 lakini bado tunakijadili hapa.

''Nyerere Biography'' kimechapwa 2020 hakuna mtu anaekizungumza.

Umepata kusoma chochote hapa kuhusu kitabu hicho au hata kusikia kuna review yake popote?

Watu wengi wameniomba nikifanyie review.
Nimekataa.
 
Mkuu @mjamaaf asante kwa kuja, huyu Mzee Mohamed Said anapotosha sana. Kila akidanganya tutakuwa tunakuita
Huihui...
NIpotoshe kwa sababu gani?
Historia imepotoshwa kwa miaka mingi na hujasema kitu.

Unadhani hao unaotaka kuwaita wana uwezo wa kukabiliana na mimi?

Mimi nimo ndani ya hilo kamusi hapo chini yeye atafanyaje aingie humo?

1681042703284.png

127276264_847083259372387_6455163347554840764_n.jpg
 
Safi sana.

Hili ni jibu nilimwandikia mtu mahali fulani:
"...kadri utakavyojua na kujua huwezi ukaifahamu historia ya African Association kama alivyoijua Kleist Sykes na wanae au walivyoijua wajukuu zake Daisy Abdul Sykes na mdogo wake Kleist Abdul Sykes...au nilivyoijua mimi kufikia kuisahihisha historia iloyoandikwa na Chuo cha Kivukoni mwaka wa 1981 au kufikia mimi kuwa mmoja wa waandishi 500 kutoka kila pembe ya dunia walioandika Dictionary of African Biography (DAB), mradi wa Harvard na Oxford University Press, New York (2011).

Hizi ni volume sita.

Huwezi kuijua historia ya Tanganyika kwa kiasi cha kufanya mhadhara wa somo hilo kama nilivyofanya vyuo mbalimbali ndani na nje ya Tanzania pamoja na Northwestern University, Evanston, Chicago chuo kinachoongoza duniani katika African History...bado hujafanyiwa review ya kazi yako yoyote katika Cambridge Journal of African History...kote huko nimepita "in flesh and blood."

Leo kwa taarifa yako limeundwa jopo likiongozwa na Prof. Shivji linaandika historia ya Mwalimu Nyerere na nimefanyanao mahojiano nyumbani kwangu mara mbili na nimewapa nyaraka na picha.

Wao wameamua kufanya hilo katika kuiweka sawa historia ya uhuru wa Tanganyika na kitabu cha Abdul Sykes ndicho chanzo.

Sidhani kama wewe una lolote la kumstaajabisha yeyote.
Lakini eleza unachojua tutakusikiliza.

Nimetaabika kusema haya lakini imebidi ili tufahamiane vizuri.''

MRADI WA DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) MWAKA WA 2008
Baada ya matatizo yaliyoniandama katika vitabu hivyo viwili nilivyoandika siku moja mwaka wa 2008 nikapokea email kutoka kwa Prof. Emmanuel Akyeampong kutoka Harvard akaniomba niwe mmoja wa waandishi karibu 500 kutoka kila pembe ya dunia watakaoandika kamusi ya watu mashuhuri Afrika.

Mradi huu ulikuwa unajulikana kama Dictionary of African Biography.

Huu ulikuwa mradi wa Harvard na Oxford University Press New York.

Prof. Akyeampong akaniomba pia niwe mshauri wake kwa majina ya Watanzania ambao mimi naona wamefanya makubwa kwa hiyo wanastahili maisha yao kuandikwa katika hii kamusi.

Prof. Akyeampong akaniomba mimi niandike maisha ya Kleist Sykes yeye akimkusudia Kleist Abdulwahid Sykes.

Mimi hapo hapo nikaanza kazi yangu ya ushauri.

Nikalikata jina la Mayor wa Jiji la Dar es Salaam rafiki na ndugu yangu Kleist, nikamshauri kuwa anaestahili kuingia katika DAB ni babu yake, Kleist Sykes Mbuwane (1894 - 1949) na si huyu Kleist mtoto wa Abdul Sykes.

Prof. Akyeampong alivutiwa sana na kile alichosoma kuhusu babu yake Kleist Abdulwahid na kamusi ilipochapwa mwaka wa 2011 maisha ya Kleist Sykes Mbuwane babu yake Kleist Abdulwahid yakawa ndani ya DAB.

Abdul na Ally na wao pia wametajwa pamoja na baba yao katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

DAB ina volume sita na ni maarufu hivi sasa duniani kama kitabu vya rejea kwa watu mashuhuri na mashujaa wa Bara la Afrika.





 
Back
Top Bottom