Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Imenipa hasira balaa hiyo videoKuna video nyingine inamunesha akimdharau mkuu wa mkoa yule mama Anna Mgwhira katika kikao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imenipa hasira balaa hiyo videoKuna video nyingine inamunesha akimdharau mkuu wa mkoa yule mama Anna Mgwhira katika kikao.
Wewe utakuwa "She" kwa tabia zako sio bure,unatafuta sponsor si ndio?Niteseke mie ushindwe kuteseka wewe?
Ole atoke hadharani kujisemea mwenyewe maana yayosemwa juu yake ni mengi na mabaya
Ila kama ni uzushi wanaozusha wawajibishwe na kama ni kweli awajibike mwenyewe
Kumsemea ingali yupo ni kumtetea kwa tusiyoyajua
View attachment 1746424
View attachment 1746425
Ben ten.Wewe utakuwa "She" kwa tabia zako sio bure,unatafuta sponsor si ndio?
Hahahaa...kwamba ww ndo unajihis sponsor? Labda mie sponsor kwakoWewe utakuwa "She" kwa tabia zako sio bure,unatafuta sponsor si ndio?
Ndivyo alivyozoea kuendesha maisha yake nasikia, huko hawezi kutembea mtaani bila kundi la askari.Mnapoirusha hii video na akiiona kkinyesi kinamgonga kwa nyuma.
Atakuwa anatafuta Ben Ten a.k.a Danga haiwezekani akomae na r na l zangu baada ya kustick kwenye hoja au yeye anajua hapa Jf wote ni wa Tz ?Wengine ni coloured Tz ni mara moja moja tunakuja kusalimia ndugu,kujua r na l does make you smart.Ben ten.
Ole atoke hadharani kujisemea mwenyewe maana yayosemwa juu yake ni mengi na mabaya
Ila kama ni uzushi wanaozusha wawajibishwe na kama ni kweli awajibike mwenyewe
Kumsemea ingali yupo ni kumtetea kwa tusiyoyajua
View attachment 1746424
View attachment 1746425
Kitu cha ArushaMasai ole jinga sana,nimelishuhudia siku Moja pale milestone likileta Fujo zake,sijui hata kama lilipa bill.
Duuh huyu Sabaya akipona atakuwa na kazi maalum, najiuliza tu lile chozi la msibani lilikuwa na story ndefu kumbe!!!
Kwani uongoHusda mbaya sana....mnapochafua watu wanaowazibia riziki mjue mmatengenezea mazingira mabaya vizazi vyenu huko mbeleni.
Mbona kuna uzi kule ulipostiwa jyzi unasema kuna bwana fulani amejipanga kumchafua Sabaya kisiasa ,ss ww unashangaa nini.Mkuu acha kelele nenda kamalizie story yako kule. Huoni hapo juu nimeandika tetes
Mama ni mtu wa haki hakuna wa kukimbia hii nchi.Sabaya hana namna labda akimbie nchi
Kwani Sabaya ni Baba yoyo?Najiuliza kwani wamasai wanaogopa sana nyoka?
😂😂😂
Ole SabayaKwani Sabaya ni Baba yoyo?
Aaah kweli kabisa.Ole Sabaya
Haswaaa
Kweli kabisa.Aaah kweli kabisa.
Ila kifo cha mkuu kimetufundisha mengi sana