Sifa za kijinga mr ebo alisemaArusha kitu wanachopenda kuprove ni kuwa hawana akili sawa sawa.
Katika kitu huwa kinanistaajabisha ni hicho. Yaani mtu ana hangaika kukuonyesha kwa maneno na vitendo namna ambavyo hana akili sawa sawa na anaona ni sifa muhimu ya kumfanya aonekane katika jamii.
Halafu si wanaume si wanawake si watoto si wazee wote idea zao zinakaribiana. Utasikia "Aiseee chalii yangu mimi ni mwehu mani kaulize sijui mawapi huko nilipo ngarambua kiyechuyechu"
Me huwa nawatazama natikisa kichwa nasepa.
Eti dar kijijiniAcha wivu wa kike jomba. Mtu kukuambia yeye ni mwehu haimaanishi yeye ni kichaa anamaanisha hapendi ujinga ujinga.
Mkitoka huko vijijini kwenu daslam mkaingia na ushamba Arusha lazima tuwaambie muache mazoea ya kiree.
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Arusha kitu wanachopenda kuprove ni kuwa hawana akili sawa sawa.
Katika kitu huwa kinanistaajabisha ni hicho. Yaani mtu ana hangaika kukuonyesha kwa maneno na vitendo namna ambavyo hana akili sawa sawa na anaona ni sifa muhimu ya kumfanya aonekane katika jamii.
Halafu si wanaume si wanawake si watoto si wazee wote idea zao zinakaribiana. Utasikia "Aiseee chalii yangu mimi ni mwehu mani kaulize sijui mawapi huko nilipo ngarambua kiyechuyechu"
Me huwa nawatazama natikisa kichwa nasepa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekutana na vijana wa huko katika harakati za Elimu , na mmoja mmoja kitaa, asilimia kubwa walikuwa ni washamba.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu wa Arusha wewe unawaonaga ni wazima? Wote tu kama wamevurugwa muda wote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yes,ni kweli!,Arusha ina wenyewe wavuta bangi,ushamuona Mtu mwenye akili timamu anakaa Arusha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vijana wa kiarusha huwa wamevurugwa muda wote, si waendesha boda pekee...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chugga na bangi ni kama Pete na kidole
SamalekoMwanamke kwa kutusagia kunguni hujamboo.
Nimebakiza kuolewa Uchagani tuHaya wenye magari mtusamehe. Karibuni kwenye mji wetu.
Uvutaji wa Bangi kiholela,Unywaji wa Pombe kali zisizo na viwango,Ujuaji wa Kijinga,Vijana wa kike kuvaa nguo za wanaume,Upumbavu na Uzandiki ndivyo vitu vimeiletea laana Arusha.
ππππWasukuma
Vijana wa Arusha
Serikali inabidi kuwekeza Nguvu kubwa kuwatoa katika utumwa wa fikra maana kichwani hawanga kitu Kabisa
Daaah yani ni ukweli usio pingikaNdio zao hao, au hata wasiokuwa na magari. Jamani wanavuka barabara roughly sana, hawaogopi magari. Wanataka wao ndio gari impishe.
Ndugu zake sio wanyaki tena?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heaven Sent ndugu zako hao