Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Daah..jamaa umenchekesha sn. Afu hapa nakula zangu chips kuku nusu [emoji16]
 
ssue za moyo unafuraha au huzuni ni la kwao binafsi

Hayo yote yakiwemo manissan na mahekalu hayana maana kama hayawaletei furaha!!!!! Tajiri anafurahia vipi mali yake wakati hawezi kula vizuri na kunywa vizuri kwa sababu ya ubovu wa afya yake?
 
Usikate tamaa mkuu kikubwa kupambana
 
JK mtu wa watu. Bondia wa kidigo kafiwa na Mama mzazi Tanga yeye akaenda akashiriki msiba. Ni mtu mmoja anafanikiwa akiwa hana kinyongo.

Hana ushamba wa kutunza chuki moyoni wala visirani vya kununiana na wanasiasa wenzake.
Nilichogundua wanaovikuta ukubwani huwa ni watu wakatili na roho mbaya, Ukizaliwa umevikuta havikupi shida
 
"Mzee Mkuu alikuwa anamalizia stress za uongozi kwa kupiga mitungi ya kirusi kwa kwenda mbele"😳 (Awamu ya 1)

"Mwingine akawa anamalizia stress kwa kuongeza Ibada "😀 ,( ruksa)

"Mwingine hisia zilikuwa zikizidi anachukua pipa na washkaji wake kwa jina la wafanyabiashara kwenda kula bata"...duh (Lupaso)

"Mwingine akawa anapanga watu barabarana 'wazuie' msafara wake anachamba, anafoka anatoa ya Moyoni nafsi inatulia"...( Huyu jiwe alipata stress sana kwa ku-take kila kitu personal as if peke yake ndiye mwenye majibu)
 
Hapo we ungechagua ipi,mi ningekuwa naenda serengeti na totoz za maana
 
Hayo yote yakiwemo manissan na mahekalu hayana maana kama hayawaletei furaha!!!!! Tajiri anafurajha vipi mali yake wakati hawezi kula vizuri na kunywa vizuri kwa sababu ya ubovu wa afya yake?
[emoji23][emoji23],mkuu unaonekana uko na stress sana....
 
Kamwambieni basi amwombee Mh.Mbowe msamaha.
 
Makonda zama za Jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…