Nzwangendaba
JF-Expert Member
- Nov 9, 2019
- 518
- 722
Daah..jamaa umenchekesha sn. Afu hapa nakula zangu chips kuku nusu [emoji16]Kwetu tambuka reli soko mjinga wanauza maharage yaliyopikwa bakuli mia mbili, na yashaungwa nazi kabisa
Unapika ugali usiku ukitoka kwny mihangaiko unamtuma Mtoto maharage ya mia mbili kwny bakuli siku imeisha
Ukishiba unaingia JF kwa miatano yako tu ya kifurushi kubishana Siasa za Katiba mpya
ssue za moyo unafuraha au huzuni ni la kwao binafsi
Usikate tamaa mkuu kikubwa kupambanaNakumbuka kipindi Cha mkapa mzee wangu aliweza kumiliki gar tatu kwa mpigo na wote tukasoma Private school
Kipindi Cha jkn akaacha mwenyewe nae broo akawa ndio ananza Kaz akitokea udsm lmv duh hatari Sana
Siwez sema yote ila kila tawala ina bahat zake
Akaja jpm dah broo ninae mfata katusua mbaya
Nilichogundua wanaovikuta ukubwani huwa ni watu wakatili na roho mbaya, Ukizaliwa umevikuta havikupi shidaJK mtu wa watu. Bondia wa kidigo kafiwa na Mama mzazi Tanga yeye akaenda akashiriki msiba. Ni mtu mmoja anafanikiwa akiwa hana kinyongo.
Hana ushamba wa kutunza chuki moyoni wala visirani vya kununiana na wanasiasa wenzake.
Ukivikuta toka unatambaa utotoni hauwezi kuwa na visasi vya aina yoyote. Taabu uwe umekuja Dar mkubwa kuja kusoma shahada ya kwanza pale mlimani.Nilichogundua wanaovikuta ukubwani huwa ni watu wakatili na roho mbaya, Ukizaliwa umevikuta havikupi shida
"Mzee Mkuu alikuwa anamalizia stress za uongozi kwa kupiga mitungi ya kirusi kwa kwenda mbele"😳 (Awamu ya 1)Mara nyingi wanaokula bata na kufaidi raha za viongozi ama matajiri huwa ni Wanawake zao na Watoto wao ambao hawajui stress za Madaraka au za kumiliki Mali nyingi
Kama Mwanasiasa na kama kiongozi huwa anapitia nyakati ngumu za stress, hisia za kusalitiwa na hata wakati mwingine nafsi inakusuta unapowafanyizia wanasiasa maadui zako ama kwa ku revenge au kuwadhibiti dhidi ya hila zao
Mzee Mkuu alikuwa anamalizia stress za uongozi kwa kupiga mitungi ya kirusi kwa kwenda mbele
Mwingine akawa anamalizia stress kwa kuongeza Ibada
Mwingine hisia zilikuwa zikizidi anachukua pipa na washkaji wake kwa jina la wafanyabiashara kwenda kula bata
Mwingine akawa anapanga watu barabarana 'wazuie' msafara wake anachamba, anafoka anatoa ya Moyoni nafsi inatulia
Kwa mawazo yangu anaekula bata zaid ni yule ambae hana muda wa kuwa na stress bila ya kujali ana kipato kiasi gani
Bashite bwana mdogo ushamba ulimzidi, ndio kwanza mwaka huu anatimiza miaka 40.Amekula bata kumzidi bashite? maana kwa maneno yake mwenyewe alidai hakuna anayekula raha hapa duniani kama yeye..........
Hapo we ungechagua ipi,mi ningekuwa naenda serengeti na totoz za maana"Mzee Mkuu alikuwa anamalizia stress za uongozi kwa kupiga mitungi ya kirusi kwa kwenda mbele"😳 (Awamu ya 1)
"Mwingine akawa anamalizia stress kwa kuongeza Ibada "😀 ,( ruksa)
"Mwingine hisia zilikuwa zikizidi anachukua pipa na washkaji wake kwa jina la wafanyabiashara kwenda kula bata"...duh (Lupaso)
"Mwingine akawa anapanga watu barabarana 'wazuie' msafara wake anachamba, anafoka anatoa ya Moyoni nafsi inatulia"...( Huyu jiwe alipata stress sana kwa ku-take kila kitu personal as if peke yake ndiye mwenye majibu)
Aaagh mimi nikikutana na watu mbalimbali na kujadiliana masuala kadhaa huwa ninafarijika sanaHapo we ungechagua ipi,mi ningekuwa naenda serengeti na totoz za maana
[emoji23][emoji23],mkuu unaonekana uko na stress sana....Hayo yote yakiwemo manissan na mahekalu hayana maana kama hayawaletei furaha!!!!! Tajiri anafurajha vipi mali yake wakati hawezi kula vizuri na kunywa vizuri kwa sababu ya ubovu wa afya yake?
SanaHata Le Mutuz nae kala bata hatari
Kamwambieni basi amwombee Mh.Mbowe msamaha.Mara nyingi wanaokula bata na kufaidi raha za viongozi ama matajiri huwa ni Wanawake zao na Watoto wao ambao hawajui stress za Madaraka au za kumiliki Mali nyingi
Kama Mwanasiasa na kama kiongozi huwa anapitia nyakati ngumu za stress, hisia za kusalitiwa na hata wakati mwingine nafsi inakusuta unapowafanyizia wanasiasa maadui zako ama kwa ku revenge au kuwadhibiti dhidi ya hila zao
Mzee Mkuu alikuwa anamalizia stress za uongozi kwa kupiga mitungi ya kirusi kwa kwenda mbele
Mwingine akawa anamalizia stress kwa kuongeza Ibada
Mwingine hisia zilikuwa zikizidi anachukua pipa na washkaji wake kwa jina la wafanyabiashara kwenda kula bata
Mwingine akawa anapanga watu barabarana 'wazuie' msafara wake anachamba, anafoka anatoa ya Moyoni nafsi inatulia
Kwa mawazo yangu anaekula bata zaid ni yule ambae hana muda wa kuwa na stress bila ya kujali ana kipato kiasi gani
Kamwambieni basi amwombee Mh.Mbowe msamaha.
Makonda zama za JiweKuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni