Refreshment.Unayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.
View attachment 3193823 Mukiambiwa alikuwa kichaa mnabisha. Kweli Rais wa nchi mwenye akili sawa anaweza kulala kwenye mawe??
πππππππππUnayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.
View attachment 3193823 Mukiambiwa alikuwa kichaa mnabisha. Kweli Rais wa nchi mwenye akili sawa anaweza kulala kwenye mawe??
Bukta ndiyo pajama zetu WasukumaIn the name of president , nimesoma hiki kitabu kuna mambo mengi ni ya uongo kwa ukweli nilionao mimi , na katika yaliyoandikwa ambalo sina uhakika nalo ni hili la kwenda kwa vice na pajama .
1.Magufuli alikuwa muda mwingi sana usiku yuko macho na ndio alikuwa anafanya shughuli zake ,sioni ajabu yeye muda huo kuwa na pajama.
2.Magufuli alikuwa Rais muda wote ana ulinzi ni ngumu sana kufanya hilo tukio tena kwa kiongozi mwenzake .
3.Hatujui ukaribu wao ulikuwaje kabla , na Magufuli he was a man like other men na inawezekana kweli alikuwa na issue ya kudiscuss muda ila akachukulia poa code ya mavazi .
Je huwezi fanya kikao na pajama ? Nadhani tunajaribu kuoneshwa kuwa yule jamaa alikuwa katili sana .
πππ Daah mnamuandama sana aisee, kwahiyo raisi haruhusiwi kugusa jiwe??Unayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.
View attachment 3193823 Mukiambiwa alikuwa kichaa mnabisha. Kweli Rais wa nchi mwenye akili sawa anaweza kulala kwenye mawe??
Alisahau kuwa kuna Mungu aliye hai, akajionq yeye ni mungu kama akina Kabudi, Kangi Lugola na Mwanri walivyokuwa wanamuonaHapo kanafikiria kalivyoishika nchi kama mali yake
Kumbe !! Basi sawaπππ Daah mnamuandama sana aisee, kwahiyo raisi haruhusiwi kugusa jiwe??
Yeye alikua jiwe hapo alikua kwa ndgu zake wa damu.
Hata wewe unamaema marehemu, na wewe ni mpumbavu piaNyote nyie ni wapumbavu, waoga, wanafiki hivi mtu unakaa unasema marehemu kwenye ubongo wako zinakutosha kweli?
Ndiyo ulale kwenye mawe ? Na picha upige??Refreshment.
Marehemu hasemwi kwa mabayaHata wewe unamaema marehemu, na wewe ni mpumbavu pia
Unayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.Haisaidii na haikusaidii kitu wala hsitamaliza umaskini wako kuwa na chuki na mtu aliyekuzidi kila kitu.
Kumekucha, amka hapo kwa dada yako alipoolewa. Anua hilo godoro hapo sebuleni akina uncle wanataka kuja kuangalia katuni.
Kwa uandishi wako wa chuki hivi inaonesha moja kwa moja huna majukumu. Hivi kwenye hiyo picha, nini kosa lake?
Pajamas ni vazi la usiku, la heshima sana wengi wenu usiku mnavaa vibukta, senerio inaonyesha harakati zote hizi zilikuwa zinataka kufanyika usiku, lakini akagonga mwamba, alikutana na mwanamke Jasiri, chuma cha pua. (katika dunia ya leo wanawake wengi sana ni manusura wa ukatili huu, wale dhaifu walifedhehewa) hata ophrah Winfrey ni muhanga pia.In the name of president , nimesoma hiki kitabu kuna mambo mengi ni ya uongo kwa ukweli nilionao mimi , na katika yaliyoandikwa ambalo sina uhakika nalo ni hili la kwenda kwa vice na pajama .
1.Magufuli alikuwa muda mwingi sana usiku yuko macho na ndio alikuwa anafanya shughuli zake ,sioni ajabu yeye muda huo kuwa na pajama.
2.Magufuli alikuwa Rais muda wote ana ulinzi ni ngumu sana kufanya hilo tukio tena kwa kiongozi mwenzake .
3.Hatujui ukaribu wao ulikuwaje kabla , na Magufuli he was a man like other men na inawezekana kweli alikuwa na issue ya kudiscuss muda ila akachukulia poa code ya mavazi .
Je huwezi fanya kikao na pajama ? Nadhani tunajaribu kuoneshwa kuwa yule jamaa alikuwa katili sana .
In the name of president , nimesoma hiki kitabu kuna mambo mengi ni ya uongo kwa ukweli nilionao mimi , na katika yaliyoandikwa ambalo sina uhakika nalo ni hili la kwenda kwa vice na pajama .
1.Magufuli alikuwa muda mwingi sana usiku yuko macho na ndio alikuwa anafanya shughuli zake ,sioni ajabu yeye muda huo kuwa na pajama.
2.Magufuli alikuwa Rais muda wote ana ulinzi ni ngumu sana kufanya hilo tukio tena kwa kiongozi mwenzake .
3.Hatujui ukaribu wao ulikuwaje kabla , na Magufuli he was a man like other men na inawezekana kweli alikuwa na issue ya kudiscuss muda ila akachukulia poa code ya mavazi .
Je huwezi fanya kikao na pajama ? Nadhani tunajaribu kuoneshwa kuwa yule jamaa alikuwa katili sana .
Dah ππππ€£π€£π€£π€£Unayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.
View attachment 3193823 Mukiambiwa alikuwa kichaa mnabisha. Kweli Rais wa nchi mwenye akili sawa anaweza kulala kwenye mawe??
Muhammad anasemwa na kutajwa Kila siku!Nyote nyie ni wapumbavu, waoga, wanafiki hivi mtu unakaa unasema marehemu kwenye ubongo wako zinakutosha kweli?
Ila kumtetea mwendazake ngumu sana2.Magufuli alikuwa Rais muda wote ana ulinzi ni ngumu sana kufanya hilo tukio tena kwa kiongozi mwenzake .
Mungemsema maghufuli akiwepo sahivi unaandika ushuzi tu hapoMuhammad anasemwa na kutajwa Kila siku!
Nyerere hajakauka kwenye vinywa vyetu kabisa! Unamaanisha nini kama Hitler anakubukwa na Idd Amin tunamkumbuka huku Mkwawa akiwa hero wetu na Kibwetere akikumbukwa na Wauganda na wakati huo huo Kijekitile hatujamsahau ukiacha Pilato aloyeidhinisha Yesu kusulibiwa yupo katika kitabu, na Farao aliyemdharau Mungu tunafundishwa kuhusu anguko lake. Kichwa kisichofikiri ni mzigo Kwa kiwili wili
Kwa msingi ulivyosema tusimseme Marehemu Ndio nimejibu hivyo!Mungemsema maghufuli akiwepo sahivi unaandika ushuzi tu hapo