Hivi huyu ni Kiongozi au tapeli? Kwanini Mamlaka zinamlea kiasi hiki?

Vyombo vya Dola vinajulikana vilipo ni vyema kupeleka huko tuhuma zako huko. Huku ni kama unamchafua. Tuchape kazi majungu hayalipi.
 
,[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?
 
Kabla sijaingia mkenge wa kumuhukumu huyo jamaa kwenye hii saga nionyesheni pic yake. Baas nishamuona noma kweli...hii ni robbery
 
Furahaa hatimaye, ila Mh. Rais anahitaji sana ushirikiano wetu wa dhati ili kuyafikia matarajio ya wengi wetu!
 
Huu uongozi haumfai.. akae pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…