Ukwaju.
Very important point.
I repeat.
Very important point.
Kabla ya kwenda kwenye nuances za usefulness of the god idea, ni lazima tukubaliane kwenye reality.
Kama mungu hayupo, na uzuri wa idea ya mungu ni kutisha watu tu wasifanye mabaya, then habari nzima ya mungu inakuwa imejengwa katika uongo.
Na si kweli kwamba watu hawawezi kutenda mema bila kuamini mungu.
Kuna secular humanists kibao hawaamini mungu lakini wanatenda mema.
Kuna Buddhists kibao hawaamini mungu lakini wana a better morality code than Christians.
Kuna Wagiriki walioishi maelfu ya miaka kabla ya Kristo hawakuamini kuwapo kwa roho wala mungu lakini walikuwa na a code of.morality ambayo ilikuwa truthful and better than the Judeo Christian code we have.
Kwa hiyo kusema binadamu hawezi kutenda mazuri bila imani ya mungu ni kujibweteza.
Na tumeona makasisi wanaoamini mungu wakiwala.witi (ashakum si matusi) watoto wadogo kihayawani.
Tatizo naweza kuwa nabishana na watu easiojua falsafa za secular humanists, Buddhists wala ancient Greeks.