balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Filbert Kyenshambi kutoka Nshamba Muleba KageraKuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Huyu jamaa DW inabidi wampe hofa ya kwenda UjerumaniHuyo hamis fundi migebuka ndo balaaa,
🤣🤣🤣🤣kwenye DW namsikiaga hata mmKuna Ambaye anaitwa Golgota magabe wa GGM utamsikia anatuma sms eti namtaka Putin aache mara Moja kuishanbulia ukarine
Hata clouds anajitahidi nako kutumaHuyu jamaa DW inabidi wampe hofa ya kwenda Ujerumani
Nataka nijiunge na mm wanajiungaje?Siunasikiaga wanahadi kikundi Chao cha salamu
Serious huyu mzee amekufa?Mzee Mwamakula ameshafariki.
Km yule Ali mrangi gigiri si asubuhi si jioni yupo kwenye daladala anaenda mabibo na txt yake haibadilikagiUjue madalali wanakaa vituoni tu ila maisha yanaenda
Kimtu Cha geita kinamtisha putini🤣🤣🤣🤣kwenye DW namsikiaga hata mm
Miaka ya sitini alikuwepo Zakaria Ndemfoo wa Machame Kisiki, enzi hizo redio RSA(Afrika Kusini), DW(Ujerumani), redio India, VOA(Amerika), China na Urusi hizi zote zilikuwa na matangazo ya kiswahili huyu na wenzake walikuwa hawakosi kila siku wamo ukiacha za hapa TBC na VOK(Kenya). Wakati huo ni lazima ununue Post Card na Stempu ndiyo utume salamu, fikiria alituma ngapi na alinunua stempu na kadi ngapi. Hawa wa sasa shs 200 unapata sms 200 au shs 1000/= sms 10,000, ni sawa na bure.Kuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Wa Machame Kisiki.Zakaria ndemfoo nilikua namsikia sana redio sauti ya injili
Zakaria ndemfoo alifariki alikuwa mmachameMiaka ya sitini alikuwepo Zakaria Ndemfoo wa Machame Kisiki, enzi hizo redio RSA(Afrika Kusini), DW(Ujerumani), redio India, VOA(Amerika), China na Urusi hizi zote zilikuwa na matangazo ya kiswahili huyu na wenzake walikuwa hawakosi kila siku wamo ukiacha za hapa TBC na VOK(Kenya). Wakati huo ni lazima ununue Post Card na Stempu ndiyo utume salamu, fikiria alituma ngapi na alinunua stempu na kadi ngapi. Hawa wa sasa shs 200 unapata sms 200 au shs 1000/= sms 10,000, ni sawa na bure.
kuna kipindi huwa nasikiliza JPili EFMDalisudi fanicha[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Du sijashuhudia hata kimoja hapo kweli ww muhengaMiaka ya sitini alikuwepo Zakaria Ndemfoo wa Machame Kisiki, enzi hizo redio RSA(Afrika Kusini), DW(Ujerumani), redio India, VOA(Amerika), China na Urusi hizi zote zilikuwa na matangazo ya kiswahili huyu na wenzake walikuwa hawakosi kila siku wamo ukiacha za hapa TBC na VOK(Kenya). Wakati huo ni lazima ununue Post Card na Stempu ndiyo utume salamu, fikiria alituma ngapi na alinunua stempu na kadi ngapi. Hawa wa sasa shs 200 unapata sms 200 au shs 1000/= sms 10,000, ni sawa na bure.
Au anapogaga kwa mtangazaji private😊😂😂kuna kipindi huwa nasikiliza JPili EFM
dakika 2 za mwisho wa kipindi kuna kupokea simu
mpaka nashangaa huyu jamaa ni kwamba simu yake special au vipi
maana kila siku ni yeye, hadi kero
zamani nilikua naamini hao jamaa wanatumia simu special, kama BlackBerry(kipindi hii simu inavuma)
mkipiga hata 100 kwa pamoja, yeye yake lazima iingie mwanzo
itakua aisee,Au anapogaga kwa mtangazaji private😊😂😂