Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

Kwani katika matukio ya kuamrisha mabilioni yatumike kujenga Chato nani alikuwepo pale ofisini? Lakini haya mambo yanajulikana sio?
 
Huna hoja, marehemu wako ndio nini? Back up your accusations with serious, strong evidence without any shadow of doubt.

Unamtuhumu Rais wa awamu ya Tano na makamu wake. Ni tuhuma nzito sana kusema kiholelaholela. Weka ushahidi zaidi ya kabendera kasema.

Siri zilikuwa zinavuja sana wakati ule. Mange na Kigogo wangeshasema haya miaka minne, mitano, sita iliyopita. Sio miaka mitatu baada ya kifo karibu na uchaguzi wa October 2025.
Inawezekana , Kabendera ana chuki ya kufiwa na mpendwa Mama yake. Swali. Anaweza kuandika uongo wa aibu kubwa hiyo kwa Rais aliyepo madarakani kutaka kubakwa na mke wa Rais aliyepita kupigwa na hayati mumewe ? Haogopi mkono wa sheria ? Ameitaja familia ya Magufuli,, kama anasema uongo si watampeleka mahakamani ? Muda aliotumia kuandika kitabu, na kupunguza ukubwa wa kitabu, wanasheria na wahariri waliokipitia. Idadi ya watu alioongea nao ni ushahidi kwamba anayosema ni kweli tupu. Au yupo tayari kwenda kizimbani.
 
Inawezekana , Kabendera ana chuki ya kufiwa na mpendwa Mama yake. Swali. Anaweza kuandika uongo wa aibu kubwa hiyo kwa Rais aliyepo madarakani kutaka kubakwa na mke wa Rais aliyepita kupigwa na hayati mumewe ? Haogopi mkono wa sheria ? Ameitaja familia ya Magufuli,, kama anasema uongo si watampeleka mahakamani ? Muda aliotumia kuandika kitabu, na kupunguza ukubwa wa kitabu, wanasheria na wahariri waliokipitia. Idadi ya watu alioongea nao ni ushahidi kwamba anayosema ni kweli tupu. Au yupo tayari kwenda kikizimbani.

Kama fiction yoyote kuna ukweli kwenye baadhi ya mambo na kuna uongo kwenye mambo mengi tu.

Of course kufungwa jela, Mama yako kufariki ukiwa jela ni jeraha ndani ya moyo wa binadamu la kudumu. Hiyo inaweza kumsukuma mtu kufanya vitu kadhaa, hata kujitoa mhanga to even and settle the scores. Nini kinamsukuma anajua yeye sababu ya kuandika zipo nyingi tu. Pesa, kupata ukimbizi, chuki, ametumwa na watu, umaarufu nk.

Vitabu vingi sana vimeandikwa vya kizushi. Kitabu hata wewe unaweza kuandika na kuchapisha Amazon. Ila unaweza kushtakiwa, ulipe faini au kufungwa kwa maneno yako usipokuwa na ushahidi.

Nafikiri anafikiri wahusika hawawezi kumpeleka mahakamani sababu labda yataibuka mengine.

Mfano nikisema wewe ni mlawiti, mbakaji unaweza kuamua uachane na kesi usiipe more publicity ukaamua ku- deal na muhusika kivyako. Hata ukishinda bado kuna watu watadhani labda ulifanya hayo.

Salim Ahmed Salim alizushiwa kwamba ni gaidi wa kiarabu, kwamba alimuua Karume, akapinga akasafishika lakini ilikuwa inatosha kumtia doa na kushindwa kuwa mgombea wa CCM wa urais.
 
Mimi najiuliza ninyi mnapata wapi ujasiri wa kuandika vitu kama hivi tena kwa ujinga aliosingiziwa Rais wa Nchi

Kama Kabendera ana ushahidi auweke hadaharani lasivyo atanyea debe kwa Uzushi na Ujinga wake
 
Kwanza hata ukitazama mtiririko wa anayoandika huyo Kabenedra utagundua ni stori za kubuni kwa lengo la kuudhi watu tu na kuvuruga nchi kwa makusudi kwani yeye hana la kupoteza na hafanywi kitu kwa kuwa hayupo nchini.Ni mtiririko ambao unachangiwa na hasira tu za kuswekwa ndani na hayati Magufuli.

Kwa mfano Ben Saanane.Rais ana vyombo vyote na ana mamlaka navyo.Angetoa amri tu kwamba huyu mtu apotezwa ni jambo la haraka tu.Kuna mantiki gani ya kumwita Ikulu na yeye mwenyewe kumuua. Hapo Kabendera ameshindwa kuandika uongo unaoshawishi.Wajinga wachache wanaweza kuamini upuuzi huu.

Na hili la ubakaji ndilo haliingii akilini kabisa.Makamu ana familia yake na isitoshe ni mke wa mtu.Kwa hiyo alienda moja kwa moja kwenye eneo ambalo lina walinzi na familia na yeye mwenyewe akiwa na walinzi wake huku akiwa amevaa Payjam aingie mpaka vyumbani kwa kweli Bw. Kabendera hujui kutunga uongo.Unafanya uchunguzi wa kitoto sana na wewe siyo malaika eti kila unalosema uaminiwe.

Lakini kama lengo lako ni kupata hiyo PHD kwa kupitia maandiko ya kijinga haya,Wazungu watakupa kwa sababu baadhi yao walionja joto la Hayati Magufuli ila na wewe moyo wako hautakaa uwe na amani na Tanzania haitatetereka kwa ujinga na upuuzi uliandika na yale unayoendelea kuyaongoea kwenye mitandao. Extremely nonsense.
 
Kwanza hata ukitazama mtiririko wa anayoandika huyo Kabenedra utagundua ni stori za kubuni kwa lengo la kuudhi watu tu na kuvuruga nchi kwa makusudi kwani yeye hana la kupoteza na hafanywi kitu kwa kuwa hayupo nchini.Ni mtiririko ambao unachangiwa na hasira tu za kuswekwa ndani na hayati Magufuli.

Kwa mfano Ben Saanane.Rais ana vyombo vyote na ana mamlaka navyo.Angetoa amri tu kwamba huyu mtu apotezwa ni jambo la haraka tu.Kuna mantiki gani ya kumwita Ikulu na yeye mwenyewe kumuua. Hapo Kabendera ameshindwa kuandika uongo unaoshawishi.Wajinga wachache wanaweza kuamini upuuzi huu.

Na hili la ubakaji ndilo haliingii akilini kabisa.Makamu ana familia yake na isitoshe ni mke wa mtu.Kwa hiyo alienda moja kwa moja kwenye eneo ambalo lina walinzi na familia na yeye mwenyewe akiwa na walinzi wake huku akiwa amevaa Payjam aingie mpaka vyumbani kwa kweli Bw. Kabendera hujui kutunga uongo.Unafanya uchunguzi wa kitoto sana na wewe siyo malaika eti kila unalosema uaminiwe.

Lakini kama lengo lako ni kupata hiyo PHD kwa kupitia maandiko ya kijinga haya,Wazungu watakupa kwa sababu baadhi yao walionja joto la Hayati Magufuli ila na wewe moyo wako hautakaa uwe na amani na Tanzania haitatetereka kwa ujinga na upuuzi uliandika na yale unayoendelea kuyaongoea kwenye mitandao. Extremely nonsense.
Nakuunga mkono kwa hili jamaa. Mke wa mtu, nyumbani kwake, tena ameshalala, ni usiku. Unatokaje nusu uchi kuvamia kwake bila ridhaa ? Je makazi ya viongozi wawili wa kitaifa wanapangwa kukaa karibu wote kiusalama ? Kama wanaishi karibu, vipi ikitokea hatari si watadhurika wote? Kama Rais mwenye mamlaka alishindwa kuandaa mazingira rafiki ya kutekeleza lengo lake ?
 
Habari za kweli huwa haziuzi zinazouza ni zile ambazo ukizisikia unavuta kiti ulizipate kwa kirefu.

Uzushi una lengo la kumchafua marehemu JPM, angeachwa akapumzika amefanya mengi kwa kujitoa.

Sisi wa humu mitandaoni tunachojua ni kunyooshea watu vidole hatujui ni kwa kiasi gani wenye vyeo vikubwa wanavyokuwa tayari kujitoa mazima kwa ajili ya Tanzania hii tunayoishi.
Amefanya mengi kwa kutoa roho za watu sio kwa kujitoa
 
Back
Top Bottom