Habarini za mchana wote tunajua hakuna vita dunian kubwa kama vita kati ya hii
Mungu na shetani
kuachana na hii vita hivi kuna vita ngumu nyingine kupigana kama hizi
1) VITA KATI YA MOYO NA AKILI
2)VITA KATI YA UTAFUTAJI WA PESA NA KUMUABUDU MUUMBA
3)VITA KATI YA UAMINIFU NA PESA?
4)VITA KATI YA PESA NA DHAMBI
5)VITA KATI YA MATUMIZI NA UTUNZAJI WA PESA
Kwa aliyewahi kushinda hizi vita atupe ushuhuda aliewezaje kuzishinda na alitumia mbinu gani?
Mungu na shetani
kuachana na hii vita hivi kuna vita ngumu nyingine kupigana kama hizi
1) VITA KATI YA MOYO NA AKILI
2)VITA KATI YA UTAFUTAJI WA PESA NA KUMUABUDU MUUMBA
3)VITA KATI YA UAMINIFU NA PESA?
4)VITA KATI YA PESA NA DHAMBI
5)VITA KATI YA MATUMIZI NA UTUNZAJI WA PESA
Kwa aliyewahi kushinda hizi vita atupe ushuhuda aliewezaje kuzishinda na alitumia mbinu gani?