Mkuu kama unaona kabendera kaandika habari za uzushi nenda kafungue kesi mahakamaniUjinga ni ignorance.
Umewahi kujiuliza kwanini unalazimishwa kwenda shule, angalau ufike darasa la saba au siku hizi form 4 na hata A level Form six?
Jibu ni kupunguza ignorance yaani ujinga.
Kwa bahati mbaya unakutana na don't touch Kabendera syndrom,anayetaka tuamini kila kitu anachokiandika.
Simply kwa kuwa anaandika kwenye vijigazeti vya fallen empire United Kingdom.
Open your mind.UK kwa sasa sio kipimo cha demokrasia na ustawishaji wa jamii kwa nchi za kwetu.
Mimi na askofu mwamakula au?Wewe uliyeamini ndio mshamba!
Mimi na Rais ni watu wawili tofauti acha ushambaMbona mnakuza mambo, hakuna mstari unaosema kwamba jamaa alinuia kubaka - amesema alienda na nguo za kulalia. Kwani we huwezi kutoka na boxer kama kuna dharura?
Itakua kweli, maana kuna siku alimsifia kuwa mzuri kwelikweliSina na sijui kama ni kweli.
Hakuna kabisaKama hakuna kipande hicho basi naomba uzi huu ufutwe
Duh!!!Ukisikiliza Mahojiano yake na Ghassan, jamaa ameeleza vyema sana sana, Kabendera sio Garasa kama watu wanavyomuona. The guy alikua anajua anachokifanya, kabla ya kusoma kile kitabu chake, msikilize kwanza, anasema kimekua reviewed na wanasheria wengi sana na kwa kipindi kirefu sana, kuna baadhi ya sura zimekua reviewed zaidi ya mwaka mzima na experts tofauti tofauti. Jamaa ana sources nyingi sana ndani ya serikali. Kwakifupi anajua alichokiandika, ni mpumbavu tu atakayetaka ligi nae.
View: https://www.youtube.com/watch?v=HfQqupIGlKM
Kwa mlipuko huu Mabaki huko waliko ni homatupu.....Hili andiko ni ushahidi kuwa Kabendera anao ushahidi wa kutosha wa unyama wa Jiwe.
Hili neno。Ni bahati mbaya sana EK hakuhudhuria darasa langu hili https://www.jamiiforums.com/threads...-tutangulize-mbele-maslahi-ya-taifa.1307125/, angehudhuria kuna mambo japo ni ya kweli hakupaswa kuyasema!。viii/ Kabendera kakosa uzalendo kiasi gani mpaka akaamua kuandika taarifa ya hovyo kama hii ili watu waisome? Kwani kila ukweli lazima usemwe! Kama ni kweli lakini.
Mmh sidhani, maana Kabendera hakuwa anapewa support hiyo.Ukiona hivyo mamlaka imebariki
Siku hizi uzalendo ni kukalia kimya maadili machafu ya viongozi!Hili neno。
P
Nilitaka nikinunue niwape wote JF bure. Ila OTP ya simu haijiView attachment 3192022View attachment 3192025
Kama ww ulivyokuwa unaamini taarifa za kupika kipindi cha dhalimu magu, acha na wengine nao waamini huo uongo wa Kabendera.Mwambie alete ushahidi wa hilo tukio. Unaweza kuona dhamira ya huyu mwandishi Kabendera na ni mtu mwenye roho ya aina gani kumsingizia mtu kitu cha hovyo kama hicho.
Ana uwezo wa kutunga chochote kumdhalilisha na kumshushia hadhi mtu kwa pesa, umaarufu, chuki, kulipiza kisasi. Of course anajua wengi wenu ni naive, gullible, easily manipulated mnaamini chochote kilichoandikwa bila kuhoji, uthibitisho.
Kwamba hatuwezi kuona anachoongea tukapima wenyewe?Kabendera hana tofauti na Ansbert Ngurumo, watu fulani wananunulika na hawaoni aibu kumchafua yoyote aliye nyumbani Tanzania wakishaingiziwa pesa kwenye akaunti zao.
Kagame alituma watu wa kazi wakamuua mnyarwanda mmoja kule Afrika ya Kusini mwenye tabia kama hizi za Kabendera na Ngurumo.