US ni habari nyingine ile China mwenyewe ilibidi apeleke wanafunzi kibao miaka ya nyuma wakajifunze teknolojia mbalimbali zilizopo US ndipo wasomi hao kurudi China na China kuanza kufanya vizuri, hata model ya uchumi wa China ilibidi wabadilike kuiga model za US ndipo wakanza fanya vizuri na China wenyewe hawafichi huwa wanakiri wazi kwenye mafanikio yao US anahusika sana tu.Bado uwezo mdogo. Bidhaa za Marekani ziatumika sana, sema ujui unatumiaje izi ni bidhaaa ambazo unatumia masaa 24.
Android
Ios
ATM
Visa and master card
GPS
Opera, Google chrome
Kwa iyo America ni zaidi ya wewe uijuavyo
Hata tenda za ujenzi Africa mchina kambwaga mbali US na Europe hawampati8. Ujenzi hapa China ana lead over U.S
Ukweli mtupu ambao mtu asiye biased hakika ataukubaliHuu ndo ukweli ambao watu hawataki kuukubali. China ana cheap skilled labor force ambayo imemsaidia kuvutia kampuni nyingi kwenda kuzalisha vitu nchini kwake kama ilivyo kwa nchi nyingi za Asia.
Hiki kimsaidia China kuwa na access ya teknolojia kutoka sehemu mbalimbali na kuweza kuitumia.
Shida ya USA na China ipo upande wa biashara kutoka na china kuendelea kushusha thamani ya pesa yake kitu ambacho kinaifanya kuvutia uwekezaji mwingi zaidi na kufanya bidhaa zake ziwe na bei rahisi ukilinganisha na za USA. Ukiangalia kwenye orodha ya nchi ambazo zina teknolojia ya juu China humkuti tano bora.
Michango mingi watu wanaiponda USA kutoka na chuki zao binafsi
Hii ni unazi tu, wachina ni copy cats tu !Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha
Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.
Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
Ni kanuni ya asili tu bidhaa iliyoko sokoni yenye bei ndogo kuliko zingine ina uwezekano mkubwa wa kuuzikaHata tenda za ujenzi Africa mchina kambwaga mbali US na Europe hawampati
Sikukuelewa vizuri post yako mkuu, nakubaliana na wewe 100% 😂😂😂😂😂, kiteknolojia ukilinganisha USA na China USA yupo juuLabda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha
Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.
Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
Marekani bidhaa zake anajikita hasa soko la high class hivyo production yake haijikiti sana kwenye mass production Kwa ajili ya Dunia nzima class za chini .Mchina kajikita kwenye mass production Kwa ajili ya low class ambao wako wengi Dunia nzima ndio majority ya Dunia kuhakikisha wanapa bidhaa affordableLicha ya ukweli kwamba katawala Soko la.Africa lakini Anategemea nchi Za Amerika na Ulaya kutengeneza faida kubwa , huwezi linganisha faida ambayo Mchina anapata kwa soko la Amerika na Afrika ,hii ndio maana inampa Mmarekani kiburi cha kufungia fungia bidhaa za Mchina.
Umeongea uongo mwingi mkuu.Ugunduzi/uvumbuzi yaani invention kwenye teknolojia nyingi initially sana hutokea US na Ulaya na baadae kwa kuanzia commercialization ya hizo teknolojia hufanyikia huko huko US na Ulaya ndipo baadae mchina/makampuni ya US/Ulaya hutengeneza bidhaa hizo china kwa gharama/ ndogo ili kuweza kupata faida kubwa mfano Apple. Sasa nenda bidhaa zilezile akiwa amezalisha mchina kwa maana ya brand za kichina (anakopy paste sasa hapo) ni kawaida sana kuwa na quality ya chini ya US na ulaya maana masoko anayotarget mchina yanataka bidhaa za gharama ndogo.
Ndiyo maana utakuta teknolojia ya ndege, simu za mikononi, mezani, computer, mabasi na kingine kibao mchina hajagundua chochote ila ni mzalishaji mkubwa sana leo hii wa bidhaa hizo na nyingine mbalimbali. Mfano haya mabasi ya mwendokasi, mabus ya yutong, malori howo, sinotruck ubora huwezi linganisha na brand za US au Europe ila yanafaida kubwa kwa mfanyabiashara na hata mtumiaji hasa nchi za dunia ya 3.
Kwa hiyo kwa maana ya ugunduzi wa teknolojia mbalimbali kwa ujumla wake China bado hajaifikia US na Europe. Ila kwa maana ya mass production tena wa ghara ndogo ni ukweli ulio wazi China kamzidi US na Ulaya.
Kwa hiyo hiyo innovation unayosema wewe basically mchina hucopy alichofanya mwingine na kuangalia material gani aweke ili apunguze gharama za uzalishaji au feature ipi aongeze then aweze uza kwa gharama ya chini kuliko wazalishaji wengine wa bidhaa hizo. Ndo simu kama itel,tecno,infinix utawakuta hapo.
Ila kwa level aliyofikia mchina yupo vizuri sana na ataendelea kufanya vizuri maana kateka soko la dunia.
Ukweli mtupu ndo maana leo hii wabongo wanavaa balenciaga, LV na designer zingine kibao ila feki za kichina😀🙄Marekani bidhaa zake anajikita hasa soko la high class hivyo production yake haijikiti sana kwenye mass production Kwa ajili ya Dunia nzima class za chini .Mchina kajikita kwenye mass production Kwa ajili ya low class ambao wako wengi Dunia nzima ndio majority ya Dunia kuhakikisha wanapa bidhaa affordable
Na anapata faida kweli kweli Kwa mass sales
Duh huu ndo uelewa wako.Umeongea uongo mwingi mkuu.
USA wavumbuzi wake karibia wote wazungu hasa wa Germany.
USA hana mtu wa asili yake aliyevumbua kitu abadaaan.
Katika HIZO RESEARCH NA UVUMBUZI IWE INVENTION AU INNOVATION UTAKUTA Wajapan,wajerumani,wayahudi,wachina na Wahindi.
Kataa usikatae.
Pia China ana research centre zake pasi na kusubiri ku innovate vile vya Ulaya.
Ndio maana hata Maglev alianza igundua yeye kabla ya mtu mwingine.
China analenga masoko aina yote ukitaka bidhaa original utapata kulinagana hela yako ukitaka hafifu utapata.
HIVI UNAJUA KAMA EV CARS ZA CHINA ZIKO VIZURI KULIKO ZA TESLA!?
China siku hizi HAMSUBIRI MTU ANA VITUO VYAKE VYA RESEARCH NA UVUMBUZI.
Wewe ndo unaongea unazi Shehe unapingana na ukweli,Umeongea uongo mwingi mkuu.
USA wavumbuzi wake karibia wote wazungu hasa wa Germany.
USA hana mtu wa asili yake aliyevumbua kitu abadaaan.
Katika HIZO RESEARCH NA UVUMBUZI IWE INVENTION AU INNOVATION UTAKUTA Wajapan,wajerumani,wayahudi,wachina na Wahindi.
Kataa usikatae.
Pia China ana research centre zake pasi na kusubiri ku innovate vile vya Ulaya.
Ndio maana hata Maglev alianza igundua yeye kabla ya mtu mwingine.
China analenga masoko aina yote ukitaka bidhaa original utapata kulinagana hela yako ukitaka hafifu utapata.
HIVI UNAJUA KAMA EV CARS ZA CHINA ZIKO VIZURI KULIKO ZA TESLA!?
China siku hizi HAMSUBIRI MTU ANA VITUO VYAKE VYA RESEARCH NA UVUMBUZI.
Hii bro ukae Ukijua USA hauzi Ili ale ilaha Anajitosheleza mahitaji yake mwenyewe!; Tofauti na Mchina Mjapani and the like lazima wauze ndio wale...China Kuna vitu kamzidi marekani na marekani Kuna vitu kamzidi USA mfano ukija kwenye biashara na Africa Mchina kamuacha mbali marekani huwezi Kuta bidhaa za marekani nchi nyingi za Africa .Bidhaa za China ziko Kila mahali mijini na vijijini Africa .Mfano wewe binafsi una bidhaa Gani ya marekani? Lakini ya china huwezi kwepa lazima iwe nayo nyumbani
Kwa mawazo hayo Ina maana wamerudi nyuma kwenye uchumi wa kujikimu sio wa kimataifaHii bro ukae Ukijua USA hauzi Ili ale ilaha Anajitosheleza mahitaji yake mwenyewe!; Tofauti na Mchina Mjapani and the like lazima wauze ndio wale...
Kwanini uhangaike kuanza 1 ,,,,,,unaendelea pale walipoishia wengineMchina mtu wa copy napaste
Kwanini usijitosheleze kama hata pesa yenyewe una print tu haipewi sapoti na kitu chochote cha thamaniHii bro ukae Ukijua USA hauzi Ili ale ilaha Anajitosheleza mahitaji yake mwenyewe!; Tofauti na Mchina Mjapani and the like lazima wauze ndio wale...
Kumbe huelewi kwamba USA Anakula Trade Mark!Kwa mawazo hayo Ina maana wamerudi nyuma kwenye uchumi wa kujikimu sio wa kimataifa
Ni sawa na mtu wa kijijini anayesema sihitaji kulima zaidi nipate Hela zaidi wakati Nina chakula tele Cha kula sihitaji kununua niuze nipate pesa ili iweje wakati Nina vyakula kibao ghalani na nikihitaji chochote hapa kijijini napata
China wapo vizuriKweli kabisa. Tawala Media ,unatawala nguvu.
RUSSIA aliweza kuweka Trojan wake White house🤣 bila UK , USA asingelijua.
China alipeleka White baloon inayowachunguza for somedays hawakujua.
Kijeshi, Marekana kuna hawezi kuwasahau, Blackhawk down ilivyochezeshwa hadi kwenda kuomba msaada wa GGK Commandos, Vietnamese, Nchi za Asia etc kijesh bila Majeshi Rafiki USA hawezi cheza games alone.
Ktk technology China anawasumbua maana anauzalishaj mwingi na anaweza tengeneza vitu simple na ghalama na standard yeyote tu.
USA is overrated
Kuna jambo labda sijaeleweka.Wewe ndo unaongea unazi Shehe unapingana na ukweli,
kaicheki kwanza Bell labs, teknolojia nyingi ambazo ndo msingi wa asilimia kubwa ya teknolojia tunazotumia saivi zimetokea huko kuanzia transistors, unix etc. Nenda kafatilie utajuwa vizuri.
Wachina ni copycats tu na huo ndo ukweli
Labda Mimi tu ndo Nina kiazi mbatata hapa juu ya shingo?Umenena vizuri sana..... USA anapika sana data..... Taarifa zake hazina ukweli kivile.