Hivi huu upuuzi kwenye kazi za ofisini utaisha lini?

"inamuuma kisa ni bosi na hana company alafu mimi surbodnate tu kampani kibao na Ina watu wenye uwezo kuniliko kwahiyo meza yetu huwa nachafukaa balaaaa mavinyaj ya gharama nikiingia viwanja Mimi ni alwatan kuliko yeye."

👆👆

Wewe mwenyewe una uswahili mwingi kuliko huyo boss wako.

Una kampani mbovu na bado unaiona nzuri kwako.
 
😂 hiyo vita ulishaishinda mkuu huyo bosi mchawi sana.
 
Hawa ni wale Waswahili fulani wenye inferiority complex kupenda social validation and approval. Kupenda kushindana aonekane ni bora kuliko bosi wake.

Ingekuwa ni mimi bosi pia nisinge kuacha is either me or you, I would spot and put you on the plate, ninge kula kichwa tu upeleke uswahili wako huko Mbagala Maji Matitu.
 
Katika kujiajiri, tumia watu wakutengenezee utajiri (ajiri); kama una duka, usikae wewe dukani, ajiri mtu, we kaa pembeni seti mitambo.
Ni sawa ila uwe na maono, mtu kama huyo anaependa matukio, sijui magroup ya marafiki unaona pana kichwa cha kufanya biashara hapo, hataweza kutofautisha mtaji na faida. Atatumia zote.
 
Nimejaribu kusoma andiko lake ila nimegundua boss ana afadhali na anamuhurumia dogo
 
Umekuza mambo.
Ninyi ndio watu wa kujistukia na kuona kama mtu akifanya kitu anashindana na wewe.
Jamaa amefanya starehe zake kwa raha zake hakuweka ushindani na mtu.
Uache uswahili badala ya kumwambia mwenzako mswahili.
 
Hii kampani ubovubwake ni nini mzee kwamba tusiwe na marafiki nje ya kazi kisa kumgwaya bosi? Upuuzi gani huu unaongea mzee!!!
 
Umekuza mambo.
Ninyi ndio watu wa kujistukia na kuona kama mtu akifanya kitu anashindana na wewe.
Jamaa amefanya starehe zake kwa raha zake hakuweka ushindani na mtu.
Uache uswahili badala ya kumwambia mwenzako mswahili.
Soma vizuri uzi wake uelewe tatizo ulikimbia umande huko Maji Matitu.
 
Nimesoma vizuri.
Ila mkuu unaonekana ni mtu wa kufanya general implications,mapokeo yako ndio yamekufanya uone hivyo ulivyotaka kuona.
Ndio mimi uwezo wa kuona jambo ni mkubwa ni mzoefu kwenye mambo ya Social Psychology. Pale unapokomea wewe mimi naenda zaidi ya hapo.
 
Natamani ungekuwa bosi wangu ndo tungeoneshana sasa. Siwezi ruhusu eti kisa bosi ndiyo uathiri faragha zangu za nje neverrrrr
 
Natamani ungekuwa bosi wangu ndo tungeoneshana sasa. Siwezi ruhusu eti kisa bosi ndiyo uathiri faragha zangu za nje neverrrrr
Usinge niweza mtu umemshindwa huyo bosi mstaarabu hivyo hadi unakuja kulia hapa wakati bosi haja mwambia mtu yeyote. Ungeniweza wapi.

By the way hatuja msikiliza bosi naye atoe yake ndio mwisho tu judge ila kwa kusoma tu ulichoandika wewe ni tatizo.
 
Kwa sifa ulizoainisha Boss wako atakuwa muha tu poleni sana, hapo kazi mnayo hadi Mungu atakapoingilia kati!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…