Hahahah hiyo ni ID ya mtu mwingine anaitwa JoannahYeah Jo...kuna muda nimeona ID yako imeambatanishwa na mdada mrembooo aliyevalia gauni ya kitenge nadhifu...
Sasa sijui ni mauzauza za hii app ya JF!!!
ππππ₯π₯πΎ
Nimekuja kula sehemu muda si mrefu nikakutana Na same shit Na niko pekee yanguπ©π©
View attachment 2070813
Happy new year BonnyHappy new year dogo ila kwann uende nae bar sasa?
Ndio hivyo...Shubamittt!!! poor me...thanks kwa kunifahamisha
Hahah sasa ndio nini ID's kufanana hivyo...
Ila hii life bhanaHappy new year dogo ila kwann uende nae bar sasa?
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji1635][emoji1635][emoji898]
Nimekuja kula sehemu muda si mrefu nikakutana Na same shit Na niko pekee yangu[emoji30][emoji30]
View attachment 2070813
Ndio hivyo...
Shit happens in real life,hata huku kwenye fake life shit keeps following 'us' π
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] afadhali umeuliza mimi kuna siku niliongea nikasutwa hatariShubamittt!!! poor me...thanks kwa kunifahamisha
Hahah sasa ndio nini ID's kufanana hivyo...
Daaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio hivyo...
Shit happens in real life,hata huku kwenye fake life shit keeps following 'us' [emoji16]
Sasa bora wahudumu wa bar kamatwa na trafiki mwanamke huku upo na Mrs π€Έπhata sisi wanaume tukienda bar peke yetu bila kampani ya mwanamke huwa tunahudumiwa kwa uchangamfu sana na wahudumu wa kike.
siku ukitaka kuona vituko nenda bar na mke wako/girlfriend au mwanamke yoyote tu. kaa nae mezani halafu muwe mnapiga story zenu kwa namna ya mahaba.
muhudumu yuleyule wa kike ambaye ukiwa peke yako huwa anakudumia kwa ucheshi na bashasha, siku hiyo atakuhudumia kwa kisirani sana. atakuwa very slow ku-serve meza yenu, pia atakuwa na majibu ya mkato kwa kila swali utakalomuuliza. ni full vituko.
Daaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] afadhali umeuliza mimi kuna siku niliongea nikasutwa hatari
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787] hata mimi najua maana yangu ni tofauti na yakoMie najua sijamaanisha ulivyomanisha wewe [emoji23]
Mie najua sijamaanisha ulivyomanisha wewe π
J acha basi mambo ya ajabu..
Hujwahi kwenda bar kweli!!.
Hakika leo nimechukia Kwa kiwango kizito mnoππ
Nimekumiss pia Joana wangu..unaendeleaje mama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa ufupi umeingia cha kikeUnajua vile naijua ID ya Joanah haiwezi weka avatar ya mapigo yale...
Nikasema ngoja nimchokoze kwa kuweka avatar mpya...kumbe nimepotea njia mazima [emoji23][emoji23] uchokozi umebuma...
[emoji1787][emoji1787] hata mimi najua maana yangu ni tofauti na yako
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hehehehh siku nitaweka avatar ya mtu kavaa dera nikushangaze