Hivi hakuna namna Yanga wanaweza kukata rufaa FIFA?

Y
Utopolo jaribuni kuzoea mazingira ya Hulu Kwa wakubwa huku hakuna kulalamikalalamika ni mwendo wa kuheshomi Sheria kama ilizoea kualikwa pilua kariakoo hapa ni Sheraton ukikosea nyama hamna kupiga kelele Mimi sijapewa unaumia kimyakimya
 
Wanatumia nini ilihali wengine wanatumia macho?
 
Hivi unaelewa faulo ya Lomalisa ilipaswa kuamuliwa kwa red card?

Refa na wasaidizi wake ndio wataokuwa kwenye kikaango pindi case ikifika kwenye mikono ya FIFA.

Narudia tena. Uhusika wa timu kwenye kufanya fraud ndio njia pekee ambayo inaweza kutumika kubatilisha matokeo.

Vinginevyo adhabu itaishia kuwalenga waamuzi tu then kusiwe na changes zozote.
 
vipi kama Mamelody wakituhumiwa kwa kupanga matokeo? Adhabu ya kupanga matokeo Una ijua?
Unathibitishaje?

Hivi unajua kusema Mamelodi walikuwa kitu kimoja na refa kwasababu mliona refa hakuenda kucheki VAR hiyo ni assumption?
 
Hata ikatokea wammiliki wa timu wamewanunua maarefa na wachezaji wa timu pinzanni bika wachezaji wenyewe kujua hiyo ni kosa kwa timu yote, ilitokea Italy na timu ilishushwa daraja sababu ya match fixing ambayo wala haikuhusisha wachezaji.
Unathibitishaje?
 
Mkiambiwa angalieni na mechi za nje hamuelewi.

Arsenal alifungwa goli ambalo macho yaliona mpira umetoka var ikasema haujatoka.

Juzi spurs kakataliwa goli ambalo macho yaliona mpira umevuka mstari ila var ikagoma.

Na haina kukata rufaa.
Mechi ya spurs
 

Attachments

  • IMG-20240406-WA0004.jpg
    72.7 KB · Views: 2
We jamaa vipi?, kama ilikuwa Red card mbona hakutoa?, hakwenda kujiridhisha kwenye VAR? Why not goal la Azizi?. Tumia akili hapo kidogo kwahiyo refa ana timu? Kwanini ashindwe kutumia nyezo za kumsaidia palipo na utata?. Kuna uhusiano wa moja kwa moja Kati ya Refa+Wasaidizi na VAR room katika kufix hii mechi.
 
Unathibitishaje?

Hivi unajua kusema Mamelodi walikuwa kitu kimoja na refa kwasababu mliona refa hakuenda kucheki VAR hiyo ni assumption?
VAR inatumika wapi? Au ni matukio gani hufanya refa atumie VAR?. Kwamba lile Goal alijilidhisha kuwa sio goal wakati yeye mwenye hakuwa eneo sahihi?.
 
No goal invekuwa bongo Sasa
 

Attachments

  • IMG-20240406-WA0004.jpg
    72.7 KB · Views: 1
Wewe
sheria ya kuamua goal kwa techonology ni kutumia goal line sio VAR ,VAR inaangalia makosa kwenye goal ,hao waamuzi walijichanganya wakaona wakikubali goal kwa kutumia VAR watafungiwa ndio maana referee akafuta kila kitu kwa kuweka mikono juu ❌
Wewe ndio mpuuzi kabisa!! N Mara ngapi VAR inaonesha Gori au sio Gori na refa anakubali?. Au hujuiaana VAR?.
 
Wewe

Wewe ndio mpuuzi kabisa!! N Mara ngapi VAR inaonesha Gori au sio Gori na refa anakubali?. Au hujuiaana VAR?.
Hauna kitu unajua kuhusiana na VAR tafuta elimu ni bure bundle sio la kuangalia pornography na kuingia ista
 
Sheria zipo hapa ... Matokeo yanaweza kufutwa coz hii ni fixed match .. na mmiliki wa timu ni Rais wa chama Cha soka.
.
 

Attachments

  • de41161eaf0d423d9bbde4fd0adb136b.jpg
    40.9 KB · Views: 1
Nakubaliana na wewe, lakini ili kukomesha hila za Motsepe Yanga file case ya malalamiko na ushahidi.

Refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, lakini kwenye goli lenye utata hakwenda hata kujiridhisha kuna Siri gani?
Huu ni utetezi mwepesi

Sio kila tukio lazima refa aende kuangalia VAR.

Hakuna ulazima huo
 
VAR inatumika wapi? Au ni matukio gani hufanya refa atumie VAR?. Kwamba lile Goal alijilidhisha kuwa sio goal wakati yeye mwenye hakuwa eneo sahihi?.
Kuna silent check ambayo hutumia earpiece kufanya mawasiliano na control room

Hiyo inaweza kutumika kuamua tukio kwasababu ya kuokoa muda
 
Ndip hivyo hivyo unaweza kujiuliza pia kuwa kama lilikuwa goli mbona hakuruhusu mpira kati?

Jibu utalopata hapo ndio jibu hilo hilo litalojubu swali kwenye maamuzi ya kadi ya njano ya Lomalisa badala ya nyekundu
 
Labda kanuni zibadilishwe tu ila yanga kupewa ushindi tusahau
 
Yah kwa sababu hi nawaonya wanasias wa Tanzania kina mwanfa na Steve masele waache kuwadangany umma kuwa Kuna kitu tunaweza fanya ili kupittaa

Waache ujinga wa kiccm kwenye soka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…