Hivi kwanini wanaume wana tabia hii?

Ni rahisi sana urafiki kuwa mahusiano ila ni ngumu sana mahusiano kuwa urafiki, mkishaingia ndani ya mapenzi ikitokea mkaachana tayari kuna uadui.
Kabisa na ndio kitu sipend hasa ikiwa mtu nahis uwepo wake ni muhimu tukiwa marafiki tu bas tuishie hapo
Mapenz mwisho Huwa mbaya sana
 
Inategemea umejiwekaje kama umekaa kutongozwa tongozwa utatongozwa if your a woman with dignity hamna atakaye kukutongoza Zaid yakukuheshimu ,how you behave is how people gonna treats you so change your attitude
 
Namimi nisaidie, sitakutongoza.
 
Kabisa na ndio kitu sipend hasa ikiwa mtu nahis uwepo wake ni muhimu tukiwa marafiki tu bas tuishie hapo
Mapenz mwisho Huwa mbaya sana
Kwetu sisi ni ngumu sana kukubaliana na hilo kwa walio wengi.
 
Tatizo wanawake wa Sasa wapo kimalaya Malaya tu
 
Wewe mwanamke ni lazima utongozwe. Kukataa au kukubali ni juu yako.
 
Depresheni tena 😂
Mi kuna mdada nilimsaidia sikuzingatia namba nikaja kukutana nae kama mwezi baadae hivi akaniuliza mbona sikuchukua namba, chukua namba yangu au nipe yako, nikampa. Huwa hachoki kunijulia hali.
Ndio ubinadamu huo.
 
Hiyo sheria tuliipitisha toka kikao cha kwanza cha Wanaume
 
Sawasawa
 
Agenda za kikao chetu zinafanyiwa kazi vzr, mwanamke anaye jipitishapitisha, haachwi hivihivi!
 
Mwaka jana wakat nafuatilia suala langu kwenye taasisi flan pale morogoro, nilisumbuliwa sana, ilinichukua kama miez mitatu hiv had nikaishiwa pesa ya matumiz.

Sasa kuna sista mmoja anastationary huwanatoa sana kaz zangu kwake akaniuliza shida yangu nkamueleza, akanambia kama kuwa hiyo taasis ndo tabia yake kusumbua watu.

Basi yule sista akawa kila napoenda ofisin kwake ananipatia 50,000 ya matumiz. Ila siku moja wakat nimekaa ofisin kwake akasogea karibu yangu zern distance akanibusu kisha akaninong'oneza masikion akiniuliza "unataka sh ngap?" nilishindwa kumjibu coz nilijisikia aibu nikama nauza utu wangu, nikajikaza nikamwambia nipe 50,000 ileile. Alivonipatia hela nikasepa, nikapanda basi nkarud home mana nikaona ninakoelekea siko.
 
Shida ni nyie huwa hamsaidii.
Ingekua na ninyi ni watoa misaada wala hayo yasingekuwepo, ila ninyi mnataka kusaidiwa ila Me akiomba msaada kwenu mnamdharau, na wanawake wengi wana kauli zao kwamba "hawawezi kumpa hela mwanaume kwa namna yoyote"..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…