Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

kabendera anasema vilivyoandikwa huko ni asilimia 25 tu ya vyote alivyonavyo kwaiyo kuna vingi zaidi havijaandikwa na vingine vilitolewa
Ulifikiri angesemaje? Anataka kumchamfua mtuhumiwa wake na uchafu wa kutosha wa kila aina

Anataka kuuza kitabu, anataka umaarufu, pesa, kuwaridhisha anaowatumikia, waliomtuma, kulipa kisasi kwa hasira zake. Ni lazima aseme hivyo.
 
Wewe mwananchi wa kawaida tu unateseka..sasa tujiulize je familia yake upo kwenye hali gani sasa..
So painful isee!
 
Kifupi marehemu alikuwa na uchu na upwiru wa kufa mtu kwa bi mkubwa dah kweli watu wana siri nyingi sana moyo wa mtu kichaka aisee
Sijui ni yale macho mlegezo yalimchanganya au lile body....
Umejuaje mambo ya uchu, upwiru ulikuwepo au ni imagination zako kutokana maneno ya Kabendera?

Bibi wa miaka 60, mwenye watoto kibao, wajukuu mke wanne wa mzee Hafidh, Rais anaweza ku-order binti yoyote wa miaka 25, mwenye shape, atake kubaka kweli.
Mazingira gani Rais anaweza kumbaka Makamu wa Rais?Story zozote za vijiweni nyie mtaamini.

Mnajaribu sana kumshushia heshima yake JPM hata mwendawazimu wa kuokota makopo, serial rapist asingewaza hayo, let alone kufanya huo uchafu, hamtafanikiwa kwenye huu mkakati wenu, tayari mmefeli.
 
Kuna hili la kuzalisha mke wa Balozi Katili, limezungumzwa humo?
Limezungumzwa sana mitandaoni, kama hakuliweka au hakuwa na taarifa nalo, basi kitabu chake ni kama gazeti la KIU.

Hilo hata mimi limenistua japo niliwahi kupata taarifa za Samia kutaka kujinusuru kwa sababu ya kutukanwa kama mtoto mdogo
Hili pia lilisemwa, kuwa Msoga ndo akaokoa jahazi na chanzo ni kama hivyo ulivyosema, sasa kama ame-twist bila vivid ushahidi wowote, anaishia kusema ameambiwa; Lisu naye anasema hivyo hivyo "ameambiwa"

Mwisho, wenye mlengo wao wanataka jamii yote iamini ya Kabendera kisa tu AMEANDIKA.
- Mbona ya yule Mwandishi aliyedaiwa na Membe bilioni hamkutaka kuyaamini?
 
Unachotakiwa kujua kabendera sio mjinga na haja kulupuka kuandika hicho kitabu;

Anaushahidi wa kitisha kwa kila alichoandika na ndio maana mpka sasa mamlaka ipo kmya
Ujinga ni ignorance.
Umewahi kujiuliza kwanini unalazimishwa kwenda shule, angalau ufike darasa la saba au siku hizi form 4 na hata A level Form six?
Jibu ni kupunguza ignorance yaani ujinga.

Kwa bahati mbaya unakutana na don't touch Kabendera syndrom,anayetaka tuamini kila kitu anachokiandika.
Simply kwa kuwa anaandika kwenye vijigazeti vya fallen empire United Kingdom.
Open your mind.UK kwa sasa sio kipimo cha demokrasia na ustawishaji wa jamii kwa nchi za kwetu.
 
Umejuaje mambo ya uchu, upwiru ulikuwepo au ni imagination zako kutokana maneno ya Kabendera?

Bibi wa miaka 60, mwenye watoto kibao, wajukuu mke wanne wa mzee Hafidh, Rais anaweza ku-order binti yoyote wa miaka 25, mwenye shape atake kubaka. Story zozote za vijiweni nyie mtaamini.

Mnajaribu sana kumshushia heshima yake JPM hata mwendawazimu wa kuokota makopo, serial rapist asingewaza hayo, let alone kufanya huo uchafu, hamtafanikiwa kwenye huu mkakati wenu, tayari mmefeli.
Na kuhusu marehemu wako kutembea na angel kairuk, kabula tena hao wote wake za watu una la kusema?
Una la kusema kuhusu marehemu wako kuzalisha mku wa mtu?
Umesahau marehemu wako alivyokuwa akiondoka ikul usiku kwenda kutuliza upwiru kwa mke wa mtu
 
Na kuhusu marehemu wako kutembea na angel kairuk, kabula tena hao wote wake za watu una la kusema?
Una la kusema kuhusu marehemu wako kuzalisha mku wa mtu?
Umesahau marehemu wako alivyokuwa akiondoka ikul usiku kwenda kutuliza upwiru kwa mke wa mtu
Huna hoja, marehemu wako ndio nini? Back up your accusations with serious, strong evidence without any shadow of doubt.

Unamtuhumu Rais wa awamu ya Tano na makamu wake. Ni tuhuma nzito sana kusema kiholelaholela. Weka ushahidi zaidi ya kabendera kasema.

Siri zilikuwa zinavuja sana wakati ule. Mange na Kigogo wangeshasema haya miaka minne, mitano, sita iliyopita. Sio miaka mitatu baada ya kifo karibu na uchaguzi wa October 2025.
 
Huna hoja, marehemu wako ndio nini? Back up your accusations with serious, strong evidence without any shadow of doubt.

Unamtuhumu Rais wa awamu ya Tano na makamu wake. Ni tuhuma nzito sana kusema kiholelaholela. Weka ushahidi zaidi ya kabendera kasema.
Endelea kukaa eda ya marehemu kichaa wako ambaye alikiri wazi kwa kinywa chake kuwa ni kichaa.
 
Back
Top Bottom