implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 806
- 926
We!! Kunyonya ni hatari kwa afya yako,usijaribu kabisa.Muache anyonye ila kidole ndio asiweke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We!! Kunyonya ni hatari kwa afya yako,usijaribu kabisa.Muache anyonye ila kidole ndio asiweke
Ni woga tu mwanangu hakuna kingine. Kuchakata kunahitaji mazoezi pia. Tena kama dem unampenda hio ndio mbaya zaidi maana unaweza kuwa na kitu inaitwa kupania, hio imefelisha wengi. Ushauri wa kijinga. Siku ukiwa na game, nunua malaya mchakate kisha kaa kama siku 4- wiki, kachakate mbususu unayoipenda, hii husaidia kuziea mazingira ya mbususu. (Angalizo “nunua malaya at your own risk”)Habar za jioni Wana jf nina Imani ni wazima na hata wale mlio na changamoto za kiafya niwatakie kupata nafuu soon. Mimi ni kijana 28 yrs old sasa na Toka nimesoma sekondari kiukwel nilkuwa school boy TU
Sikujihusisha sana na mapenzi, chuo napo niliyapambania sana haya mapenzi lakini ndioivo nilizidiwa kete na walionipita ujanja kwaio napo sikuwahi kuwa na mpenzi Hadi namaliza . na baada ya hapo nikaingia zangu kitaa na kupata kazi ya kusafiri mikoani mara kwa mara hivyo ilikuwa ngumu kwangu ku-settle sehemu Moja na kuyajenga mahusiono vizuri .
Sasa mwaka Jana nilmpata mwanamke aliyenikubalia kunipa tunda ... kwa mara ya kwanza ..mazee sikuamini ilibidi iyo siku nitafute kisingizio nisiende job niwe geto ili nichakate mbususu na kweli yule manzi akaja na nilkuwa nampenda kupita kiasi sasa Cha kushangaza tulipoanza TU mambo hali yangu ilibadilika na kujikuta naogopa sana na moyo kwenda mbio. Nilijaribu kila namna niamshe dushe ila wapi Hadi huyo demu naye akawa anajaribu kuliamsha dushe ili anivishe condom ila wapi ... daah manzi alinidharau sana na alikasirika kwa muda mrefu Hadi tukaachana.
Daah nilibaki na STRESS sana na kujilaumu .. kwa kushindwa kula kitu ambacho sijala lifetime . nikikumbukag huwa Hadi najikuta nawaogopa Hawa wanawake maana sio kwa Ile temper na Hofu iliyonikamata Ile siku
Mwaka huu Tena nimempata manzi mwingine lakini Hali inajirudia vilevile kama mwanzon na mda wowote naye ataniacha.
Sijajua tatizo Nini au labda mwenzenu nimechelewa kuyajua mapenzi Hadi yanitese hivi .
Wadau kwa mwenye ushauri makini utakaonisaidia naomba anishauri niweze kui-master ngono vizuri kwani ninakonda na DEPRESION ..........#@nawasilisha
Maneno huumba atafariki kweliBado cjapata ajira mkuu bado nipo mtaani, yule aliyekuwa ananilisha amefariki hvy niko mwnyw
Weka beiNi woga tu mwanangu hakuna kingine. Kuchakata kunahitaji mazoezi pia. Tena kama dem unampenda hio ndio mbaya zaidi maana unaweza kuwa na kitu inaitwa kupania, hio imefelisha wengi. Ushauri wa kijinga. Siku ukiwa na game, nunua malaya mchakate kisha kaa kama siku 4- wiki, kachakate mbususu unayoipenda, hii husaidia kuziea mazingira ya mbususu. (Angalizo “nunua malaya at your own risk”)
Mali zipo dom wakuu
😂porn nimeacha ila Puli duuh ... sijaacha bado lakn nimepunguza ratio TU napiga twice per week
Sawa mkuuWeka bei
Nakubali nakubali mzee wangu 😂Maneno huumba atafariki kweli
Ulifanya interview ya oral ondoa shaka TBC watatoa majina hivi karibun
Huyo mu aunt ataisimamisha na niniMimi ushauri wangu ni mbaya ila utakusaidia.
Tafuta mshangazi uliokuzidi miaka 10+ ukutoe bikra na huo ndio utakujengea kujiamini.
Poa mkuu nitajaribu kucheki wale dada zetu waleNi woga tu mwanangu hakuna kingine. Kuchakata kunahitaji mazoezi pia. Tena kama dem unampenda hio ndio mbaya zaidi maana unaweza kuwa na kitu inaitwa kupania, hio imefelisha wengi. Ushauri wa kijinga. Siku ukiwa na game, nunua malaya mchakate kisha kaa kama siku 4- wiki, kachakate mbususu unayoipenda, hii husaidia kuziea mazingira ya mbususu. (Angalizo “nunua malaya at your own risk”)
Mali zipo dom wakuu
Wala usiwaze kupata aibu. Mambo mengine ni ya kawaida hata wanawake wanajua hali hizo hutokea. Kutana kimwili na mwanamke unayehisi unammudu
Bora ht ww, mm nna miaka 28 na sijawahi kuwa na mahusiano yoyote yale wala sijawahi kufanya mapenzi.
😂Demu wangu nae anapenda niwe namnyonya na anafurahi saaaaaana. Ila nachozingatia ni usafi kwenye K yake
Watu waongo sana mzee wangu 😂 mtandaoni inabidi ukae kitaalamu mana waongo hawana kumbukumbu 🙌
Nitafute Dm, nko serious.Habar za jioni Wana jf nina Imani ni wazima na hata wale mlio na changamoto za kiafya niwatakie kupata nafuu soon. Mimi ni kijana 28 yrs old sasa na Toka nimesoma sekondari kiukwel nilkuwa school boy TU
Sikujihusisha sana na mapenzi, chuo napo niliyapambania sana haya mapenzi lakini ndioivo nilizidiwa kete na walionipita ujanja kwaio napo sikuwahi kuwa na mpenzi Hadi namaliza . na baada ya hapo nikaingia zangu kitaa na kupata kazi ya kusafiri mikoani mara kwa mara hivyo ilikuwa ngumu kwangu ku-settle sehemu Moja na kuyajenga mahusiono vizuri .
Sasa mwaka Jana nilmpata mwanamke aliyenikubalia kunipa tunda ... kwa mara ya kwanza ..mazee sikuamini ilibidi iyo siku nitafute kisingizio nisiende job niwe geto ili nichakate mbususu na kweli yule manzi akaja na nilkuwa nampenda kupita kiasi sasa Cha kushangaza tulipoanza TU mambo hali yangu ilibadilika na kujikuta naogopa sana na moyo kwenda mbio. Nilijaribu kila namna niamshe dushe ila wapi Hadi huyo demu naye akawa anajaribu kuliamsha dushe ili anivishe condom ila wapi ... daah manzi alinidharau sana na alikasirika kwa muda mrefu Hadi tukaachana.
Daah nilibaki na STRESS sana na kujilaumu .. kwa kushindwa kula kitu ambacho sijala lifetime . nikikumbukag huwa Hadi najikuta nawaogopa Hawa wanawake maana sio kwa Ile temper na Hofu iliyonikamata Ile siku
Mwaka huu Tena nimempata manzi mwingine lakini Hali inajirudia vilevile kama mwanzon na mda wowote naye ataniacha.
Sijajua tatizo Nini au labda mwenzenu nimechelewa kuyajua mapenzi Hadi yanitese hivi .
Wadau kwa mwenye ushauri makini utakaonisaidia naomba anishauri niweze kui-master ngono vizuri kwani ninakonda na DEPRESION ..........#@nawasilisha
sasa kama unapiga PUNYETO demu wa kazi gani.....pumbafu wewe.....porn nimeacha ila Puli duuh ... sijaacha bado lakn nimepunguza ratio TU napiga twice per week
Aisee mkuu kwa stress iliyotokea nimeacha punyeto raSmisasa kama unapiga PUNYETO demu wa kazi gani.....pumbafu wewe.....
Unaweza kuta ndo anadorora mazima. [emoji23][emoji23][emoji23]Siku nyingine ukibahatisha kuipata tena zimua kichwa hata bia mbili tu .
Na kwel anaweza lala tu, aiwekee mkono tu 😁😁Unaweza kuta ndo anadorora mazima. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole mkuu naona umeingia kwenye mechi refa kagoma kupuliza kipyenga
Wee ni Muongo sana.Nguvu za kiume au za kike zinakufa nikama wanaume kuchelewa kuanza sex ...mvulana anatakiwa kuanza sex akiwa na miaka 14 hadi 16 zaidi ya hapo ni red line ya kuja kuperform low...genius ninasema kijana yoyote piga ua hakikisha una anza kusex mapema iwezekanavyo