Wafamasia wengi kwenye hospitali za serikali ni wezi wa dawa na vifaa tibaVitu gani mkuu zaidi ya kutaka kuongezewa wigo wa maeneo ya kugawa dawa,nilikua na iheshimu sana kozi ya famasi ila nilipigundua graduates wake mwisho wa siku wanakuja kugawa dawa niliona ni upuuzi mtupu haina faida kwa nchi hii.
Tueleze wewe kazi ya mfamasia. Na kule MSD wafanyekazi watu gani?
Mmmmh!Kazi ya mfamasia Ni kufanya prescription
Ni kweli hawa intern huwa wanajikuta wanajua kumbe ujinga nwingi sana umewatawalaYaani hio pharmacotherapy ndo unataka kuifananisha na mtu anayesoma na kupitia both junior na senior rotation za Major Departments (IM,OG,GS&Paed) kwenye kufanya diagnosis..??
Watoto wa intern mnakuwaga na akili za kipumbavu sana.
Haruhusiwi hata kutibu, lakini anatibu kuliko hospitali, wanawake na Watoto wana complication sana matatizo yao, sasa jamaa anaelewa vizuri mpaka Dawa, na Dawa nyingine unaweza kumuandikia mtu aitafute kwenye pharmacy kubwa na ukipata tatizo limeisha.Japo sheria haimruhusu kufanya matibabu, au nakosea?
Acha uongo kuna bodi ya wafamasia na wana mitihani yao ya taaluma tofauti na watu wa medicineKingine hakuna Kurugenzi ya Famasi kule Wizarani inayohusiana na kada hii ...
Kiufupi hii kada imewekwa chini ya uangalizi wa madaktari wizarani ..
Hawajui kazi za wafamasia ni zipi...
Unakuta Zahanati sehemu ya dawa amekaa nurse ...ndie anatoa dawa ..
Kuna vitu vingi sana vya kubadilisha hii kada
Wafamasia wengi kwenye hospitali za serikali ni wezi wa dawa na vifaa tiba
Kuna Jamaa aliniambia eti Pharmacists ni Learned Drug Dealers tuHivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebishenu hili
Medical officer ana recommend dawa hakiwa Hana uzoefu wowote Wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa,
Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.
si wana pharmacy council hawa..??Kingine hakuna Kurugenzi ya Famasi kule Wizarani inayohusiana na kada hii ...
Kiufupi hii kada imewekwa chini ya uangalizi wa madaktari wizarani ..
Hawajui kazi za wafamasia ni zipi...
Unakuta Zahanati sehemu ya dawa amekaa nurse ...ndie anatoa dawa ..
Kuna vitu vingi sana vya kubadilisha hii kada
Mkuu huu uzi umeletwa na hawa vijana wa intern hawajui lolotesi wana pharmacy council hawa..??
Hizo council zinaongozwa na typical pharmacists, wanashindwa nini kupaza sauti huko..??
Vitu vingine ni none sense kabisa kulalamikiwa. Njoo wizarani hata kesho, you wont find a Medical Officer who is in charge of Pharmacists.
Ni kweli 150%✅Kitu nilichojifunza kwenye career life ni kuwa ni rahisi kuichuikulia poa field ya mwenzio kwa sababu ya mtazamo wa nje kama outsider, Ila ukipata bahati ya kuielewa au kuifanya hata kwa siku tu. Utabadili mtazamo wako
Computer science mkuumshamba_hachekwi hivi unasomea nini mkuu? Nolisoma kama bado uko chuo.
[emoji51][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]issue anakuja kuzigawa kwa kina nan hapo hamna cha kurekebisha wakomae waje watuuzie dawa bnaHivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebishenu hili
Medical officer ana recommend dawa hakiwa Hana uzoefu wowote Wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa,
Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.
Argument yako haiko sahihi.Umetisha Sana,
Kuna siku nimeingia morning report wilaya ya ilala, MD na Clinical officers wakaanza kubishana kwa kumpa mgonjwa wrong dose.., mwisho kabisa
Mfamasia akaongea kwamba mgonjwa alitakiwa kupewa dose flani kwa kiwango flani, na sio Kama madaktari walivyoandika apewe.
Taja kazi za wafamasia.Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebishenu hili
Medical officer ana recommend dawa hakiwa Hana uzoefu wowote Wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa,
Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.
Hii ni obvious chai kabisa. Hakuna pharmacist anaweza kutibu zaidi ya Medical Officer, this is very wrong. Wanaweza wakawa na uelewa sahihi na wa kushahibiana kwenye prescription za dawa ila kwenye kutibu (taking hx, knowing what right investigation to do and formulating right diagnosis) Medical Officer knows and can do a lot compared to hao watu wa dawa. Na hii, hiko wazi wala haina uhitaji wa ubishi. Na get to know this, kisheria huyo mtu wako wa dawa haruhusiwi kufanya hayo anayoyafanya hapo kwenye maelezo yako.Ila Bongo kuna Wafamasia wanawazidi madaktari.
Yupo mmoja namfahamu ana famasi yake na laboratory hapo na anatibu wagonjwa hasa wanawake na Watoto, hilo Nyomi lake si la kitoto, anapiga sana pesa.
Jamaa anajuwa Dawa nadhani ndio siri ya mafanikio yake.
Nitajie fani gani hakuna wezi? Madereva wanaiba diesel sasa unataka Wafamasia waibe nini?Wafamasia wengi kwenye hospitali za serikali ni wezi wa dawa na vifaa tiba