Ili tukupime kama una Ela ngoja figo zako zifeli ndo tutajua kijana ulimaanisha au ulikuwa unabwabwaja.Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Ndani ya miaka mitatu kulikua hamna changes zozote zile daaah...Miaka 3 nilifeli kubadilisha maisha yangu
Aache hiyo kazi haitomfanya awe tajiri zaidi ataishia kuhonga mademu na kujitafutia magonjwa na umasikiniNdani ya miaka mitatu kulikua hamna changes zozote zile daaah...
Ebu kama ukiambiwa uwe mshauri.
Unamshauri nini kijana ambaye anajihusisha na hizo ishu za kuban CD
Hata wewe zitafeli tuIli tukupime kama una Ela ngoja figo zako zifeli ndo tutajua kijana ulimaanisha au ulikuwa unabwabwaja.
Tafuta hela masikini wewe
Asee umenifanya nicheke kwa sauti
Naomba codesHuwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Na kwa taarifa yako pesa haitafutwi. Kinachotafutwa ni fursa.Tafuta hela masikini wewe
Sawa sawa....Aache hiyo kazi haitomfanya awe tajiri zaidi ataishia kuhonga mademu na kujitafutia magonjwa na umasikini
Hawezi kukupa codes maskini tu huyo hajui lolote kuhusiana na pesa ndio maana amkariri kusema tafuta pesa.Naomba codes
Akikujibu nitagSawa sawa....
Sasa afanye kazi gani ili awe tajiri mkuu
Alafu wewe ndo mana sku ile walitaka kukupiga
Sawa mkuuAkikujibu nitag
wewe dawa yako ni mauti. siku ikifika ndiyo utajua hujui. Mpe Yesu maisha yako uwe na uzima wa milele.Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenuwana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwaHuwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Kapitie list ya Forbes wa Tandale ya Bibi Nyau🤣, hapo utamkutaNgoja nikapitie list ya Forbes huenda nikakuona tajiri mtoto