Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy miaka 4 kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebisheni hili

Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy miaka 4 kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebisheni hili

Kazi ya mfamasia Ni kufanya prescription
Mmmmh!
Hapana kwa 100%.
Huwezi na huruhusiwi kufanya prescription kama huna hizi sifa.
1. Hujaapishwa kutibu mtu (Hii previlege wamepewa madaktari tu)
2. Huna mamlaka na hufahamu wa kufanya diagnosis. (Hili lipo mikononi mwa madaktari tu)

Hata hao madaktari wana level mbalimbali katika kufanya prescription, sio kila daktari anaweza (anaruhusiwa) kufanya prescription fulani.
Ndio maana mpaka leo hii, dunia nzima kuna Prescription huwezi kuandikiwa na Daktari yoyote, ni mpaka level fulani ya Daktari wa specialised fulani ndio ana ruhusa hiyo.
 
Yaani hio pharmacotherapy ndo unataka kuifananisha na mtu anayesoma na kupitia both junior na senior rotation za Major Departments (IM,OG,GS&Paed) kwenye kufanya diagnosis..??
Watoto wa intern mnakuwaga na akili za kipumbavu sana.
Ni kweli hawa intern huwa wanajikuta wanajua kumbe ujinga nwingi sana umewatawala

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Japo sheria haimruhusu kufanya matibabu, au nakosea?
Haruhusiwi hata kutibu, lakini anatibu kuliko hospitali, wanawake na Watoto wana complication sana matatizo yao, sasa jamaa anaelewa vizuri mpaka Dawa, na Dawa nyingine unaweza kumuandikia mtu aitafute kwenye pharmacy kubwa na ukipata tatizo limeisha.

Namjuwa kwa zaidi ya miaka 20 yupo vizuri sana.
 
Kingine hakuna Kurugenzi ya Famasi kule Wizarani inayohusiana na kada hii ...
Kiufupi hii kada imewekwa chini ya uangalizi wa madaktari wizarani ..

Hawajui kazi za wafamasia ni zipi...

Unakuta Zahanati sehemu ya dawa amekaa nurse ...ndie anatoa dawa ..

Kuna vitu vingi sana vya kubadilisha hii kada
Acha uongo kuna bodi ya wafamasia na wana mitihani yao ya taaluma tofauti na watu wa medicine
Proffessional board ya watu wa pharmacy Tanzania ipo ,sema tu labda haiko effective na hii iko kwenye taasisi nyingi za kibongo kama unavyojua
 
Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebishenu hili

Medical officer ana recommend dawa hakiwa Hana uzoefu wowote Wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa,
Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.
Kuna Jamaa aliniambia eti Pharmacists ni Learned Drug Dealers tu
 
Kingine hakuna Kurugenzi ya Famasi kule Wizarani inayohusiana na kada hii ...
Kiufupi hii kada imewekwa chini ya uangalizi wa madaktari wizarani ..

Hawajui kazi za wafamasia ni zipi...

Unakuta Zahanati sehemu ya dawa amekaa nurse ...ndie anatoa dawa ..

Kuna vitu vingi sana vya kubadilisha hii kada
si wana pharmacy council hawa..??
Hizo council zinaongozwa na typical pharmacists, wanashindwa nini kupaza sauti huko..??
Vitu vingine ni none sense kabisa kulalamikiwa. Njoo wizarani hata kesho, you wont find a Medical Officer who is in charge of Pharmacists.
 
si wana pharmacy council hawa..??
Hizo council zinaongozwa na typical pharmacists, wanashindwa nini kupaza sauti huko..??
Vitu vingine ni none sense kabisa kulalamikiwa. Njoo wizarani hata kesho, you wont find a Medical Officer who is in charge of Pharmacists.
Mkuu huu uzi umeletwa na hawa vijana wa intern hawajui lolote

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebishenu hili

Medical officer ana recommend dawa hakiwa Hana uzoefu wowote Wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa,
Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.
[emoji51][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]issue anakuja kuzigawa kwa kina nan hapo hamna cha kurekebisha wakomae waje watuuzie dawa bna
 
Umetisha Sana,

Kuna siku nimeingia morning report wilaya ya ilala, MD na Clinical officers wakaanza kubishana kwa kumpa mgonjwa wrong dose.., mwisho kabisa

Mfamasia akaongea kwamba mgonjwa alitakiwa kupewa dose flani kwa kiwango flani, na sio Kama madaktari walivyoandika apewe.
Argument yako haiko sahihi.
Mabishano ya kisayansi katika taaluma ya utabibu (diagnosis, treatment (prescription) ni jambo la siku zote, la kawaida, lipo dunia nzima. Hivyo sio issue.

Kuhusu mfamasia kuamua huo ugomvi wa dosage hapo Ilala, unatupa picha hii.
-Madaktari walikuwa na uelewa tofauti katika dosage ya dawa kwa mgonjwa.

-Mfamasia ametumika kama msaidizi mtaalamu (consultant) katika kusaidia hitimisho ya mjadala wa dosage. Na hivyo ndivyo taaluma ya utabibu inataka.
 
Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebishenu hili

Medical officer ana recommend dawa hakiwa Hana uzoefu wowote Wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa,
Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.
Taja kazi za wafamasia.

Mwifwa rikiboy Carlos The Jackal
 
Ila Bongo kuna Wafamasia wanawazidi madaktari.

Yupo mmoja namfahamu ana famasi yake na laboratory hapo na anatibu wagonjwa hasa wanawake na Watoto, hilo Nyomi lake si la kitoto, anapiga sana pesa.

Jamaa anajuwa Dawa nadhani ndio siri ya mafanikio yake.
Hii ni obvious chai kabisa. Hakuna pharmacist anaweza kutibu zaidi ya Medical Officer, this is very wrong. Wanaweza wakawa na uelewa sahihi na wa kushahibiana kwenye prescription za dawa ila kwenye kutibu (taking hx, knowing what right investigation to do and formulating right diagnosis) Medical Officer knows and can do a lot compared to hao watu wa dawa. Na hii, hiko wazi wala haina uhitaji wa ubishi. Na get to know this, kisheria huyo mtu wako wa dawa haruhusiwi kufanya hayo anayoyafanya hapo kwenye maelezo yako.
 
Back
Top Bottom