Hiyo kutokujinyima chakula umeiweka kitaalam sana mkuuπ na umeandika Kwa hisiawatu wanaoishi vijijini wanakuwa na uelewa mdogo wa mambo ya mjini hivyo huonekana washamba
sasa kwavile wasukuma wengi wanaishi vijijini mmekariri wote ni washamba
halafu mambo mengi mnayowasemea kama kutokujinyima chakula na kupenda kilugha chao si ushamba ni mtindo wa maisha tu
Pesa ya Msukuma huwa haiendi hivi hivi utailipia tu.Mimi wananitumia pesa kwenye namba yangu wakiamini ni ya ndugu yao nazikula tu kibubu kinajaa
Kuongelea Kilugha penye watu wengi ambao sio wa kabila lako haijakaa poa. Inakuwa kama mnawateta.watu wanaoishi vijijini wanakuwa na uelewa mdogo wa mambo ya mjini hivyo huonekana washamba
sasa kwavile wasukuma wengi wanaishi vijijini mmekariri wote ni washamba
halafu mambo mengi mnayowasemea kama kutokujinyima chakula na kupenda kilugha chao si ushamba ni mtindo wa maisha tu
daah jamaa wana makeke si habaKwandya olena madako matare ama Ole yomba yomba dhoo(motulekagi shi bing'we abasakuma tolebachangamfu
Hiyo tunaita dabo difu....Kuna mmoja huyo anakata bonge moja la tonge afu anaanza kuligawanya vipande vipande likiwa hapo hapo mkononi π
Maana wanafanya kazi ngumu sana. Ndiyo maana hawanenepeani hovyo pamoja na kula sana...πWatu wanakula kama viwavijeshi.
Njoo inbox mtoto mzuri.Humu humu ndani? wasukuma njooni tuunganishe undugu na mimi piaπ
Bila shaka watakuwa ni ndugu haoInawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda ,ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria flani kuonyesha kuwa ni mshamba nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki, angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Wasukuma ni wengi kwahiyo wakifanya kitu wanaonekana kwa wingi sana, wingi wao unawabeba kwenye jambo liwe baya au zuriKweli nimeamini Tz hii bila wasukuma haijakamilika asee. Mbona vitu ulivyosema wewe hata waha,wamasai,wambulu nk wako hivyo hata akikosea simu atalazimisha na haelewi Hadi ukate simu?
Manyanza
Mimi nimekupigia. Halafu unasema eti nimekosea namba. Ina maana mimi sina akili ama?Halafu hivi kweli kuna mahusiano gani kukosea namba na usukuma!!! Na ni wabishiii kweliπ€£π€£
πππhii ipo sanaMimi nimekupigia. Halafu unasema eti nimekosea namba. Ina maana mimi sina akili ama?
Jana tu nimezozana sana na jamaa anasema sijui eti wrong number wakati namba hiyo ilikuwaga ya pisi yangu mwaka mmoja na nusu tu uliopita. Sikutaka kumwelewa kabisa. Na leo nampigia tena mpaka kieleweke dadeki! πππ
Sawa mkuu, nyie tusemeni tu!Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda ,ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria flani kuonyesha kuwa ni mshamba nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki, angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea