raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Sawa 🙏Kila lugha duniani ina maneno mepesi na maneno magumu (Kiswahili, Kilatini, Kigiriki, Kihadzabe, n.k).
Labda muwe na hoja nyingine, ila hii ya kutaka kiswahili kiwe na maneno yote mepesi mepesi (kwa kutohoa toka lugha zingine) mimi sioni kama lina mashiko.
Na ukipenda sana vitu laini laini, tepetepe au ndembendembe, utaanza kuamini hata neno "MFUNGWA" ni gumu mno, utapendekeza watu waliohukumiwa kutumikia adhabu gerezani waitwe "PRIZONA."
Sio sawa.
Kishkwambi daima, Kishkwambi milele.
MpwilokaNi kama wanafanya makusudi
KichalazioKeyboard = Kibonyeza mbavu
"kishi"Kiswahili sio Kipare
Hahaa! nadhani ni kicharazioKeyboard = Kibonyeza mbavu
Nakuletea vibanzi kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nipatie vibanzi vya 1000 na mayai mawili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo neno halina tafsiri moja, ila itategemea limetumikaje katika sentensi.Nini tasfiri ya neno" serious" kwa kiswahili? Watz naomba mnijuze tafadhali
Nimekuelewa Sana mkuuHilo neno halina tafsiri moja, ila itategemea limetumikaje katika sentensi.
Maelezo:
1. Serious = Hasa/Haswa.
Mfano: Serious problem = Tatizo hasa.
2. Serious = Maanisha
Are you serious? = Je, unamaanisha?
Uundaji wa maneno hukuza lugha na zipo njia 8 za uundaji wa maneno mampya ikiwe hii uliyoipendekeza ya kutohosha... ingawa ni njia dhahifu haizingatii mabadiliko ya isitalahi, pia hudumaza ubunifu wa uundaji wa misamiati mipya ...kama we muuandishi umedumaa na unaona usumbufu kuunda misamiati kwa njia ya unyumbuaji na fasiri ya maana na uunganishaji wa maneno....Wawe wanashirikisha wadau bana.
Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.
Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.
Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.
Sijui drones wanaziitaje?
Kwani simu ya lununu ikiwa kubwa si ndio inaitwa kishkwambi?Kishkwambi-tablet
Ofcoz hata Mimi hayo maneno hunishinda sanaNi kama Kiswahili cha kwenye simu, yani bora utumie Kiingereza