Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Ili uchawi ufanye Kazi una kanuni zake zisipokuwepo hauwezi fanya kazi.Inakuwaje mchawi anatumia Radi kumpiga mtu or mifugo Si watumie radi vitani pia
Ant witchcraft
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili uchawi ufanye Kazi una kanuni zake zisipokuwepo hauwezi fanya kazi.Inakuwaje mchawi anatumia Radi kumpiga mtu or mifugo Si watumie radi vitani pia
Mbona unatumika Sana tu! Ulizia uambiwe!Ndugu zangu mshawahi kujiuliza kwanini uchawi hautumiki kwenye uwanja wa medani (vitani), nadhani kuna vitu vingi tumeshuhudia vya kichawi ambavyo ki uhalisia au ki fikra za kawaida tu vinaweza kuwekwa kwenye vita na vikafanya kazi..
lakini cha ajabu Uchawi hautumiki kabisaaa ani tena nasikia uzunguni huko uchawi wao upo developed😀😀 sasa inashindikanaje wale wanajeshi wa upinzaniwakapigwa kimbora wakaumwa matumbo wiki nzima.
mi naona uchawi ni wa mchongo... kuna sababu nyingine?
Chaiuchawi ni technique ndogo sana..nasikia chuma ulete ili ifanye kazi ni lazima akupe hela mkono kwa mkono..leo hii ukienda benk kumpa hela Teller unampa mkononi au unaweka pale kwenye kidirisha then anachukua??..kuna mwanangu mmoja ni mtu wa Finance aliniapanga hii ishu
jibu hili hapaKwasababu kule ni uhalisia, haifai kufanya sanaa utakufa
Tuulize wapi?Ulizia role ya mtu anaitwa brig bayeke mayunga ma mwita ndio utajua kama inahusika ama laa
Hii hata wahindi ufanyaNaunga mkono hoja. Kuna mnaija mmoja nimefanya nae kazi kwa miaka kadhaa aesee piga ua hakupi wala hapokei hela mkononi, anakuwekea mezani na wewe unamwekea mezani. Mkikutana njiani anakupeleka popote mnakaa anakuwekea pesa yako kwenye kitu chochote unachukua
Ufikiri wako ni mdogo sana,hakuna kitu chenye thamani na nidhamu kama uchawi kwani unamipaka yake hasa dhidi ya wasio na hatia.Ndugu zangu mshawahi kujiuliza kwanini uchawi hautumiki kwenye uwanja wa medani (vitani), nadhani kuna vitu vingi tumeshuhudia vya kichawi ambavyo ki uhalisia au ki fikra za kawaida tu vinaweza kuwekwa kwenye vita na vikafanya kazi..
lakini cha ajabu Uchawi hautumiki kabisaaa ani tena nasikia uzunguni huko uchawi wao upo developed😀😀 sasa inashindikanaje wale wanajeshi wa upinzaniwakapigwa kimbora wakaumwa matumbo wiki nzima.
mi naona uchawi ni wa mchongo... kuna sababu nyingine?
Wewe ndiye UNAAMINI mchawi ANAWEZA KUTUMIA RADI kumpiga mtu mwingine.Inakuwaje mchawi anatumia Radi kumpiga mtu or mifugo Si watumie radi vitani pia
Kama unajua unatumikaje TUAMBIE na sisi tujue!Mbona unatumika Sana tu! Ulizia uambiwe!
Hakuna kitu kama hicho tusidanganyane kirahisi hivyouchawi ni technique ndogo sana..nasikia chuma ulete ili ifanye kazi ni lazima akupe hela mkono kwa mkono..leo hii ukienda benk kumpa hela Teller unampa mkononi au unaweka pale kwenye kidirisha then anachukua??..kuna mwanangu mmoja ni mtu wa Finance aliniapanga hii ishu
Kwa maveterani wa vitaTuulize wapi?
Bahati mbaya mimi si mwanajeshi na sijawahi ingia uwanja wa mapambano hata hivyo nimewahi sikia story mbili tatu toka kwa wanajeshi walioshiriki vita mfano vita ya Tanzania na Uganda! Miongoni mwa ushirikina ni pamoja na matumizi ya madawa ya mtu kutoonekana na adui au risasi kutomdhuru endapo utapiga mwili wake na badala yake kudhurika kama utalenga na kupiga kivuli chake! Kwa kifupi ushirikana upo wa kiwango cha juu sana! Watafute wanajeshi watakusimulia! Hakuna mwanajeshi asiye mshirikina! Ni kama kwenye siasa! Ni labda asilimia moja siyo washirikina wengi ni washirikina na wachawi!Kama unajua unatumikaje TUAMBIE na sisi tujue!
Vinginevyo ni yaleyale tu ya RISASI KUGEUKA MAJI, kitu ambacho wala si uchawi bali MATUMIZI YA AKILI kujaza watu ujasiri na morali wa kupigana na ADUI MWENYE SILAHA KALI bila kuwa na hofu ya kudhurika!
sidhani mkuu hii sio sababu..mimi nshawahi kufanya kazi na mama..kipindi hiko nipo yanky..kazi enyewe mama lishe..nilikuwa nikipeleka order sitoi mguu bila kupewa hela... na vile mama yangu alikuwa mzoefu kwenye hii biashara..ila kuna siku tunauza sanaaaa namimi naona kabisa tumeuza..tena mimi ndo nae pokea hela kwa wateja napeleka kwa mama...ila jioni mama akiwa anapiga hesabu hela imepukutika yoote hata ya msingi ...anaanza kukopa..mkuu hatakama ni utunzaji hafifu ndo tupoteze hela hadi msingi ufe kwa siku moja?Hela HAZIWEZI KUPOTEA TU hivi hivi!
Hicho kitu hakipo!
1. Itakuwa HAUTUNZI VIZURI kumbukmbu au rekodi zako za kinachoingia na kutoka.
Waswahili wanasema MALI BILA DAFTARI HUPOTEA BILA HABARI!
2. Una MATUMIZI YA HOVYO na hauweki kumbukumbu za hayo matumizi
3. HAUKO MAKINI/ SI MTU MAKINI!
Siku hizi kuna matapeli/ utapei na wizi wa viwango vya lami kiasi kwamba kama wewe si mtu makini au tayari umejawa kichwani na imani zako za kichawi lazima utaamini chumaulete na utaanza kuchafua watu wasiokuwa na hatia!
Ukienda kwa mpiga ramli, UNAPIGWA TENA!
sijui kiongozi nifunueMleta mada unawajua MAI MAI drc? au mizabwa ?