Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Kwanini Unakubali Kuwa Mpumbavu wa Kiwango hicho ndugu?Husda mbaya sana....mnapochafua watu wanaowazibia riziki mjue mmatengenezea mazingira mabaya vizazi vyenu huko mbeleni.
Baba yake naye alikuwa wa hovyo na tabia za hovyohovyo akiwa DC longido ndie aliyechoma nyumba za masai kibabe Ili kumpa mwekezajiHivi taratibu zipoje, DC anaingia na kufanya majukumu ya Wilaya nyingine kivipi? Taratibu zipoje? Huyu sabaya asipongalia anaweza kuingia katika mgogoro wa muda mrefu na vyombo vya sheria, kazi alizozifanya ataziona mavi.
Sent using Jamii Forums mobile app
ID yako inahakisi kabisa comment yako hii.!biashara yake imesaidia zahanati au shule ngapi?
Kama ilifikia mahali kiongozi anatoka eneo la himaya yake yake ya kazi anakwenda kuvamia maduka ya watu, kwanini kiongozi kama huyu asiitwe jambazi?
Huu unyang'anyi au uporaji wa mali za watu usiku unatumwa na nani? Halafu mpuuzi moja akitoka hapo anamtaja hadi Mungu.
Kwa mujibu wa gazeti andiko toka gazeti kiuchunguzi la Sauti huru hizi ni video zilizonaswa na CCTV zikionesha jinsi DC wa Hai alivyovamia maduka ya watu Usiku mjini Arusha akinyang'anya pesa za wafanyabiashara kwa nguvu.
Hawa ndio viongozi wa umma wa serikali ya mwendazake.
View attachment 1746084
View attachment 1746085
Akamatwe afungwe jiwe shingon atupwe baharini.
Nasema uongo ndugu zangu
Nchi ilikuwa kama mafia state. Ashukuriwe Mungu
Da! Mola atupe hekima na busara tusiyalewe madaraka
Aiseee, alaf ndie best wa hayati, aisee magu was evil
Wakuu na wadogo wa JF.
Ukisikia hbr ya CAG juu ya jinsi pesa ya serikal inavyotafunwa kupitia watendaji wasio waaminifu kumbe JPM yalikuwa maneno tu na hakuwa na Sumu.
Sina kumbukumbu kamili kama miaka 6 ya jiwe CAG alikuwa anasoma Ukaguzi wake open kama inavyofanyika leo.
Kwa haraka 40% ya pesa ya serikal ilikuwa inaibiwa na wafanya kazi.
Na watu walimuogopa JIWE kipindi cha mwanzo lakini baada ya hapo wizi ulikuwa wa kutisha.
Ukisikia taarifa ya CAG utaona wazi kuwa katika kuthibiti mapato serikal ya JIWE haikumudu hata asilimia 50.
MAMA yetu kipenzi ana kila sababu ya kukaa na kamati wabuni mfumo wa kuthibiti wizi huu zaidi ya hapo TZ ni shamba la BIBI.
Pia nashauri MAMA AUNGANE NA KIDUKU KIM WA KOREA KUHUSU SHERIA ZAKE UKILA KUANZIA MILIONI 1, TUNYONGE TU HAKUNA NAMNA.
Mizizi ya Tz kuhusu,wizi kwa watendaji haiwezi kuisha kwa hali tu tuliyofikia kwa sheria zetu hizi lege lege.
Nasikia KAGAME amekomesha kabisa wizi cjw alifanyaje.
Nimeanza kuamini kumbe JIWE kuondoka inawezekana ni mpango wa SIR GOD mtenda haki.
Sifurahi kifo chake lakini tulifichwa mengi.
MUNGU IBARIKI TZ, MUNGU MBARIKI SSH RAIS WETU MPYA.
Ndiomaana alikua anahangaika na kufungia wanaharakati na vyombo vya habari ili uozo wake usijulikane yaani kaaibika hata hajaoza vizuri shwenzyyy
Mtanikumbuka Siyo Kwa Mabaya Lakini Kwa Mazuri
Haa 😂😁😀😀
Tanzania Ni Tajiri
Walikuwa Wanapiga Tu. Sheria Ipitiwe Upya
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
CAG Alikuwa Wapi Wakati Wa Jiwe 👄
Kila utawala huwa unasemwa hata mkwere ulisemwa na kulionekana Kama hakuna kilichofanyika! We weka kitabu mkononi na endelea kusoma utaona mapya! Mbona bado yanakuja.. huu ni mpevuko wa taifa letu kuingia ktk sura mpya na hiyo nafasi ni wananchi ndo wakuchagua ila sio viongozi!.. keep it in your mind.
Meko na genge lake walikuwa wapigaji wa kuwekewa mfano...
Alivyompiga chini Prof Assad kipindi kile wacha Mungu tulishajua lengo lake...
Tukapiga goti kumwomba Mungu alikomboe taifa kwa namna anayoona inafaa...
Mungu akajibu maombi yetu kwa kufanya maamuzi magumu...
Sisi ni nani hata tusiyashukuru matendo makuu ya Mungu?
Kwa nn hiyo video ije muda huu,kama sio ufitinishi?
Alafu bado kuna Mtu anathubutu kutetea huu uhuni.Aiseee inasikitisha sana; utawala wa JIWE wafanyabishara wamenyanyasika sana, wameteseswa sana, wamefilisiwa sana na TASK FORCE.
Mwendazake mwenyewe alikuwa anapasua mambo hadharani.Vyombo vya Dola vinajulikana vilipo ni vyema kupeleka huko tuhuma zako huko. Huku ni kama unamchafua. Tuchape kazi majungu hayalipi.
Mimi sijaona sura yake lakini haiwezekani Mtu huyo huyo atajwe kwenye kila tukio baya, kwa nini asitajwe mwingine?.Kabla sijaingia mkenge wa kumuhukumu huyo jamaa kwenye hii saga nionyesheni pic yake. Baas nishamuona noma kweli...hii ni robbery
Ilishafunguliwa maana Mabasi yao yanaonekana na Wanafunzi Mitaani.St jude vipi imefunguliwa?
Usisahau huyu Bwana ni mmoja tu kati ya wengi waliopitia machungu....wengine wanaogopa au hawapendi kuwa adharani, wananung'unika chini kwa chini.biashara yake imesaidia zahanati au shule ngapi?
Samahani... hapo kwenye avatar ni ww?Mbwa ww, umetesa sana wafanyabiashara, Sabaya utakuwa na mwisho mbaya jambazi ww
Nasubiria kusikia kondoo anafanya kazi kwa spidi kiasi ganiHuyu mpumbavu nimemchinjia kondooo, hamalizi mwezi huu wa nne.
Na akijipindua kwenda viwanja,ataelekezwa beach tu akakutane na mabeach boy's wampe abc za maisha mnyama sana huyu dcAkamatwe afungwe jiwe shingon atupwe baharini.
Nasema uongo ndugu zangu.
Huyu ni kibaka na jambazi si kiongozi wa Umma!!Aisee! Na bado ni kiongozi wa UMMA?