Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #61
Mara nyingi tu ndio nikagundua hii timu ni kiziboKuna siku wamekuchania mkeka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi tu ndio nikagundua hii timu ni kiziboKuna siku wamekuchania mkeka?
Man u nae unamuweka kwenye wababe wa ulaya mbona unaleta vichekeshoToa MAn U hapo, Kipindi Inter na AC wanatawala Soka la Ulaya Miaka ya 60 Man U naye yupo same level AC anabeba 63, Inter 65 man U 66 etc. Unless hujui Kizazi cha kina Charlton.
Usirudie kuwapa direct win. Weka magoli😄Mara nyingi tu ndio nikagundua hii timu ni kizibo
Ac Milan sio timu kubwa ni timu kongwe imezeekaVijana wa 2k mna taabu sana. Kwa hiyo AC Milan na Asenyani unaona Asenyani ni kubwa si ndio au uliamua tu kushabikia timu ndogo
Umeanza kufatilia mpira mwaka ganiHivi hii klabu ya ac Milan inamashabiki kweli wakuu maana watu wanaiita klabu kubwa wakati hata mashabiki Haina aisee wazee mnatabu sana timu hata mashabiki watano hawafiki MNASEMA ni klabu kubwa duniani halafu hata uwanja haina
Kwanini asiwepo? Kizazi cha kina Charlton kime dominate sana miaka ya 60, mpaka leo Uingereza ana Kombe moja tu la Dunia Asante Kizazi cha kina Charlton na Ulaya pia wamebeba. Inter na Man U makombe sawa ya UCL, Inter ana kigezo gani cha ukongwe ambacho Man U hana?Man u nae unamuweka kwenye wababe wa ulaya mbona unaleta vichekesho
Acha habari zako mbabe wa ulaya kutoka uingereza ni Liverpool tu hamna mwingine man u kilaza mbabe wa ulaya lazima uwe na makombe 5 kwenda mbeleKwanini asiwepo? Kizazi cha kina Charlton kime dominate sana miaka ya 60, mpaka leo Uingereza ana Kombe moja tu la Dunia Asante Kizazi cha kina Charlton na Ulaya pia wamebeba. Inter na Man U makombe sawa ya UCL, Inter ana kigezo gani cha ukongwe ambacho Man U hana?
Sijawahi kufuatiliaUmeanza kufatilia mpira mwaka gani
Kwani itakufa🤣Ndiyo Soccar Club ya kwanza kuipenda,
Maisha marefu kwa Club yetu pendwa ya Ac Milan.
Acha utani kwamba nipo sahii hii timu hna kitu Sasa hiviAC milan ya kina Pirlo motoo wakoo sio huu utumbo wa sasaaa... Sansiroo inajaa na kufurikaaaa.
Ndio maana hauijui Associazione Calcio Milan mkuu hiyo ndio timu ya pili inaongoza kubeba UEFA mara nyingi ukiacha 1 real MadridSijawahi kufuatilia
Unajua kwanini nimekujibu hivyoNdio maana hauijui Associazione Calcio Milan mkuu hiyo ndio timu ya pili inaongoza kubeba UEFA mara nyingi ukiacha 1 real Madrid
Sababu haujui kitu ndugu yanguUnajua kwanini nimekujibu hivyo
We itakua unaishi maisha ya kizamani yaani dunia ya Leo ni ya kutokujua kitu kilichopo mitandaoniSababu haujui kitu ndugu yangu
Sasa si umeona hata kuandika haujui ndio maana hata Associazione Calcio Milan huijui mkuu 😀😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃We itakua unaishi maisha ya kizamani yaani dunia ya Leo ni ya kutokujua kitu kilichopo mitandaoni
We unaijuaSasa si umeona hata kuandika haujui ndio maana hata Associazione Calcio Milan huijui mkuu 😀😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃