Maxwell jk
Member
- Jan 1, 2023
- 13
- 11
Ila wakina ngoshaWana kata matonge makubwa...ππ
Wana tafuna mahindi/makande kwa nguvu...π
Wana tafuna miwa na karanga hata kama wamevaa suti...π€£π€£
Wanaongea kwenye sim kwa sauti kubwa...ππ
Hawauzi ng'ombe ili wakatibiwe hata kama wana karibia kukufa...π€¨
Nakadhalika na kadhalika...
JichanganyeAisee π π ila mimi nawapenda wasukuma jamani naona ni husband materials hawana mambo mengiπ
umenena vyemaAisee π π ila mimi nawapenda wasukuma jamani naona ni husband materials hawana mambo mengiπ
nyanda mwene pumbavu nasangala geteAlenyoo sana onyanda mwenoyo aletombinaπ€£
onyanda mwene alesangala geteAlenyoo sana onyanda mwenoyo aletombinaπ€£ βοΈ
β‘οΈβ‘οΈβ‘οΈ AlΔ«nyoo sana Ε«nyanda ng'wenΕ«yo alΔ«ntombina βοΈ
Nawapendaga sana sijui tuπJichanganye
Ooh nakuja soon babeπ₯°Njoo inbox mtoto mzuri.
Wewe unawaza ngono tu muda wote.Nawapendaga sana sijui tuπ
Unajua unaweza ukajiona uko sawa na mjanja kuliko wengine, kumbe una upumbavu Mwingi sana uliokujaa kichwani bila ya wewe kujua?Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda ,ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria flani kuonyesha kuwa ni mshamba nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki, angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Mimi ni mshamba pia so itakua ngoma drooππKamuokota kitaa msukuma mmoja mpole kinoma ila kwa ushamba hajambo
Binafsi Huwa nina mdharau sana mtu anayeongea Kwa kujiamini hivi huku akiongozwa na stereotypes.Ushamba kwa msukuma upo kwenye DNA kabisa
π€£π€£π€£π€£ kwakweli usikubali, mpaka akueleze hiyo namba kaitoa wapi!!Mimi nimekupigia. Halafu unasema eti nimekosea namba. Ina maana mimi sina akili ama?
Jana tu nimezozana sana na jamaa anasema sijui eti wrong number wakati namba hiyo ilikuwaga ya pisi yangu mwaka mmoja na nusu tu uliopita. Sikutaka kumwelewa kabisa. Na leo nampigia tena mpaka kieleweke dadeki! πππ
Ukimpata msukuma kweli kweli. Sio hawa kina Shimba ya Buyenze ππAisee π π ila mimi nawapenda wasukuma jamani naona ni husband materials hawana mambo mengiπ
Kwa povu hili mjomba sijui hata nikuweke kundi gani, maana hata wasukuma wenyewe nimeishi nao hawajawahi kupovuka kiasi hiki wakiitwa washamba.Binafsi Huwa nina mdharau sana mtu anayeongea Kwa kujiamini hivi huku akiongozwa na stereotypes.
Yaani sio tu kukudharau Bali Kwa kauli hii ninakuona wewe ni mpumbavu sana na ni binadamu upeo duni ambaye Hana elimu ya kijamii.
Muda mwingine muwe mnajaribu kuficha ujinga na upumbavu wenu hili tuendelee ku-assume mna akili timamu.
Nina uhakika nikikwambia utupe uthibitisho usiokuwa na shaka kwamba huo ushamba wa wasukuma uko vipi kwenye DNA huwezi.
Halafu mtu mwenyewe unajiita kasongo yeeyee, unajua hata maana yake kwanza au umejiandikia Kwa sababu ya akili zako nyepesi zinazoiga iga kila jambo?
Huyo ni soulimeti wangu muache bana. Halafu mimi mbona nimenyoka kama rula jamani? Hebu mwache Mnyaki wa watu aje ale mema ya nchi bana! πππUkimpata msukuma kweli kweli. Sio hawa kina Shimba ya Buyenze ππ
Kama jimbo liko wazi niunganishe naye aje aonje maana ya raha hapa duniani πππHuyo anawaponda sana kina Ngosha, inatakiwa atafutiwe mume wa kisukuma aache jeuri πΉπΉ