Hivi kweli Rais Samia umedhamiria kuleta maendeleo nchini?

Hivi kweli Rais Samia umedhamiria kuleta maendeleo nchini?

Kwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.

DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.

Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!

Mungu ibariki Tanzania!
HAKUNA CHA MAENDELEO HAPO UNATARAJIA MSANII AKULETEE MAENDELEO?
 
Kwa ma DC sawa tu,lakini kosa hili asijaribu kwa ma DED,
Local government authority instituition ni complex Sana,mtu akiingia kwenye hii authority kama DED au MD whatever, itamchukua si chini ya 2 years kumaster mifumo iliyomo achilia mbali bado kuna kuadapt mihemko ya madiwani, siasa ya humo n ngumu,mda wote unatafutwa wakukute na doa.

Maendeleo yanakwamishwa na mambo mengi Sana.
 
Kwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.

DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.

Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!

Mungu ibariki Tanzania!
Yaani mkuu wawilaya jokate Afu kuwe na maendleleo????
 
Kwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.

DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.

Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!

Mungu ibariki Tanzania!
Maza anapiga bora liende
 
Yaani kweli Nikki wa Pili anaenda kulisimamia na kuwa juu ya jeshi la polisi la wilaya pamoja na maafisa usalama wilaya??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpe muda, anaweza kukushangaza mkuu, nani ajuaye🤔!?
 
Ni sawa kama anachapa kazi, sasa kumtoa huko kumleta huku ni katika kutunuku utendaji wake au ndo kamaliza kazi huko?

Kama ni mtendaji haswa, wamuache apige kazi mpaka hiyi wilaya ionekane hadharani, wampe incentives tu za kutosha na pengine za ziada ili awe motivated. Wakiona alipofikia hakuna tena atakachoongeza, wampeleke kwingine, nako akatunyanyulie maendeleo, sio kumleta huku tunakoenda AUTOMATIC, hapa hataweza kuonesha uwezo, atazingirwa na ujinga na ukwelu kwamba anao ujinga, utaonekana hadharani hapa.
Hapa mimi siungi mkono kumleta Dar, huyu tunamtaka wilaya ya Mlele, Tanganyika, Chato, kakonko nk sisi nasi tunayo haki ya kuhudumiwa na uongozi wa kichapakazi wa Jokate...kama mama SSH hademki basi atasikia na kutendea kazi haya...vinginevyo basi ni mdemkaji kama wademkaji wengine tu😡!
 
Back
Top Bottom