Sidhani kama mada umeielewa, soma bila kuwa na usukuma gang akilini ndiyo utaelewa mada.Kizuri hakikosi kasoro, napengine hujui hata undani wa jambo lenyewe lilikuwaje.
Acheni kuokoteza visababu uchwara Ilimradi ionekane na wewe unapambana na marehemu.
Hakuna jambo baya ambalo Magu amelifanya ambalo linaweza kufuta mazuriyake.
Magu atabaki kuwa rais aliesubutu kudhibiti wapigaji mafisadi waziwazi bila kificho, na rais pekee aliehubiri maendeleo kwa vitendo.
Huo sio uelewa, nilitaka kushangaa kwamba watanzania hawa hawa wawe waelewa!!WaTanzania ni waelewa ukweli na uongo bila ku force hisia zao kuonekana. Kiufupi Wana uvumilivu wa hoja kinzani sio kama Kenya au Uganda. Ndio maana huku unaweza kwenda Butiama na kumkosoa Nyerere wasikufanye kitu ila kule Kenya Kuna mikoa ukifika kama Kiambu ukimkosoa Mzee Jomo Kenyatta unaweza kuuawa.
That's what I meant so unaweza ita uelewa au kuchukuliana au uvumilivu wa kisiasa n.k
Onayosema ni kweli kabisa....Ukatili ulitokea kwa sababu kuu kuwa mkoa ule serikali kwa ujumla huwa haiupendi kabisaa kutonana na kukaliwa watu wabishi. Mkoa umekumbwa majanga mengi sana nadhani ndio unaongoza kwa majanga. Tangu kuwepo kwa marumbano ya kisiasa toka enzi za Nyerere mkoa huu ulichukiwa kila mtu. Angalau kwa sasa kuna mabadiriko sana. Watu wameforciwa kupenda wahaya kwa sababu hawabadiriki na hamna jinsi ya kuwabadiri. Fursa za ajira nchini zilivyofinywa wahaya wakatafutiana wengi kazi ulaya. Kwa sasa serikali na watakwimu wao wa kiswahili wanapiga promo kwamba kagera ndio ya mwisho kwa watu wenye kipato cha chini. Wao wanasema sawa tu tuendelee. Maendeleo ya kule ni kimya kimya wakija kushutuka imepaa mara dufu.
Hitler mpaka leo ana-trend na kila dictator aliyefanya madhila makubwa katika nchi yake huwa ana-trend, ni vizuri ili kuwa makini next time kosa lisirudiwe.Kama ndiyo hivi, nawahakikishia Hayati Magufuli ataendelea kutrend kwa muda mrefu sana, maana haipiti siku bila kuanzishiwa post mpya!
Hiyo miezi michache kabla ya kufa alifanya mbanga gani mkuu?Ila katika mambanga makali ya Marehemu, lile la Kagera lilikuwa kubwa sana. Alikosea mno na akavumiliwa, lakini alikuja kufanya mbanga jingine kubwa zaidi miezi michache kabla hajafariki, mbanga ambalo lilitikisa mno nchi hii hadi kufanya wenzake washindwe kumvumilia hadi wakavunja utamaduni uliokuwepo tangu nchi hii kupata uhuru...
Lakini pia, kusema marehemu alikuwa amejaa mabaya tu, nadhani ni kukosa uungwana. Kuna mazuri na makubwa aliifanyia Tanzania, japo kuna wengine bado hawataki kukubali. Nadhani muda ndiyo utasema kweli.
Yote tisa, tumefika hapa tulipo kwasababu kuna mahesabu mazito ambayo marehemu na mitume wake walikosea kuyahesabu vizuri. Walikata mti waliokuwa wameukalia. Namuombea sana Raisi Samia na yeye asiige kutaka kukata mti anaoukalia, hata kama anadhani unamkwamisha kwenye baadhi ya mipango yake ya baadaye...
Samia mjanjaMadhaifu na makosa ya Magufuli tusifanye kuwa ndio kipimo cha ubora wa Samia, mfano tizama jambo la kuruhusu mikutano ya kisiasa lilikuwa jambo dogo tu ambalo Samia angelifanya toka mwanzoni huko alipochukua madaraka ila likazungushwa likaonekana ni jambo zito sana na sasa tunamuona Samia kafanya jambo kubwa sana kwenye uongozi wake. Ukiangalia huu uzi nao ndio vilevile kwa sababu Magufuli alifanya vile ila yeye Samia kafanya hivi basi tena tunalifanya hilo jambo kuwa kubwa kabisa la kipekee.
Hii nchi ukiwa serious utajitesa tu.
Hakuna hicho kitu mkuu, kwanza hata hii ccm huko kuivumilia ni kwa sababu hakuna tunachoweza kufanya chochote kwa kifupi ccm wanatuweza iwe kwa kutumia nguvu au kucheza na ujinga wetu. Watanzania waliyojaa uwanjani huku wakilia kuaga mwili wa Magufuli hadi wakakanyaga na wengine kupoteza maisha ndio hao wangepoteza uvumilivu wa mauwaji ya Magufuli? Hakukuwa na dalili yeyote kuonyesha kuwa watu wanavumilia mauwaji ya Magufuli na uvumilivu huo unaelekea ukingoni.Namaanisha kuwa uvumilivu wa maovu ya Jiwe ungefika ukingoni haraka sana kuliko uvumilivu wa maovu ya ccm. Rais kuua raia wako unadhani Watanzania wamgevumilia mpaka lini?
Huyo mwamba wako ni motoni tu, hakuna option nyingine. Bila Mungu kuingilia kati sijui nchi hii ingekuwa wapi
Kwani ccm tatizo lao ni katiba mpya tu au uwepo wa aina fulani ya vipengele kwenye hiyo katiba mpya?Samia mjanja
1. Samia alitafuta maridhiano ndani ya ccm kwanza ndio maana anaenda sambamba na ccm kwa ujumla wake kwenye mazungumzo na kila kitu
JK ALITAKA KATIBA MPYA BILA support ya Ccm ndio maana alikwama.
Mm naomba nijue hiyo mbanga ya mwisho aliyofanya siku kadhaa kabla ya umauti wake!.Ila katika mambanga makali ya Marehemu, lile la Kagera lilikuwa kubwa sana. Alikosea mno na akavumiliwa, lakini alikuja kufanya mbanga jingine kubwa zaidi miezi michache kabla hajafariki, mbanga ambalo lilitikisa mno nchi hii hadi kufanya wenzake washindwe kumvumilia hadi wakavunja utamaduni uliokuwepo tangu nchi hii kupata uhuru...
Lakini pia, kusema marehemu alikuwa amejaa mabaya tu, nadhani ni kukosa uungwana. Kuna mazuri na makubwa aliifanyia Tanzania, japo kuna wengine bado hawataki kukubali. Nadhani muda ndiyo utasema kweli.
Yote tisa, tumefika hapa tulipo kwasababu kuna mahesabu mazito ambayo marehemu na mitume wake walikosea kuyahesabu vizuri. Walikata mti waliokuwa wameukalia. Namuombea sana Raisi Samia na yeye asiige kutaka kukata mti anaoukalia, hata kama anadhani unamkwamisha kwenye baadhi ya mipango yake ya baadaye...
Alijaribu kumuua Tundu lissu risasi 37 kapiga mtu hafi Mungu huyu matokeo yake kafa yeye huku kazungukwa na wanajeshi na vifaru.Mungu anazidi kumuinua Magufuli hata akiwa katika hali ya umauti.
Bado mnapambana na maiti mna akili nyie?Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.
Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?
View attachment 2478896
Itakuwa kukataa kuwa Covid haipo na kukataa barakoa na chanjoMm naomba nijue hiyo mbanga ya mwisho aliyofanya siku kadhaa kabla ya umauti wake!.
Mmh itakua sio hii maana covid ilkua moto mwaka 2020 mwezi wa 3-6 ivi baada ya hapo hali ikawa shwari shughuli zikawa zinaendelea na ikawa kama hakuna covid. Nae kaondoka mwezi wa 3Itakuwa kukataa kuwa Covid haipo na kukataa barakoa na chanjo
Wazee wakaona huyu kichaa atamaliza nchi nzima, wakakosa uvumilivu, the rest is history
Hilo lilikuwa wimbi la kwanza, wimbi la pili ndio lilikuwa balaa, likaondoka na gavaa Ndullu, Maalim Seif, Kijazi ndani ya mweziMmh itakua sio hii maana covid ilkua moto mwaka 2020 mwezi wa 3-6 ivi baada ya hapo hali ikawa shwari shughuli zikawa zinaendelea na ikawa kama hakuna covid. Nae kaondoka mwezi wa 3