Nimecheka Kwa nguvu sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wana kata matonge makubwa...[emoji23][emoji23]
Wana tafuna mahindi/makande kwa nguvu...[emoji2]
Wana tafuna miwa na karanga hata kama wamevaa suti...[emoji1787][emoji1787]
Wanaongea kwenye sim kwa sauti kubwa...[emoji13][emoji13]
Hawauzi ng'ombe ili wakatibiwe hata kama wana karibia kukufa...[emoji2955]
Nakadhalika na kadhalika...
Wewe ukipiga gauni yako ya kijani na yeye anapiga shati yake ya njanoMimi ni mshamba pia so itakua ngoma droo😀😀
Ni sawa na CCM na RushwaInawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda, ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria fulani kuonyesha kuwa ni mshamba.
Nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki.
Angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Hahaha!! Eng'wasi bageshiHayana nzunone iyagamba itemi lyamapembe lyang'wa Lūgiko. Nangī hamo tayali onchima?
SukumalandKama jimbo liko wazi niunganishe naye aje aonje maana ya raha hapa duniani 👇👇👇
View attachment 3209833
Nimecheka hapo kula miwa 😀😀 ila ndiyo upendo wenyewe ,huku ananibeba kidogo, mtakoma kwa wivu😀Wewe ukipiga gauni yako ya kijani na yeye anapiga shati yake ya njano
Mkiwa mnaenda sokoni mnatembea mkiwa mumeshikana mikono huku mkila miwe yenu
Tutakuwa tuna waonea wivu
Kula miwa/muwa huku natembea kumbe ni ushamba!!😅Nimecheka hapo kula miwa 😀😀 ila ndiyo upendo wenyewe ,huku ananibeba kidogo, mtakoma kwa wivu😀
🤣🤣🤣🤣 financial services ogopa matapeli.Huyo ni soulimeti wangu muache bana. Halafu mimi mbona nimenyoka kama rula jamani? Hebu mwache Mnyaki wa watu aje ale mema ya nchi bana! 😁😁😁
Kama PM yako iko wazi nakuja kukugombesha!
Nzugu ng'wanikiOoh nakuja soon babe🥰
My soul mate nae alikuwa msukuma. Wasukuma ni watu wema sana, nimeishi nao, nawajua.Hata Shimba ya Buyenze hana shida huyo, wasukuma wako vizuri😀
Shangazi zako wanapenda ile mbaya!Wana kata matonge makubwa...😂😂
Wana tafuna mahindi/makande kwa nguvu...😃
Wana tafuna miwa na karanga hata kama wamevaa suti...🤣🤣
Wanaongea kwenye sim kwa sauti kubwa...😝😝
Hawauzi ng'ombe ili wakatibiwe hata kama wana karibia kukufa...🤨
Nakadhalika na kadhalika...
Mmh!Nile chakula kama hiki halafu unipe utelezi nikuache salama kweli😅
😂😂😂DahOoh!!kumbe mwanaume
Huyo ndo chaguoa lako acha kumpuuzia pindi anapo kuwa amekukumbuka
Mpe muda na wakati sahihi😅
Huyu ndio mume sasa🤣🤣🤣
Mmoja made my day one day. Kakosea namba, alikuwa anampigia Monica, nikamwambia amekosea. Akakata simu, then akapiga tena. Eti "kama wewe sio Monica basi tufanye tu ndio Monica", nilicheka jamani🤣🤣🤣Kuna mmoja alikosea namba mwaka wa 3 huu nablock anachange namba akipiga anasema nilikuwa nakusalimu😂😂😂