Hivi huu upuuzi kwenye kazi za ofisini utaisha lini?

Usinge niweza mtu umemshindwa huyo bosi mstaarabu hivyo hadi unakuja kulia hapa wakati bosi haja mwambia mtu yeyote. Ungeniweza wapi.

By the way hatuja msikiliza bosi naye atoe yake ndio mwisho tu judge ila kwa kusoma tu ulichoandika wewe ni tatizo.
Tena wewe ndiyo ningekutingisha ajabu.. kumbe hata kusomea hujui mzee kwa aliyeelewa uzi kuna sehem bosi inafika hatua anauliza watu Jana nilikuwa napigia wapi mitungi. Sasa mpaka hapo hujajua anaemfuatilia mwenzie ni nani mzee? Acha utoto basi.
 
Tena wewe ndiyo ningekutingisha ajabu.. kumbe hata kusomea hujui mzee kwa aliyeelewa uzi kuna sehem bosi inafika hatua anauliza watu Jana nilikuwa napigia wapi mitungi. Sasa mpaka hapo hujajua anaemfuatilia mwenzie ni nani mzee? Acha utoto basi.
Wewe ndio meanza ligi ya kushindana nae mara wewe una kampani yenye pesa watu wazito, acha akunyooshe hakuna namna nyingine.
 
Kwani Mafisa na si uswahilini sawa na huko Maji Matitu. Unafikiri ungekuwa unakaa Kihonda Magorofani ungekuwa na uswahilini huo.
Nahisi una shida kifikra wewe jamaa,na hata kauli uzinenazo zinadhihirisha kuwa una ushamba mwingi sana aisee.
Maisha popote pale unaweza ukakua kinamna ama misingi uitakayo wewe na kwa ustaarabu uutakao wewe,cha muhimu usiathiriwe na external environment.
 

Wewe Ni mpuuzi sna unajimbwambafai na vinywaji vya Bei kubwa ,unakuwa mlevi na midemu mbele ya bos wako na ukiendelea HV utaamishwa ofc very soon

Safari huendi uatakula huu mshahara na mideminjuu inakusubiria
 
No way utacha kuathiriwa na mazingira yanayo kuzunguka. Wewe ni matokeo ya jamii uliyoishi na ndio maana wanasema nionyeshe rafiki zako ni kwambie tabia yako.
 
Wewe Ni mpuuzi sna unajimbwambafai na vinywaji vya Bei kubwa ,unakuwa mlevi na midemu mbele ya bos wako na ukiendelea HV utaamishwa ofc very soon

Safari huendi uatakula huu mshahara na mideminjuu inakusubiria
πŸ˜‚πŸ˜‚kama nakuona vile na wewe ni bosi tena itakuwa bosi wa kituo uchwara cha mafuta. Ukikuta wafanyakazi wako wanakula bata unahisi kama wanaiba mafuta vile kumbe walaa... ni kujishtukia kwako tu
 
No way utacha kuathiriwa na mazingira yanayo kuzunguka. Wewe ni matokeo ya jamii uliyoishi na ndio maana wanasema nionyeshe rafiki zako ni kwambie tabia yako.
Sihitaji kujieleza ila jua kuwa una mawazo mgando na fikra za kishamba.
Kuathiriwa na mazingira utataka na utaruhusu wewe mwenyewe.
Fikra zako ni sawa na mzazi anayeona akimfungia geti kali binti yake hawezi kuliwa.
 
Kwa hyo unajisifiaa kwa sababu ya kulewa na kuondoka saa Tisa za usku ,hunq watoto wew
 
Jamaa anajiona Yuko sawa kbsaa
 
Sihitaji kujieleza ila jua kuwa una mawazo mgando na fikra za kishamba.
Kuathiriwa na mazingira utataka na utaruhusu wewe mwenyewe.
Fikra zako ni sawa na mzazi anayeona akimfungia geti kali binti yake hawezi kuliwa.
That's very irrelevant
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…