Hivi inakuwaje mzazi anakua tegemezi Kwa mtoto ambaye amejitafuta Kwa jasho lake bila kumrithisha hata mbuzi mmoja

Utapata laana...



...Ni Hayo Tu!!
 
Huu ndio unyonyaji tunaouzungumzia mtu anatumia kigezo Cha uzazi kumfanya mtoto mtumwa
 
Kuwa oyaone, ndio utashagaa 9 kuitwa kenda...
Endelea kuona wazee wako hawastahili msaada wako kwa kuwa tu haujaridhi chochote toka kwao.
Nakazia hoja. Inaonekana huyo unayemjibu bado ni "chalii" hajitambui na anashindwa hata kujua kwamba uhai alionao amegawiwa na wazee wake. Anataka urithi gani zaidi???. Mavijana ya ck hizi! shida kweli-kweli. Hapo ndo inafikia wakati unmsikia mzazi akisema "Siku niliyokuzaa niliipoteza bure, bora hata ningelienda shambani"
 
Waliotoa comment wonte vizibo ni wajinga.maisha yako amua wewd kama wewe .me na watoto wananitegemea na mke na wakwe pia.wewe mzazi kunguru ujana wako uliutumia aje mpaka uje kua mzigo wa mavi kwangu.pumbafu kufa nikuzike usinipe stress
 
Jinga sana wewe hamna binadamu anaetoa uhai wa mtu wewe itakua kubwa jinga
 
Hivi unalazimishwa kusaidia huyo mzazi wako? au ni kwa hiyari yako mwenyewe?

Kuna haja gani ya kumsaidia mzazi wako sambamba na manung'uniko na malalamiko chungu nzima!! Kama unajiona kauzu si unakausha tu halafu uone hiyo nafsi yako kama itasuuzika.

Ukute Malaya unawahonga pesa kibao! Ujana una mwisho wake na fainali ni uzeeni.
 
Mtolee uvivu huyo asikuzoee u badili simcard..
 
Waliotoa comment wonte vizibo ni wajinga.maisha yako amua wewd kama wewe .me na watoto wananitegemea na mke na wakwe pia.wewe mzazi kunguru ujana wako uliutumia aje mpaka uje kua mzigo wa mavi kwangu.pumbafu kufa nikuzike usinipe stress
Hahaha majitu yanaandika kirahisi tu unakuta mtoto umekulia shida basi katika kujitambua umejitafuta tena sehemu nyingine umepita za hatari halafu mzazi anataka kula pesa zako kibabe kama amezitafuta yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…