Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Kipo badoHivi kipindi cha Mizengwe bado kipo?
Hawavumi lakini wamoKuna kile kipindi mtangazaji anasema kula chuma hicho
Mimi ITV, ninamtafutaga
Farhia Middle tu.
Hawavumi lakini wamo.Kwa miongo kadhaa ITV kimekuwa kituo pendwa kwenye habari hasa habari yao ya saa 2 usiku.
Ijapokuwa siku hizi taarifa zao ni za uchawa sana, hatushangai hii ni moja ya legacy aliyoacha Magufuli kwenye media zote za Tanzania.
Turudi kwenye mada husika sioni ushawishi walio nao ITV kwenye vipindi vyao vingine vyote vilivyobaki labda kidogo malumbano ya hoja.
Ila cha ajabu wanajiita Superbrand.
Hawavumi lakini wamo.
Kivumbi leo
Taarifa ya habari kwenye yale makamamera ya 1948 , taarifa ya habari inakatwa kutangazwa kamali hakuna kitu cha maana itvKwa miongo kadhaa ITV kimekuwa kituo pendwa kwenye habari hasa habari yao ya saa 2 usiku.
Ijapokuwa siku hizi taarifa zao ni za uchawa sana, hatushangai hii ni moja ya legacy aliyoacha Magufuli kwenye media zote za Tanzania.
Turudi kwenye mada husika sioni ushawishi walio nao ITV kwenye vipindi vyao vingine vyote vilivyobaki labda kidogo malumbano ya hoja.
Ila cha ajabu wanajiita Superbrand.
Sio tu lifemate hata wewe inaonekana ni ITV hadi kifo😂😂😂Kuna wale jamaa wa life mate furniture wameamua wao na itv hadi kifo kiwatenganishe
Kipindi cha watoto "watoto wetu" kila jumamosi nilikua naenda kushindania Cowbell our milk!
Kula chuma iko😂Kwa miongo kadhaa ITV kimekuwa kituo pendwa kwenye habari hasa habari yao ya saa 2 usiku.
Ijapokuwa siku hizi taarifa zao ni za uchawa sana, hatushangai hii ni moja ya legacy aliyoacha Magufuli kwenye media zote za Tanzania.
Turudi kwenye mada husika sioni ushawishi walio nao ITV kwenye vipindi vyao vingine vyote vilivyobaki labda kidogo malumbano ya hoja.
Ila cha ajabu wanajiita Superbrand.
Hivi ITV bado ipo?
Ukweli niuseme nilishasahau kama hicho kituo bado kipo, yaani simu ni kila kitu kuhusu habari nk.
Yeah ITV imetutoa mbali enzi hizo kuna filamu kutoka kenya inaitwa Cobra Squad ikianza kuna mziki unaimbaEnzi za Eddy sio?