Hivi mlinzi wa Hayati Magufuli ni mlinzi wa Naibu Spika Zungu kweli?

Ilishawahi kutokea hata kwa mojawapo ya walinzi wa Mkapa alienda kuwa mlinzi wa spika sita. Watoto wadogo hamjui haya mambo. Ulinzi kazi ya kawaida sana haina uspesho wowote
Kwanza kwani kuna ajabu gani ?? Katika maisha kuna "ups and downs" ukijua hilo maisha hayatakusumbua na hautosumbuka sana Kwenda kwa masangoma !!
 
Whatever tutasema, top officials wa level yake kuwe na namna nyingine ya kuwatumia! Hao jamii imeshawaona kama alama maalum ya kimamlaka, ni vizuri ikiangaliwa kwa jicho tofauti.
 
Whatever tutasema, top officials wa level yake kuwe na namna nyingine ya kuwatumia! Hao jamii imeshawaona kama alama maalum ya kimamlaka, ni vizuri ikiangaliwa kwa jicho tofauti.
Pia tunaona as they know more about late
 
Wapo Chattlo Bado wanalinda Kaburi. Alhaji amepelekwa Kwa Mda Tu Ila atapangiwa kuwa RSO Siku Sio nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…