Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

In the name of president , nimesoma hiki kitabu kuna mambo mengi ni ya uongo kwa ukweli nilionao mimi , na katika yaliyoandikwa ambalo sina uhakika nalo ni hili la kwenda kwa vice na pajama .

1.Magufuli alikuwa muda mwingi sana usiku yuko macho na ndio alikuwa anafanya shughuli zake ,sioni ajabu yeye muda huo kuwa na pajama.

2.Magufuli alikuwa Rais muda wote ana ulinzi ni ngumu sana kufanya hilo tukio tena kwa kiongozi mwenzake .

3.Hatujui ukaribu wao ulikuwaje kabla , na Magufuli he was a man like other men na inawezekana kweli alikuwa na issue ya kudiscuss muda ila akachukulia poa code ya mavazi .

Je huwezi fanya kikao na pajama ? Nadhani tunajaribu kuoneshwa kuwa yule jamaa alikuwa katili sana .
Bukta ndiyo pajama zetu Wasukuma
 
Unayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.
View attachment 3193823 Mukiambiwa alikuwa kichaa mnabisha. Kweli Rais wa nchi mwenye akili sawa anaweza kulala kwenye mawe??
😂😂😂 Daah mnamuandama sana aisee, kwahiyo raisi haruhusiwi kugusa jiwe??
Yeye alikua jiwe hapo alikua kwa ndgu zake wa damu.
 
Haisaidii na haikusaidii kitu wala hsitamaliza umaskini wako kuwa na chuki na mtu aliyekuzidi kila kitu.

Kumekucha, amka hapo kwa dada yako alipoolewa. Anua hilo godoro hapo sebuleni akina uncle wanataka kuja kuangalia katuni.

Kwa uandishi wako wa chuki hivi inaonesha moja kwa moja huna majukumu. Hivi kwenye hiyo picha, nini kosa lake?
Unayemtetea huyu hapa kwenye mawe Chamwino amejianika kama kenge.
Screenshot_20250106_060434_Samsung Internet.jpg

Mukiambiwa alikuwa kichaa mnabisha. Kweli Rais wa nchi mwenye akili sawa anaweza kulala kwenye mawe??
 
In the name of president , nimesoma hiki kitabu kuna mambo mengi ni ya uongo kwa ukweli nilionao mimi , na katika yaliyoandikwa ambalo sina uhakika nalo ni hili la kwenda kwa vice na pajama .

1.Magufuli alikuwa muda mwingi sana usiku yuko macho na ndio alikuwa anafanya shughuli zake ,sioni ajabu yeye muda huo kuwa na pajama.

2.Magufuli alikuwa Rais muda wote ana ulinzi ni ngumu sana kufanya hilo tukio tena kwa kiongozi mwenzake .

3.Hatujui ukaribu wao ulikuwaje kabla , na Magufuli he was a man like other men na inawezekana kweli alikuwa na issue ya kudiscuss muda ila akachukulia poa code ya mavazi .

Je huwezi fanya kikao na pajama ? Nadhani tunajaribu kuoneshwa kuwa yule jamaa alikuwa katili sana .
Pajamas ni vazi la usiku, la heshima sana wengi wenu usiku mnavaa vibukta, senerio inaonyesha harakati zote hizi zilikuwa zinataka kufanyika usiku, lakini akagonga mwamba, alikutana na mwanamke Jasiri, chuma cha pua. (katika dunia ya leo wanawake wengi sana ni manusura wa ukatili huu, wale dhaifu walifedhehewa) hata ophrah Winfrey ni muhanga pia.
 
In the name of president , nimesoma hiki kitabu kuna mambo mengi ni ya uongo kwa ukweli nilionao mimi , na katika yaliyoandikwa ambalo sina uhakika nalo ni hili la kwenda kwa vice na pajama .

1.Magufuli alikuwa muda mwingi sana usiku yuko macho na ndio alikuwa anafanya shughuli zake ,sioni ajabu yeye muda huo kuwa na pajama.

2.Magufuli alikuwa Rais muda wote ana ulinzi ni ngumu sana kufanya hilo tukio tena kwa kiongozi mwenzake .

3.Hatujui ukaribu wao ulikuwaje kabla , na Magufuli he was a man like other men na inawezekana kweli alikuwa na issue ya kudiscuss muda ila akachukulia poa code ya mavazi .

Je huwezi fanya kikao na pajama ? Nadhani tunajaribu kuoneshwa kuwa yule jamaa alikuwa katili sana .

Walimlisha tango pori
 
Kuna saa nafikiria hizi tuhuma ni Golden chance kwa samia kwenye kampeni za uchaguzi mkuu.
Atatumia tuhuma hizi kukanusha vibaya sana na kulaani ,kisha kuonyesha ushirikiano wake na Magufuli akiwa hai, pamoja na kumpamba kwingi ili kuvuta attention ya watu ambao wengi wao jina Magufuli likitajika kwao mwitikio wake ni mkubwa sana.
 
Nyote nyie ni wapumbavu, waoga, wanafiki hivi mtu unakaa unasema marehemu kwenye ubongo wako zinakutosha kweli?
Muhammad anasemwa na kutajwa Kila siku!
Nyerere hajakauka kwenye vinywa vyetu kabisa! Unamaanisha nini kama Hitler anakubukwa na Idd Amin tunamkumbuka huku Mkwawa akiwa hero wetu na Kibwetere akikumbukwa na Wauganda na wakati huo huo Kijekitile hatujamsahau ukiacha Pilato aloyeidhinisha Yesu kusulibiwa yupo katika kitabu, na Farao aliyemdharau Mungu tunafundishwa kuhusu anguko lake. Kichwa kisichofikiri ni mzigo Kwa kiwili wili
 
2.Magufuli alikuwa Rais muda wote ana ulinzi ni ngumu sana kufanya hilo tukio tena kwa kiongozi mwenzake .
Ila kumtetea mwendazake ngumu sana
We kama aliweza hadi kuzaa na waziri wake pia kuwa na mdogo wa mke wake atashindwa nini kufanya hayo mengine..

Tukubali tu binadamu ana pande mbili mazuri na mabaya.
tushukuru kwa yote.
 
Muhammad anasemwa na kutajwa Kila siku!
Nyerere hajakauka kwenye vinywa vyetu kabisa! Unamaanisha nini kama Hitler anakubukwa na Idd Amin tunamkumbuka huku Mkwawa akiwa hero wetu na Kibwetere akikumbukwa na Wauganda na wakati huo huo Kijekitile hatujamsahau ukiacha Pilato aloyeidhinisha Yesu kusulibiwa yupo katika kitabu, na Farao aliyemdharau Mungu tunafundishwa kuhusu anguko lake. Kichwa kisichofikiri ni mzigo Kwa kiwili wili
Mungemsema maghufuli akiwepo sahivi unaandika ushuzi tu hapo
 
Mungemsema maghufuli akiwepo sahivi unaandika ushuzi tu hapo
Kwa msingi ulivyosema tusimseme Marehemu Ndio nimejibu hivyo!
Waliomsema akiwa hai walikutana na mkono wa chuma na wengine walitangulia kule alikowafuata baadae wengine waliogopa kusema
Aliwahi kusema "kama mnadhani mna uhuru wa kusema not to that extent"
Sanane alimsema hatujui alipo, na Mwandishi mwenyewe alikaa nyuma ya Nondo Hadi kushindwa kumzika mama yake!
Wazee ndani ya chama walimuita mshamba! Haya unasemaje hawakumsema akiwa hai! Kuimba kupokezana mana ardhini kule hana jeshi! Askofu aliyemzika Mhashamu Niwemugizi! Alinyang'anywa hati ya kusafiria kisa kumsema akidai sio Mtanzania! Mungu akamwambia huyu huyu atakuzika!
 
Mengine upuuzi, puuzi tu!
Sijui kwa vile baadhi tunalelewa na ma single mother!
Yaani mwanaume anaeendesha migegedo leo ni wa kutweza! Hatujui hata tunataka nini! Utasikia wanaume wa leo kamoja chali! Mara wanaume wa DSM na mengine mengi ikiwemo ushoga. Mimi kwangu JPM ni shujaa kama alifanya migegedo mpaka inakuwa stori!

Wanaume wengi libido ikiwa chini, migegedo hafifu, unakuwa huna msukumo wa ndani wa kufanya maajabu! Kumbe Maajabu yaani mema ya Magufuli. SGR, mabarabara, madaraja, mahospitali, ni JPM karibia anakufa nasikia nataka TZ iwe na utalii wa kimatibabu, kweli Tsh. 2bn hivi zikatolewa kununua kifaa Muhimbili magonjwa ya moyo. Miradi kama Busisi, kukataa lock down wakati Covid, inahitaji wanaume wapiga machine wa aina yake.

Tuache stori za kutweza uanaume, na kushadadia uanaume goigoi, ushogashoga! Kwa kutaka hifadhi ulaya!

Kwenye uongozi tutake wanaume wa calibre ya mjomba MAGU! Muacheni apumzike, mtavuna laana! Watu wa calibre yake siyo wa kutweza!
 
Back
Top Bottom