King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Akamatwe afungwe jiwe shingon atupwe baharin ...
Nasema uongo ndugu zangu
Halafu ni recent video 09-February-2021.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akamatwe afungwe jiwe shingon atupwe baharin ...
Nasema uongo ndugu zangu
Jitu likiwa jinga la majinga yaani jingalao unadhani linaweza kuona nini?mbona sioni sura yake
Yule Bwana aliajiri vibakamuda wa kuwaanika umefika
Aahahahah! Jiwe la kusagia lifungwe shingoni aisee Mkuu umeenda mbali zaidiAkamatwe afungwe jiwe shingon atupwe baharin.
Nasema uongo ndugu zangu
Hadi nimeogopa.ina maana raisi magufuli alijua akakaa kimya au sijaelewa?Duh huyu ndio Ole Sabaya mbona, imekuwaje anafanya uhalifu huu?
Shocking hakyamungu [emoji24][emoji24]
DuhYani jamaa wameuwa biashara kwa makusudi kabisa mimi niliapa baada ya kufunga sifanyi tena biashara
wiper nyingine ilikaukiwa maji? 🤣 🤣 🤣Huyu ndo yule aliokua akilia msibani na machozi yalikua yanatoka kwenye jicho moja tu?
Aisee[emoji848]Huyu mpumbavu nimemchinjia kondooo, hamalizi mwezi huu wa nne.
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?Kama ilifikia mahali kiongozi anatoka eneo la himaya yake yake ya kazi anakwenda kuvamia maduka ya watu, kwanini kiongozi kama huyu asiitwe jambazi?
Huu unyang'anyi au uporaji wa mali za watu usiku unatumwa na nani? Halafu mpuuzi moja akitoka hapo anamtaja hadi Mungu.
Kwa mujibu wa gazeti andiko toka gazeti kiuchunguzi la Sauti huru hizi ni video zilizonaswa na CCTV zikionesha jinsi DC wa Hai alivyovamia maduka ya watu Usiku mjini Arusha akinyang'anya pesa za wafanyabiashara kwa nguvu.
Hawa ndio viongozi wa umma wa serikali ya mwendazake.
View attachment 1746084
View attachment 1746085