Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Huyu jamaa nilishangaa sana alipoteuliwa kuwa MW maana toka ajifanye afisa kipenyo sina ha.u nae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imekuaje mzeeSabaya nilikuwa nakuamini kwa uchapa kazi na ukizingatia wewe bado damu changa. Nilisimama hata kutaka kugombana na watu pale nilpopita na kusikia ukisimangwa. Sabaya nimeona cctv nimeacha kumwamin binadam yeyote hapa duniani. Sabaya najiuliza mara mbili hivi ni wewe au macho yangu yanaona ukungu, kama ni wewe umeniangusha sana rafki yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekiona wewe! Sisi ambao hatujaona je? Ila in short Sabaya labda umemjua juzi juzi! Sabaya ni mshenzi na muhuni toka kitambo! Alikuwa rais wetu wa kwanza chuo SJUT 2007 Kipindi hicho sisi ndio tulikuwa waanzalishi wa kwanza wa kile chuo! Alipita with fyling colours ila alikuja kitusaliti sana wanachuo! Ni mshenzi mmoja tu yuleSabaya nilikuwa nakuamini kwa uchapa kazi na ukizingatia wewe bado damu changa. Nilisimama hata kutaka kugombana na watu pale nilpopita na kusikia ukisimangwa. Sabaya nimeona cctv nimeacha kumwamin binadam yeyote hapa duniani. Sabaya najiuliza mara mbili hivi ni wewe au macho yangu yanaona ukungu, kama ni wewe umeniangusha sana rafki yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha kelele nenda kamalizie story yako kule. Huoni hapo juu nimeandika tetesi?Na wewe ndio umeamua utusambazie huku?mbona video yenyewe haina sauti wala sura ya huyo Sabaya?
Tutajuaje labda alienda kukamata muarifu wewe unasema ameenda kukusanya kodi kwa mbavu.
Hacheni uchochezi🤔
Na wewe ndio umeamua utusambazie huku?mbona video yenyewe haina sauti wala sura ya huyo Sabaya?
Tutajuaje labda alienda kukamata muarifu wewe unasema ameenda kukusanya kodi kwa mbavu.
Hacheni uchochezi🤔
Mnapoirusha hii video na akiiona kkinyesi kinamgonga kwa nyuma.
Enzi za Jiwe mdhulmati angeiona hii video angempa u RC ila kwa utawala wa haki huyu hatachomoka
Ni kazi yake kukamata wahalifu? anyways labda kama ni muarifu na sio muharifu.Na wewe ndio umeamua utusambazie huku?mbona video yenyewe haina sauti wala sura ya huyo Sabaya?
Tutajuaje labda alienda kukamata muarifu wewe unasema ameenda kukusanya kodi kwa mbavu.
Hacheni uchochezi🤔
Mkewe unajua alikokuwa mumeo Sabaya hebu tueleze vizuriNa wewe ndio umeamua utusambazie huku?mbona video yenyewe haina sauti wala sura ya huyo Sabaya?
Tutajuaje labda alienda kukamata muarifu wewe unasema ameenda kukusanya kodi kwa mbavu.
Hacheni uchochezi[emoji848]