Hivi Kuna klabu kubwa na Bora duniani zaidi ya real Madrid

Hivi Kuna klabu kubwa na Bora duniani zaidi ya real Madrid

Sasa mbona huna pointi nimekuuliza ukubwa wa timu ni Nini nitajie maana hii ni football ukubwa wake unaupataje tofauti ni makombe kabatini
Ukubwa wa timu ni mashabiki wenye mapenzi ya kweli, wana derby kubwa,
Madrid yako hata derby haina inajilazimisha el clasico
 
Ukubwa wa timu ni mashabiki wenye mapenzi ya kweli, wana derby kubwa,
Madrid yako hata derby haina inajilazimisha el clasico
Kwahiyo Madrid hana mashabiki wenye mapenzi ya kweli mbona unaandika vituko mkuu yaani Madrid asiwe na mashabiki wenye mapenzi ya kweli acha kuandika vituko mkuu eti Madrid Haina derby kwahiyo wakicheza na atletico Madrid ni Nini Ile mkuu 🤣🤣🤣
 
Naomba kujibiwa hili swali wakuu hivi Kuna klabu kubwa na Bora duniani zaidi ya hii timu ya real Madrid hapa tunaongea ki mpira na si kishabiki
Ubora na ukubwa wa timu hupimwa kwa makombe waliyonayo na sio porojo.

Kwa maelezo hayo yatosha kudhibitisha hilo kwamba R. Madrid timu Bora duniani no dought
 
Ubora na ukubwa wa timu hupimwa kwa makombe waliyonayo na sio porojo.

Kwa maelezo hayo yatosha kudhibitisha hilo kwamba R. Madrid timu Bora duniani no dought
Naona wengine wanapinga na hawana pointi yeyote aisee wanaorodhesha timu nikiwauliaa zinamakombe mangapi wanabaki kusema ukubwa wa timu sio makombe Sasa timu ya mpira kazi yake ni Nini kama sio kujikusanyia makombe
 
Kwahiyo Madrid hana mashabiki wenye mapenzi ya kweli mbona unaandika vituko mkuu yaani Madrid asiwe na mashabiki wenye mapenzi ya kweli acha kuandika vituko mkuu eti Madrid Haina derby kwahiyo wakicheza na atletico Madrid ni Nini Ile mkuu 🤣🤣🤣
Madrid haifikii ukubwa ac Milan au Liverpool
Japo Madrid nayo ni miongoni mwa timu kubwa
 
Ubora na ukubwa wa timu hupimwa kwa makombe waliyonayo na sio porojo.

Kwa maelezo hayo yatosha kudhibitisha hilo kwamba R. Madrid timu Bora duniani no dought
Uzi ufungwe 🔒
 
Madrid haifikii ukubwa ac Milan au Liverpool
Japo Madrid nayo ni miongoni mwa timu kubwa
Wewe huna unachojua na nimegundua pale uliposema Madrid Haina derby jaribu kufuatila michezo mingine mkuu unaweza ukawapata wa kuwadanganya
 
Wewe unaefatilia DStv huwezi jua timu kubwa
Jaribu kufuatila michezo mingine mkuu hata rede itakufaa mpira sio mdomoni Bali uwanjani ninachokiona kwako unapiga umbea ila sio kuzungumzia ball
 
Jaribu kufuatila michezo mingine mkuu hata rede itakufaa mpira sio mdomoni Bali uwanjani ninachokiona kwako unapiga umbea ila sio kuzungumzia ball
Timu kubwa ni zaidi ya makombe dogo
Madrid ni miongoni mwa timu kubwa lakini jua timu kubwa zipo na hazina mbwembwe
 
Back
Top Bottom