Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Hivi taratibu zipoje, DC anaingia na kufanya majukumu ya Wilaya nyingine kivipi? Taratibu zipoje? Huyu sabaya asipongalia anaweza kuingia katika mgogoro wa muda mrefu na vyombo vya sheria, kazi alizozifanya ataziona mavi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app