Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Wafamasia wengi kwenye hospitali za serikali ni wezi wa dawa na vifaa tibaVitu gani mkuu zaidi ya kutaka kuongezewa wigo wa maeneo ya kugawa dawa,nilikua na iheshimu sana kozi ya famasi ila nilipigundua graduates wake mwisho wa siku wanakuja kugawa dawa niliona ni upuuzi mtupu haina faida kwa nchi hii.