johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ili iweje?Mpelekeni mahakamani
Watu Wana maisha yao Bwashee ๐ ๐ ๐ ๐ ๐น
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili iweje?Mpelekeni mahakamani
Hivi Enjo kuzungumzwa humo?Na huenda Angel kai naye hakuwepo.....
Bado sijakisoma chote mkuu ila so far kwa pages nilizosoma sijaona katajwa popote.Hivi Enjo kuzungumzwa humo?
Kifupi marehemu alikuwa na uchu na upwiru wa kufa mtu kwa bi mkubwa dah kweli watu wana siri nyingi sana moyo wa mtu kichaka aiseeWe hufahamu kitu chochote.
Kabendera anasema Magufuli alikuwa ana hamu naye sana yule Makamu wa Rais.
Ulifikiri angesemaje? Anataka kumchamfua mtuhumiwa wake na uchafu wa kutosha wa kila ainakabendera anasema vilivyoandikwa huko ni asilimia 25 tu ya vyote alivyonavyo kwaiyo kuna vingi zaidi havijaandikwa na vingine vilitolewa
huwa najiuliza hivi vitabu huwa vinapitiwa na wahariri before kutoa vibali kuwa public
au kuna pesa unalipa tu umemaliza vinawekwa public
Umejuaje mambo ya uchu, upwiru ulikuwepo au ni imagination zako kutokana maneno ya Kabendera?Kifupi marehemu alikuwa na uchu na upwiru wa kufa mtu kwa bi mkubwa dah kweli watu wana siri nyingi sana moyo wa mtu kichaka aisee
Sijui ni yale macho mlegezo yalimchanganya au lile body....
Limezungumzwa sana mitandaoni, kama hakuliweka au hakuwa na taarifa nalo, basi kitabu chake ni kama gazeti la KIU.Kuna hili la kuzalisha mke wa Balozi Katili, limezungumzwa humo?
Hili pia lilisemwa, kuwa Msoga ndo akaokoa jahazi na chanzo ni kama hivyo ulivyosema, sasa kama ame-twist bila vivid ushahidi wowote, anaishia kusema ameambiwa; Lisu naye anasema hivyo hivyo "ameambiwa"Hilo hata mimi limenistua japo niliwahi kupata taarifa za Samia kutaka kujinusuru kwa sababu ya kutukanwa kama mtoto mdogo
Ujinga ni ignorance.Unachotakiwa kujua kabendera sio mjinga na haja kulupuka kuandika hicho kitabu;
Anaushahidi wa kitisha kwa kila alichoandika na ndio maana mpka sasa mamlaka ipo kmya
Na kuhusu marehemu wako kutembea na angel kairuk, kabula tena hao wote wake za watu una la kusema?Umejuaje mambo ya uchu, upwiru ulikuwepo au ni imagination zako kutokana maneno ya Kabendera?
Bibi wa miaka 60, mwenye watoto kibao, wajukuu mke wanne wa mzee Hafidh, Rais anaweza ku-order binti yoyote wa miaka 25, mwenye shape atake kubaka. Story zozote za vijiweni nyie mtaamini.
Mnajaribu sana kumshushia heshima yake JPM hata mwendawazimu wa kuokota makopo, serial rapist asingewaza hayo, let alone kufanya huo uchafu, hamtafanikiwa kwenye huu mkakati wenu, tayari mmefeli.
Huna hoja, marehemu wako ndio nini? Back up your accusations with serious, strong evidence without any shadow of doubt.Na kuhusu marehemu wako kutembea na angel kairuk, kabula tena hao wote wake za watu una la kusema?
Una la kusema kuhusu marehemu wako kuzalisha mku wa mtu?
Umesahau marehemu wako alivyokuwa akiondoka ikul usiku kwenda kutuliza upwiru kwa mke wa mtu
Endelea kukaa eda ya marehemu kichaa wako ambaye alikiri wazi kwa kinywa chake kuwa ni kichaa.Huna hoja, marehemu wako ndio nini? Back up your accusations with serious, strong evidence without any shadow of doubt.
Unamtuhumu Rais wa awamu ya Tano na makamu wake. Ni tuhuma nzito sana kusema kiholelaholela. Weka ushahidi zaidi ya kabendera kasema.