Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

Wana kata matonge makubwa...[emoji23][emoji23]
Wana tafuna mahindi/makande kwa nguvu...[emoji2]
Wana tafuna miwa na karanga hata kama wamevaa suti...[emoji1787][emoji1787]
Wanaongea kwenye sim kwa sauti kubwa...[emoji13][emoji13]
Hawauzi ng'ombe ili wakatibiwe hata kama wana karibia kukufa...[emoji2955]
Nakadhalika na kadhalika...
Nimecheka Kwa nguvu sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata Shimba ya Buyenze hana shida huyo, wasukuma wako vizuri😀
Achana na maneno ya watu soulimeti 😁

photoCollageMaker_20230525_134916955.jpg
 
Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda, ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria fulani kuonyesha kuwa ni mshamba.

Nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki.

Angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Ni sawa na CCM na Rushwa
 
Nimecheka hapo kula miwa 😀😀 ila ndiyo upendo wenyewe ,huku ananibeba kidogo, mtakoma kwa wivu😀
Kula miwa/muwa huku natembea kumbe ni ushamba!!😅

Hii tabia ya kula miwa huku natembea huwa naipenda sana na sasa ni musimu wa mapela yameiva tunayala huku tunatembea

KARIBU financial services
 
Wana kata matonge makubwa...😂😂
Wana tafuna mahindi/makande kwa nguvu...😃
Wana tafuna miwa na karanga hata kama wamevaa suti...🤣🤣
Wanaongea kwenye sim kwa sauti kubwa...😝😝
Hawauzi ng'ombe ili wakatibiwe hata kama wana karibia kukufa...🤨
Nakadhalika na kadhalika...
Shangazi zako wanapenda ile mbaya!
 
Kuna mmoja alikosea namba mwaka wa 3 huu nablock anachange namba akipiga anasema nilikuwa nakusalimu😂😂😂
Mmoja made my day one day. Kakosea namba, alikuwa anampigia Monica, nikamwambia amekosea. Akakata simu, then akapiga tena. Eti "kama wewe sio Monica basi tufanye tu ndio Monica", nilicheka jamani🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom