Mengine upuuzi, puuzi tu!
Sijui kwa vile baadhi tunalelewa na ma single mother!
Yaani mwanaume anaeendesha migegedo leo ni wa kutweza! Hatujui hata tunataka nini! Utasikia wanaume wa leo kamoja chali! Mara wanaume wa DSM na mengine mengi ikiwemo ushoga. Mimi kwangu JPM ni shujaa kama alifanya migegedo mpaka inakuwa stori!
Wanaume wengi libido ikiwa chini, migegedo hafifu, unakuwa huna msukumo wa ndani wa kufanya maajabu! Kumbe Maajabu yaani mema ya Magufuli. SGR, mabarabara, madaraja, mahospitali, ni JPM karibia anakufa nasikia nataka TZ iwe na utalii wa kimatibabu, kweli Tsh. 2bn hivi zikatolewa kununua kifaa Muhimbili magonjwa ya moyo. Miradi kama Busisi, kukataa lock down wakati Covid, inahitaji wanaume wapiga machine wa aina yake.
Tuache stori za kutweza uanaume, na kushadadia uanaume goigoi, ushogashoga! Kwa kutaka hifadhi ulaya!
Kwenye uongozi tutake wanaume wa calibre ya mjomba MAGU! Muacheni apumzike, mtavuna laana! Watu wa calibre yake siyo wa kutweza!