Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,154
Naona mmeunda timu ya kumchafua ili anyang'anywe tonge,kila sehemu mnamsema DC Hai,Wewe na Lema acheni ushamba mlishatubu lakini?Kama ilifikia mahali kiongozi anatoka eneo la himaya yake yake ya kazi anakwenda kuvamia maduka ya watu, kwanini kiongozi kama huyu asiitwe jambazi?...