Hiyo ni innovation.Mchina mtu wa copy napaste
Copy na paste wewe kama unaweza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni innovation.Mchina mtu wa copy napaste
Vipo vilivyogunduliwa Asia (CHINA,JAPAN,PERSIAN GULF).China anamtishia Marekani kwa biashara inayohusu teknolojia ila sio kwa teknolojia. Teknolojia zote muhimu duniani kuanzia karne ya 18 zimekuwa zinagundulia Marekani na Ulaya. Huko Asia kwenye nchi kama China wamekuwa wakifanya ku copy, reverse engineering na maboresho ya hapa na pale kukakamata soko.
Bas ndio ujue Kua USA ndio kama mzee wakeHiyo ni innovation.
Copy na paste wewe kama unaweza.
Hakuna sanctions ambazo USA alimuwekea China zikafanikiwa.Umeona ni kwa kiasi gani hao Tiktok wanavyohangaika ili wasifungiwe , Dunia ni kubwa hii watu kibao lakini wanahaha na Marekani.
Mchina yeye kafungia mitandao ya kijamii nchini kwake , ana watu zaidi ya bilioni na ushee lakini ulisikia wapi Mack Zuckerberg akihangaika na Bunge la China kama Shou anavyohaha[emoji1][emoji1].
Jiulizeni maswali mepesi tu kwanini Marekani kila saa
Hamna mkuu,huyo USA tech nyingi anazoringa nazo ni za Ulaya hususan Germany.Bas ndio ujue Kua USA ndio kama mzee wake
Watu hawaelewi tofauti ya copy & paste na innovationHiyo ni innovation.
Copy na paste wewe kama unaweza.
Mchina alipiga ban hivyo vitu baada ya kupigwa Ban ya kutumia google katika simu za HUAWEI.Facebook, WhatsApp, google havipo China. Mchina alianza yeye kupiga ban
Kwa hiyo USA ni mtaalam sana kwa kukaanga data kama nchi moja ya maziwa na asali huko East Africa....teh teh teh....Umenena vizuri sana..... USA anapika sana data..... Taarifa zake hazina ukweli kivile.
Hao USA ukienda kutizama tech zao nyingi za Germany,Japan.China inaizidi Marekani kwa sababu ya gharama nafuu za wafanyakazi na wataalamu(cheap labour) pamoja na urahisi wa upatikanaji malighafi, sio kwa sababu ya ku advance kwenye scientific knowledge kuliko Marekani, ndio maana hata makampuni mengi ya teknolojia ya Marekani yameenda kufungua viwanda huko.
Teknoloji aliyonayo China inayoweza kumpa challenge USA, ni "Human Resources"Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha
Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.
Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
Mchina kakuchanganya tu bidhaa tunazoletewa hapa East kateka soko lakin kwaupande wauvumbuzi tumwachie USaHamna mkuu,huyo USA tech nyingi anazoringa nazo ni za Ulaya hususan Germany.
Na ukifuatilia katika uwanda wa research hapo USA utakuta wahindi,WaJapan,wayahudi n.k n.k.
China ni mtu ambae anapambana na research mkuu.
Ukifuatilia uvumbuzi lazima turudi Asia mkuu na Europe.Mchina kakuchanganya tu bidhaa tunazoletewa hapa East kateka soko lakin kwaupande wauvumbuzi tumwachie USa
Mbona Nigeria wana population kubwa Afrika lakini bado ni taifa masikini!?Teknoloji aliyonayo China inayoweza kumpa challenge USA, ni "Human Resources"
Angalia hapa
Population of China in 2024 The population of China stood at 1.43 billion in January 2024. Data shows that China's population decreased by 356 thousand (-0.02 percent) between early 2023 and the start of 2024. 49.0 percent of China's population is female, while 51.0 percent of the population is male.
Source:
Google Search
www.google.com
China ilitakiwa kuwa Bara na siyo nchiMbona Nigeria wana population kubwa Afrika lakini bado ni taifa masikini!?
Population isiokuwa literate inasaidia nini kimaendeleo!?
We google hapo nani ni more powerful kweny tech.Ukifuatilia uvumbuzi lazima turudi Asia mkuu na Europe.
Hata sasa centre za research USA ni wengi WaJapan,Wakorea,Wachina,Wahindi na wazungu hasa wa Germany.
Kafuatilie mkuu.
Bado uwezo mdogo. Bidhaa za Marekani ziatumika sana, sema ujui unatumiaje izi ni bidhaaa ambazo unatumia masaa 24.Ninaamini mchina amemuacha usa karibia kwenye kila idara ikiwepo budget. Sote tunajua kuwa usa ana kambi za kijeshi karibia kwenye kila nchi rafiki (
Despite recently closing hundreds of bases in Iraq and Afghanistan, the United States still maintains nearly 800 military bases in more than 70 countries and territories abroad—from giant “Little Americas” to small radar facilities. Britain, France and Russia, by contrast, have about 30 foreign bases combined.
By my calculation, maintaining bases and troops overseas cost $85 to $100 billion in fiscal year 2014; the total with bases and troops in warzones is $160 to $200 billion.) https://www.politico.com/magazine/story/2015/06/us-military-bases-around-the-world-119321/
Ukiondoa hilo, USA wanatumia matrilion ya pesa kwenye kufadhili ugaidi sehemu tofauti tofauti duniani. Ila tukienda kwa mchina, karibia asilimia 95 za bajeti yake, zinatumika kuisogeza nchi mbele kiuchumi.
Turudi kwenye uhalisia, tangu huu mwaka uanze, ni nani ametumia bidhaa ya mmarekani?? Kama wapo, basi walitumia sio zaidi ya bidhaa 3, nadra sana. Je bidhaa kutoka China?? Je umeona barabara na treni ngapi zinajengwa Africa na wakandarasi wa USA??? Ila China, wapo nchi zooote za kiafrica kujenga sio reli, sio trains, sio nyumba bali kila kitu complex wao wamo. USA ana budget kubwa sana, ila haimnifaishi. Fuatilia jinsi baadhi ya barabara na mazingira ndani ya USA yalivyochakaa, ila China yapo?? USA mitaa mwingine ni majunk tupu, ila China hamna huo ushenzi. USA amempiga mchina kwenye kutumiwa kwa pesa yake kama means of exchange duniani, ila kwenye kila sekta isipokuwa matumizi ya kijeshi, USA amegalagazwa kama mtoto wa darasa la 7 anayepigana na tyson mwenyewe.
Ugunduzi/uvumbuzi yaani invention kwenye teknolojia nyingi initially sana hutokea US na Ulaya na baadae kwa kuanzia commercialization ya hizo teknolojia hufanyikia huko huko US na Ulaya ndipo baadae mchina/makampuni ya US/Ulaya hutengeneza bidhaa hizo china kwa gharama/ ndogo ili kuweza kupata faida kubwa mfano Apple. Sasa nenda bidhaa zilezile akiwa amezalisha mchina kwa maana ya brand za kichina (anakopy paste sasa hapo) ni kawaida sana kuwa na quality ya chini ya US na ulaya maana masoko anayotarget mchina yanataka bidhaa za gharama ndogo.Hiyo ni innovation.
Copy na paste wewe kama unaweza.
Huu ndo ukweli ambao watu hawataki kuukubali. China ana cheap skilled labor force ambayo imemsaidia kuvutia kampuni nyingi kwenda kuzalisha vitu nchini kwake kama ilivyo kwa nchi nyingi za Asia.Teknoloji aliyonayo China inayoweza kumpa challenge USA, ni "Human Resources"
Angalia hapa
Population of China in 2024 The population of China stood at 1.43 billion in January 2024. Data shows that China's population decreased by 356 thousand (-0.02 percent) between early 2023 and the start of 2024. 49.0 percent of China's population is female, while 51.0 percent of the population is male.
Source:
Google Search
www.google.com