Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Mbona mwenyewe kaweka wazi kuwa ni waliokuwepo kwenye vyombo vya usalama??Unawajua waliomwambia?
Nani atarisk kiapo chake akamtetee kabendera??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mwenyewe kaweka wazi kuwa ni waliokuwepo kwenye vyombo vya usalama??Unawajua waliomwambia?
Ukikipata unishtuemhh interesting
naomba hicho kitabu kwa softcopy
Kweli alikuwa mnyama sana huyu mtu na uchunguzi ufanywe na mama aje kutoa ushahidi na alipwe haki yake!mhh interesting
naomba hicho kitabu kwa softcopy
Enheeee ikawaje huo ugomvi na Lowasa.Kabendera Kudanganywa na Nyepesi na yeye akajaa
Ugomvi wa Kabendera ni wa Masaki na kinachomuandama ni Laana ya Edward Ngoyai Lowassa
Wengi hawalijui hili 🐼
Usomage na kuelewa Segito 😀Enheeee ikawaje huo ugomvi na Lowasa.
Inawezekana , Kabendera ana chuki ya kufiwa na mpendwa Mama yake. Swali. Anaweza kuandika uongo wa aibu kubwa hiyo kwa Rais aliyepo madarakani kutaka kubakwa na mke wa Rais aliyepita kupigwa na hayati mumewe ? Haogopi mkono wa sheria ? Ameitaja familia ya Magufuli,, kama anasema uongo si watampeleka mahakamani ? Muda aliotumia kuandika kitabu, na kupunguza ukubwa wa kitabu, wanasheria na wahariri waliokipitia. Idadi ya watu alioongea nao ni ushahidi kwamba anayosema ni kweli tupu. Au yupo tayari kwenda kizimbani.Huna hoja, marehemu wako ndio nini? Back up your accusations with serious, strong evidence without any shadow of doubt.
Unamtuhumu Rais wa awamu ya Tano na makamu wake. Ni tuhuma nzito sana kusema kiholelaholela. Weka ushahidi zaidi ya kabendera kasema.
Siri zilikuwa zinavuja sana wakati ule. Mange na Kigogo wangeshasema haya miaka minne, mitano, sita iliyopita. Sio miaka mitatu baada ya kifo karibu na uchaguzi wa October 2025.
Inawezekana , Kabendera ana chuki ya kufiwa na mpendwa Mama yake. Swali. Anaweza kuandika uongo wa aibu kubwa hiyo kwa Rais aliyepo madarakani kutaka kubakwa na mke wa Rais aliyepita kupigwa na hayati mumewe ? Haogopi mkono wa sheria ? Ameitaja familia ya Magufuli,, kama anasema uongo si watampeleka mahakamani ? Muda aliotumia kuandika kitabu, na kupunguza ukubwa wa kitabu, wanasheria na wahariri waliokipitia. Idadi ya watu alioongea nao ni ushahidi kwamba anayosema ni kweli tupu. Au yupo tayari kwenda kikizimbani.
Mwaka wa uchaguzi huu.... Nasikia KULE kwa kijani Kuna makundi.... Kambi ya mwendazake na ya aliyepo, ili kunyong'onyeza Kambi pinzani... Yamemwagwa haya!Ukiona hivyo mamlaka imebariki
Nakuunga mkono kwa hili jamaa. Mke wa mtu, nyumbani kwake, tena ameshalala, ni usiku. Unatokaje nusu uchi kuvamia kwake bila ridhaa ? Je makazi ya viongozi wawili wa kitaifa wanapangwa kukaa karibu wote kiusalama ? Kama wanaishi karibu, vipi ikitokea hatari si watadhurika wote? Kama Rais mwenye mamlaka alishindwa kuandaa mazingira rafiki ya kutekeleza lengo lake ?Kwanza hata ukitazama mtiririko wa anayoandika huyo Kabenedra utagundua ni stori za kubuni kwa lengo la kuudhi watu tu na kuvuruga nchi kwa makusudi kwani yeye hana la kupoteza na hafanywi kitu kwa kuwa hayupo nchini.Ni mtiririko ambao unachangiwa na hasira tu za kuswekwa ndani na hayati Magufuli.
Kwa mfano Ben Saanane.Rais ana vyombo vyote na ana mamlaka navyo.Angetoa amri tu kwamba huyu mtu apotezwa ni jambo la haraka tu.Kuna mantiki gani ya kumwita Ikulu na yeye mwenyewe kumuua. Hapo Kabendera ameshindwa kuandika uongo unaoshawishi.Wajinga wachache wanaweza kuamini upuuzi huu.
Na hili la ubakaji ndilo haliingii akilini kabisa.Makamu ana familia yake na isitoshe ni mke wa mtu.Kwa hiyo alienda moja kwa moja kwenye eneo ambalo lina walinzi na familia na yeye mwenyewe akiwa na walinzi wake huku akiwa amevaa Payjam aingie mpaka vyumbani kwa kweli Bw. Kabendera hujui kutunga uongo.Unafanya uchunguzi wa kitoto sana na wewe siyo malaika eti kila unalosema uaminiwe.
Lakini kama lengo lako ni kupata hiyo PHD kwa kupitia maandiko ya kijinga haya,Wazungu watakupa kwa sababu baadhi yao walionja joto la Hayati Magufuli ila na wewe moyo wako hautakaa uwe na amani na Tanzania haitatetereka kwa ujinga na upuuzi uliandika na yale unayoendelea kuyaongoea kwenye mitandao. Extremely nonsense.
Amefanya mengi kwa kutoa roho za watu sio kwa kujitoaHabari za kweli huwa haziuzi zinazouza ni zile ambazo ukizisikia unavuta kiti ulizipate kwa kirefu.
Uzushi una lengo la kumchafua marehemu JPM, angeachwa akapumzika amefanya mengi kwa kujitoa.
Sisi wa humu mitandaoni tunachojua ni kunyooshea watu vidole hatujui ni kwa kiasi gani wenye vyeo vikubwa wanavyokuwa tayari kujitoa mazima kwa ajili ya Tanzania hii tunayoishi.