Hivi huyu ni Kiongozi au tapeli? Kwanini Mamlaka zinamlea kiasi hiki?

Hivi huyu ni Kiongozi au tapeli? Kwanini Mamlaka zinamlea kiasi hiki?

Hivi taratibu zipoje, DC anaingia na kufanya majukumu ya Wilaya nyingine kivipi? Taratibu zipoje? Huyu sabaya asipongalia anaweza kuingia katika mgogoro wa muda mrefu na vyombo vya sheria, kazi alizozifanya ataziona mavi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Husda mbaya sana....mnapochafua watu wanaowazibia riziki mjue mmatengenezea mazingira mabaya vizazi vyenu huko mbeleni.
Kwanini Unakubali Kuwa Mpumbavu wa Kiwango hicho ndugu?

Hizo ndio taratibu za Ukusanyaji Kodi?

Huyo unayemshabikia Mamlaka Yake ya Utawala yanafika Hadi Wilaya ya Arusha?

Ushabiki wa hivi utafanya hata anayekuagiza kukudharau.
 
Hao ni wateuliwa wa jiwe cv yao kuu ilikuwa ni kuteka na kutishia wapinzani.Sasa baada ya kuwamaliza wapinzani wakawageukia kupora wananchi.
 
Hivi taratibu zipoje, DC anaingia na kufanya majukumu ya Wilaya nyingine kivipi? Taratibu zipoje? Huyu sabaya asipongalia anaweza kuingia katika mgogoro wa muda mrefu na vyombo vya sheria, kazi alizozifanya ataziona mavi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Baba yake naye alikuwa wa hovyo na tabia za hovyohovyo akiwa DC longido ndie aliyechoma nyumba za masai kibabe Ili kumpa mwekezaji
 
Aisee Mama Samia ukimrudisha huyu mtu tena basi nitaamini CCM ni ile ile. Hii ni aibu sana kwa serikali kuwa na watumishi wa aina hii. Huu ni upumbavu kabisa. Anajikuta nani huyu kijana? Mbona haya mambo yamelelewa sana?
 
Anapata wapi nguvu ya kutumia hizo number za UN, UNDP? Jamani huyu kijana labda ni kichaa kabisa. Huyu aliwezaje kuwa mtumishi wa umma? Aisee Jiwe alikuwa na matatizo sana kuliko tuliyoyaona.
 
Jambazi Saabaya akamatwe na aswekwe ndani kwa ujambazi wake na arudishe mali zote alizoiba kwa wafanyabiashara. Mama Samia tafadhali...
Kama ilifikia mahali kiongozi anatoka eneo la himaya yake yake ya kazi anakwenda kuvamia maduka ya watu, kwanini kiongozi kama huyu asiitwe jambazi?

Huu unyang'anyi au uporaji wa mali za watu usiku unatumwa na nani? Halafu mpuuzi moja akitoka hapo anamtaja hadi Mungu.

Kwa mujibu wa gazeti andiko toka gazeti kiuchunguzi la Sauti huru hizi ni video zilizonaswa na CCTV zikionesha jinsi DC wa Hai alivyovamia maduka ya watu Usiku mjini Arusha akinyang'anya pesa za wafanyabiashara kwa nguvu.

Hawa ndio viongozi wa umma wa serikali ya mwendazake.

View attachment 1746084
View attachment 1746085

Akamatwe afungwe jiwe shingon atupwe baharini.

Nasema uongo ndugu zangu

Nchi ilikuwa kama mafia state. Ashukuriwe Mungu

Da! Mola atupe hekima na busara tusiyalewe madaraka

Aiseee, alaf ndie best wa hayati, aisee magu was evil

Wakuu na wadogo wa JF.

Ukisikia hbr ya CAG juu ya jinsi pesa ya serikal inavyotafunwa kupitia watendaji wasio waaminifu kumbe JPM yalikuwa maneno tu na hakuwa na Sumu.

Sina kumbukumbu kamili kama miaka 6 ya jiwe CAG alikuwa anasoma Ukaguzi wake open kama inavyofanyika leo.

Kwa haraka 40% ya pesa ya serikal ilikuwa inaibiwa na wafanya kazi.

Na watu walimuogopa JIWE kipindi cha mwanzo lakini baada ya hapo wizi ulikuwa wa kutisha.

Ukisikia taarifa ya CAG utaona wazi kuwa katika kuthibiti mapato serikal ya JIWE haikumudu hata asilimia 50.


MAMA yetu kipenzi ana kila sababu ya kukaa na kamati wabuni mfumo wa kuthibiti wizi huu zaidi ya hapo TZ ni shamba la BIBI.

Pia nashauri MAMA AUNGANE NA KIDUKU KIM WA KOREA KUHUSU SHERIA ZAKE UKILA KUANZIA MILIONI 1, TUNYONGE TU HAKUNA NAMNA.

Mizizi ya Tz kuhusu,wizi kwa watendaji haiwezi kuisha kwa hali tu tuliyofikia kwa sheria zetu hizi lege lege.

Nasikia KAGAME amekomesha kabisa wizi cjw alifanyaje.

Nimeanza kuamini kumbe JIWE kuondoka inawezekana ni mpango wa SIR GOD mtenda haki.

Sifurahi kifo chake lakini tulifichwa mengi.

MUNGU IBARIKI TZ, MUNGU MBARIKI SSH RAIS WETU MPYA.

Ndiomaana alikua anahangaika na kufungia wanaharakati na vyombo vya habari ili uozo wake usijulikane yaani kaaibika hata hajaoza vizuri shwenzyyy

Mtanikumbuka Siyo Kwa Mabaya Lakini Kwa Mazuri
Haa 😂😁😀😀
Tanzania Ni Tajiri
Walikuwa Wanapiga Tu. Sheria Ipitiwe Upya
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
CAG Alikuwa Wapi Wakati Wa Jiwe 👄

Kila utawala huwa unasemwa hata mkwere ulisemwa na kulionekana Kama hakuna kilichofanyika! We weka kitabu mkononi na endelea kusoma utaona mapya! Mbona bado yanakuja.. huu ni mpevuko wa taifa letu kuingia ktk sura mpya na hiyo nafasi ni wananchi ndo wakuchagua ila sio viongozi!.. keep it in your mind.

Meko na genge lake walikuwa wapigaji wa kuwekewa mfano...

Alivyompiga chini Prof Assad kipindi kile wacha Mungu tulishajua lengo lake...

Tukapiga goti kumwomba Mungu alikomboe taifa kwa namna anayoona inafaa...

Mungu akajibu maombi yetu kwa kufanya maamuzi magumu...

Sisi ni nani hata tusiyashukuru matendo makuu ya Mungu?
 
Vyombo vya Dola vinajulikana vilipo ni vyema kupeleka huko tuhuma zako huko. Huku ni kama unamchafua. Tuchape kazi majungu hayalipi.
Mwendazake mwenyewe alikuwa anapasua mambo hadharani.
 
Kabla sijaingia mkenge wa kumuhukumu huyo jamaa kwenye hii saga nionyesheni pic yake. Baas nishamuona noma kweli...hii ni robbery
Mimi sijaona sura yake lakini haiwezekani Mtu huyo huyo atajwe kwenye kila tukio baya, kwa nini asitajwe mwingine?.
 
biashara yake imesaidia zahanati au shule ngapi?
Usisahau huyu Bwana ni mmoja tu kati ya wengi waliopitia machungu....wengine wanaogopa au hawapendi kuwa adharani, wananung'unika chini kwa chini.
 
Mimi nasubiri apigwe chini tu halafu aingie mtaani bila wale walinzi wake. Lazima adinywe tu mamaae!
 
Back
Top Bottom