Hivi huyu ni Kiongozi au tapeli? Kwanini Mamlaka zinamlea kiasi hiki?

Hivi huyu ni Kiongozi au tapeli? Kwanini Mamlaka zinamlea kiasi hiki?

Tukisema Magufuli alikuwa mshenzi na wala hakufaa kuwa Rais wa Tanzania , watu wajue kuwa kamwe hatumwonei na huu ndo ukweli wenyewe.

Hii ni sehemu ndogo tu iliyokuwa ikifanywa na makundi aliyoyaunda pamoja na vijana wake kina Sabaya na Makonda. Bila kuwasahau kina Kheri James na Musiba.

Waliteka watu, kuuwa watu, kubambikia watu makesi wakishirikiana na Biswalo Mganga pamoja na kupora watu fedha.

Wafanyabiashara wengi walikimbia Tanzania kutokana na ushetani huu. Tukisema Mungu amemchukua Magufuli kwa Makusudi na kumleta Mama yetu Samia watu wawe wanaelewa.

Kama ilifikia mahali kiongozi anatoka eneo la himaya yake yake ya kazi anakwenda kuvamia maduka ya watu, kwanini kiongozi kama huyu asiitwe jambazi?

Huu unyang'anyi au uporaji wa mali za watu usiku unatumwa na nani? Halafu mpuuzi moja akitoka hapo anamtaja hadi Mungu.

Kwa mujibu wa gazeti andiko toka gazeti kiuchunguzi la Sauti huru hizi ni video zilizonaswa na CCTV zikionesha jinsi DC wa Hai alivyovamia maduka ya watu Usiku mjini Arusha akinyang'anya pesa za wafanyabiashara kwa nguvu.

Hawa ndio viongozi wa umma wa serikali ya mwendazake.

View attachment 1746084
View attachment 1746085
 
Tukisema Magufuli alikuwa mshenzi na wala hakufaa kuwa Rais wa Tanzania , watu wajue kuwa kamwe hatumwonei na huu ndo ukweli wenyewe.

Hii ni sehemu ndogo tu iliyokuwa ikifanywa na makundi aliyoyaunda pamoja na vijana wake kina Sabaya na Makonda. Bila kuwasahau kina Kheri James na Musiba.

Waliteka watu, kuuwa watu, kubambikia watu makesi wakishirikiana na Biswalo Mganga pamoja na kupora watu fedha.

Wafanyabiashara wengi walikimbia Tanzania kutokana na ushetani huu. Tukisema Mungu amemchukua Magufuli kwa Makusudi na kumleta Mama yetu Samia watu wawe wanaelewa.
Bora tu alipumzika huyu mzee alikuwa na roho ngumu ambayo watanzania wengi hatuna sijui ilikuwa roho gani. Bora kapumzika
 
Tukisema Magufuli alikuwa mshenzi na wala hakufaa kuwa Rais wa Tanzania , watu wajue kuwa kamwe hatumwonei na huu ndo ukweli wenyewe.

Hii ni sehemu ndogo tu iliyokuwa ikifanywa na makundi aliyoyaunda pamoja na vijana wake kina Sabaya na Makonda. Bila kuwasahau kina Kheri James na Musiba.

Waliteka watu, kuuwa watu, kubambikia watu makesi wakishirikiana na Biswalo Mganga pamoja na kupora watu fedha.

Wafanyabiashara wengi walikimbia Tanzania kutokana na ushetani huu. Tukisema Mungu amemchukua Magufuli kwa Makusudi na kumleta Mama yetu Samia watu wawe wanaelewa.
Umemuona Magu hapo!!???
are you mad or something!!??
ww kila kitu Magu!!??
mwishowe utamegewa mke utasingizia nanii
 
Umemuona Magu hapo!!???
are you mad or something!!??
ww kila kitu Magu!!??
mwishowe utamegewa mke utasingizia nanii
Mamlaka ya uteuzi wa Sabaya alikuwa nani kama sio Magufuli???? Kwa nini hakuwai kumuonya au hata kumtumbua Kama alivyokuwa akijifanya kuwa yeye ni Raisi mwenye taarifa nyingi????

Kataa kubali Magufuli alikuwa mshenzi aliyepindukia aliyeharibu sana Taifa letu kwa tabia zake za kirundi akishirikiana na vikundi vyake vya wahuni kina Sabaya na Makonda!
 
Kama ilifikia mahali kiongozi anatoka eneo la himaya yake yake ya kazi anakwenda kuvamia maduka ya watu, kwanini kiongozi kama huyu asiitwe jambazi?

Huu unyang'anyi au uporaji wa mali za watu usiku unatumwa na nani? Halafu mpuuzi moja akitoka hapo anamtaja hadi Mungu.

Kwa mujibu wa gazeti andiko toka gazeti kiuchunguzi la Sauti huru hizi ni video zilizonaswa na CCTV zikionesha jinsi DC wa Hai alivyovamia maduka ya watu Usiku mjini Arusha akinyang'anya pesa za wafanyabiashara kwa nguvu.

Hawa ndio viongozi wa umma wa serikali ya mwendazake.

View attachment 1746084
View attachment 1746085
Alilindwa na ngazi za juu
 
Mamlaka ya uteuzi wa Sabaya alikuwa nani kama sio Magufuli???? Kwa nini hakuwai kumuonya au hata kumtumbua Kama alivyokuwa akijifanya kuwa yeye ni Raisi mwenye taarifa nyingi????

Kataa kubali Magufuli alikuwa mshenzi aliyepindukia aliyeharibu sana Taifa letu kwa tabia zake za kirundi akishirikiana na vikundi vyake vya wahuni kina Sabaya na Makonda!
Punguza kulia lia sio sign nzuri kwa mtoto wa kiume!
 
1. Jamaa walikuwa counter wanachota pesa kutoka kwa Muhindi. Ila wameshtuka kuwa kuna camera imewanasa. Wakaamua kuipandisha juu. Ila kwa ukilaza wake sura yake imeonekana vizuri sana wakati anapandisha kamera kwenye direction ya juu.

2. DC Sabaya ameonekana vizuri sana akiwa amesimama kushuhudia ujambazi wao ukiwa unaendelea kufanywa na hao washirika wake.

3. Mamlaka ya uteuzi inabidi ichukue hatua za haraka ili isichafue Serikali. Kitendo cha huyo DC kufanya ujambazi kwa kutumia State Machinery ni zaidi ya uhaini.
 
Back
Top Bottom