Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Sheria za jamhuri ya muungano zinasemaje dhidi ya mtoto mwemye kauli kama hizi ndugu wakili LabellaHuyo mzazi majukumu yawe kwangu kwani Mimi ndio niliemzaa
It depends.Hapo sawa nimekupata mkuu. Na kwa vyovyote vile wazazi wapumbavu lazima wazae katoto kapumbavu. Yaani hata kawe kakubwa katakuwa kapumbavu tu
Mkatalie mwambie anye uzoe, umbebe, umfulie, ulishe chakula, kama alivyokulea yeye labda nd unàchotakaYeye mbona anataka Ganda la ndizi kwenye pesa ambazo sio zake
Eti bwana kama ni kutafuta yeye Ujana wake alitafuta nini? Kila mtu akale alikopeleka mboga.Huyo mzazi majukumu yawe kwangu kwani Mimi ndio niliemzaa
Wengine mtoto akiolewa mkwe utakiona cha mtema kuni yaani ni lazima kumtunza mkweHuwa nashangaa unakuta mzazi anakua tegemezi Kwa kijana ambae amejitafuta Kwa jasho na damu amejipata mzazi anakua analandalanda kumnyonya huyu kijana Kwa lengo kwamba amemzaa kwani huyu mzazi yeye alizaa Ili amfanye mtoto punda yaani kiasi kwamba mtoto asipomsaidia mzazi anatangaza kutoa laana wakati na yeye alikua kijana kwahiyo anampa mzigo huyu mtoto baada ya kupambania familia yake anaanza kulea mzazi asiejielewa aisee mtu mweusi akili hana kabisa huu ni udiktekta mambo leo Kwa watoto ukweli usemwe nyie wazee msipende Ganda la ndizi
Ukikosa dini umenyimwa kheri nyingi sana kwenye huu ulimwenguHuwa nashangaa unakuta mzazi anakua tegemezi Kwa kijana ambae amejitafuta Kwa jasho na damu amejipata mzazi anakua analandalanda kumnyonya huyu kijana Kwa lengo kwamba amemzaa kwani huyu mzazi yeye alizaa Ili amfanye mtoto punda yaani kiasi kwamba mtoto asipomsaidia mzazi anatangaza kutoa laana wakati na yeye alikua kijana kwahiyo anampa mzigo huyu mtoto baada ya kupambania familia yake anaanza kulea mzazi asiejielewa aisee mtu mweusi akili hana kabisa huu ni udiktekta mambo leo Kwa watoto ukweli usemwe nyie wazee msipende Ganda la ndizi
Hiyo Sasa ndio roho mbaya yaani eti kisa mtu mlevi ndio umbague usimpe mgao acheni roho mbaya nyie wazee ndio maana mnatelekezwa na watoto mfano hicho ulichoandika ndio ubaguzi wenyewe kifo huwezi kumondolea wewe mzazi kama kufa mtoto atakufa tu hata usipompa helaHilo nalo neno pia. Ila wapo wazazi kwa hekima zao wanweza kuona ukimpa huyu George mil 5 ni sawa na "umemuua"- huyo ni chapombee, ufuska, mgomvi sana na kubett. Lakini ukimpa huyu Peter hizo-hizo mil 5 "zitamfikisha" mbali- huyu ni mjasiriamali ila tu anakosa nguvu/mtaji. Kwa busara na upendo mkubwa kwa wote wawili, mzazi anamnyima George, anampa Peter.
Acha ujinga wewe kutetea mazee ya ovyoHiyo ndo Tabia ya Mungu wa Mbinguni na hali kadhalika pia Mungu wa hapa duniani yaani Wazazi. Kwa hiyo hiyo ni Tabia ya Mungu.
Wazazi wa miaka ya 90 kurudi nyuma walikuwa wanapiga kihiphop sio kama wa zama za 2000 kwenda mbele. Kukuta familia ina watoto saba na kuendelea lilikuwa jambo la kawaida.Watoto 8 umekuwa mbwa au nguruwe😅
Akili Yako Ina maviAcha akili!
Kwaiyo ulitK amtegemee naniii
Kila mtu n ridhiki yake
Kuna watoto wananufaika na utajiri wa wazazi wao kwasababu walijipTa
Na kuna wazazi wananufaika na Utajiri wa watoto wao.
Kwaiyo ukijipata jua wanaonufIka n watu wako wa karibu
When resources are limited, you allocate them to areas with the greatest potential for return.Hiyo Sasa ndio roho mbaya yaani eti kisa mtu mlevi ndio umbague usimpe mgao acheni roho mbaya nyie wazee ndio maana mnatelekezwa na watoto mfano hicho ulichoandika ndio ubaguzi wenyewe kifo huwezi kumondolea wewe mzazi kama kufa mtoto atakufa tu hata usipompa hela
Hizo ni shida zake sikumuomba anizaeMkatalie mwambie anye uzoe, umbebe, umfulie, ulishe chakula, kama alivyokulea yeye labda nd unàchotaka
Hata mbuzi wanazaaWazazi wanastahili pongezi kwa kukuleta tu duniani sio kazi rahisi.
Hahahaha duuhWengine mtoto akiolewa mkwe utakiona cha mtema kuni yaani ni lazima kumtunza mkwe
Fanya kazi acha kusubiri kulelewa na watotoHuu utandawazi unatengenezs mitoto ya hovyo sana..